Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Popoma kakimbia Uzi wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata bila ya hiyo mipango Yanga ubingwa uko pale paleTFF tambueni kuwa wakati nyie mkijifanya kuwa mna Akili tambueni kuwa kuna Watanzania wenye Akili kuwazidi halafu ni Wajanja kuliko nyie.
Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu Nabi atumikie Red Card yake na katika Mechi ya Kariakoo Derby awepo Benchini?
Kwa ninavyowajua Yanga SC kama Kocha wao Nabi asingekuwa na hii Red Card hii Ratiba ya kucheza na Namungo FC wangeikataa na msingewafanya lolote ila na Wao wameifurahia kwakuwa wanajua itamsaidia Kocha wao Mkuu Nabi kuitumikia halafu katika Kariakoo Derby atakuwepo Kuwaongoza Wachezaji wake.
Kweli kwa Msimu huu Yanga SC imejipanga Kimkakati kote kote tu Hongereni na sasa haina mjadala Yanga SC iwe isiwe ndiyo Bingwa wa NBC Premier League.
mpiga vichwa umecopy kichwa cha OnyangoeMkuu nimeandika nikiwa nimefumba macho .
Mlikubaliana na Nani?kwan red card kwa kocha ni mechi ngap?
Halafu situlikubaliana Yanga wanafwat ratiba, sasa hii imekaaje...
Kwa hiyo mtoa mada ni muongo mkuu au mkuu wa wasema uwongo?Akuna kitu Kama icho Mino, Nabi atakosa mechi 3, kuanzia iyo ya namungo, simba na Ruvu shooting kwa mujibu wa kanuni,
Popoma mwenyewe kaukimbia Uzi wakeAkili fupi, red card ni mechi tatu, sasa atakuwepo kwenye derby kwa kanuni ipi? Kashangilie twaaarab mpira hujui.
Adhabu ya kocha si Sawa na ya mchezaji.Huyu jamaa sipati picha angekuwa na jinsia ya kike ni namna gani angekuwa mgombanishaji wa ndoa za watu. Yaani anajifanya kujua ya ndani kumbe ni sifuri kichwani. Sheria ipo wazi kuwa ukipewa red card utatumikia adhabu mechi tatu. Sasa huyu sheria ya mechi moja kaitolea wapi? Yaani hata sheria za mpira hazijui halafu anajifanya mjuaji
Mkome!TFF tambueni kuwa wakati nyie mkijifanya kuwa mna Akili tambueni kuwa kuna Watanzania wenye Akili kuwazidi halafu ni Wajanja kuliko nyie.
Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu Nabi atumikie Red Card yake na katika Mechi ya Kariakoo Derby awepo Benchini?
Kwa ninavyowajua Yanga SC kama Kocha wao Nabi asingekuwa na hii Red Card hii Ratiba ya kucheza na Namungo FC wangeikataa na msingewafanya lolote ila na Wao wameifurahia kwakuwa wanajua itamsaidia Kocha wao Mkuu Nabi kuitumikia halafu katika Kariakoo Derby atakuwepo Kuwaongoza Wachezaji wake.
Kweli kwa Msimu huu Yanga SC imejipanga Kimkakati kote kote tu Hongereni na sasa haina mjadala Yanga SC iwe isiwe ndiyo Bingwa wa NBC Premier League.
Hapana mkuu , hicho ndicho kichwa changu halisi.mpiga vichwa umecopy kichwa cha Onyangoe
Kwa ile ya Kocha Nabi ni Mechi Moja tu.
Hata hapa na me nahitaji ufafanuzi kidogoKwani red card ya mashindano ya FA inahusika kupeleka moto mpaka kwenye mashindano ya ligi kuu?