Kumbe Mechi ya Yanga SC na Namungo FC imelazimishwa ili Kocha Nabi atumikie Red Card yake na Mechi ya Derby awepo Benchini?

Kumbe Mechi ya Yanga SC na Namungo FC imelazimishwa ili Kocha Nabi atumikie Red Card yake na Mechi ya Derby awepo Benchini?

TFF tambueni kuwa wakati nyie mkijifanya kuwa mna Akili tambueni kuwa kuna Watanzania wenye Akili kuwazidi halafu ni Wajanja kuliko nyie.

Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu Nabi atumikie Red Card yake na katika Mechi ya Kariakoo Derby awepo Benchini?

Kwa ninavyowajua Yanga SC kama Kocha wao Nabi asingekuwa na hii Red Card hii Ratiba ya kucheza na Namungo FC wangeikataa na msingewafanya lolote ila na Wao wameifurahia kwakuwa wanajua itamsaidia Kocha wao Mkuu Nabi kuitumikia halafu katika Kariakoo Derby atakuwepo Kuwaongoza Wachezaji wake.

Kweli kwa Msimu huu Yanga SC imejipanga Kimkakati kote kote tu Hongereni na sasa haina mjadala Yanga SC iwe isiwe ndiyo Bingwa wa NBC Premier League.
hiyo mechi na mnyama, Nabi awepo asiwepo watafungwa, screenshot hii comment
 
TFF tambueni kuwa wakati nyie mkijifanya kuwa mna Akili tambueni kuwa kuna Watanzania wenye Akili kuwazidi halafu ni Wajanja kuliko nyie.

Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu Nabi atumikie Red Card yake na katika Mechi ya Kariakoo Derby awepo Benchini?

Kwa ninavyowajua Yanga SC kama Kocha wao Nabi asingekuwa na hii Red Card hii Ratiba ya kucheza na Namungo FC wangeikataa na msingewafanya lolote ila na Wao wameifurahia kwakuwa wanajua itamsaidia Kocha wao Mkuu Nabi kuitumikia halafu katika Kariakoo Derby atakuwepo Kuwaongoza Wachezaji wake.

Kweli kwa Msimu huu Yanga SC imejipanga Kimkakati kote kote tu Hongereni na sasa haina mjadala Yanga SC iwe isiwe ndiyo Bingwa wa NBC Premier League.
hiyo mechi na mnyama, Nabi awepo asiwepo watafungwa, screenshot hii comment
 
TFF tambueni kuwa wakati nyie mkijifanya kuwa mna Akili tambueni kuwa kuna Watanzania wenye Akili kuwazidi halafu ni Wajanja kuliko nyie.

Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu Nabi atumikie Red Card yake na katika Mechi ya Kariakoo Derby awepo Benchini?

Kwa ninavyowajua Yanga SC kama Kocha wao Nabi asingekuwa na hii Red Card hii Ratiba ya kucheza na Namungo FC wangeikataa na msingewafanya lolote ila na Wao wameifurahia kwakuwa wanajua itamsaidia Kocha wao Mkuu Nabi kuitumikia halafu katika Kariakoo Derby atakuwepo Kuwaongoza Wachezaji wake.

Kweli kwa Msimu huu Yanga SC imejipanga Kimkakati kote kote tu Hongereni na sasa haina mjadala Yanga SC iwe isiwe ndiyo Bingwa wa NBC Premier League.
............Kama kitu hujui uwe unakaa kimya sio lazima kila mtu aanzishe uzi.
 
Ni kwamba mmejisahaulisha Cedric Kaze ndio alikuwa kocha mkuu wa Yanga? Kwamba hamjui Kaze ndio anawajuwa vizuri Simba kuliko Nabi?

Kutokuwepo kwa Nabi kwenye benchi ni hasara kwa Simba maana Kaze ndio atakuwa fundi mitambo ndio mtajuwa mwaka huu Yanga imedhamiria ndio maana ikamrudisha Kaze kumsaidia Nabi.
 
Sisi kama simba tunamruhusu aje na akae kwenye benchi apange team ili kusiwe na kisingizio tukiamua tunaweza kwani soka letu kivyetu vyetu.
 
Sisi kama simba tunamruhusu aje na akae kwenye benchi apange team ili kusiwe na kisingizio tukiamua tunaweza kwani soka letu kivyetu vyetu.
Nabi ameshamaliza kazi ametupa ubingwa tayari, nyinyi Cedric kaze mbona anawatosha?

Nabi kazi yake iliyobaki ni kujenga timu ya kufanya vizuri klabu bingwa Afrika msimu ujao.
 
TFF tambueni kuwa wakati nyie mkijifanya kuwa mna Akili tambueni kuwa kuna Watanzania wenye Akili kuwazidi halafu ni Wajanja kuliko nyie.

Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu Nabi atumikie Red Card yake na katika Mechi ya Kariakoo Derby awepo Benchini?

Kwa ninavyowajua Yanga SC kama Kocha wao Nabi asingekuwa na hii Red Card hii Ratiba ya kucheza na Namungo FC wangeikataa na msingewafanya lolote ila na Wao wameifurahia kwakuwa wanajua itamsaidia Kocha wao Mkuu Nabi kuitumikia halafu katika Kariakoo Derby atakuwepo Kuwaongoza Wachezaji wake.

Kweli kwa Msimu huu Yanga SC imejipanga Kimkakati kote kote tu Hongereni na sasa haina mjadala Yanga SC iwe isiwe ndiyo Bingwa wa NBC Premier League.
Mbumbumbu kwenye ubora wako. Mwizi huwa anadhani kila mtu ni mwizi kama yeye.
Nabi atakosa mechi tatu na faini ya laki tano. Hayo mengine danganyaneni mambumbumbu

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom