The indigenous
JF-Expert Member
- May 14, 2018
- 312
- 143
Mpuuzi tu yule hamna kitu kumbe boya tuWewe unaijua katiba ya Chadema kumzidi Halima James Mdee?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi tu yule hamna kitu kumbe boya tuWewe unaijua katiba ya Chadema kumzidi Halima James Mdee?!
FYI, Baba ako Meko anajua 'mziki' wa mashujaa wa mtandaoni ndio maana alihangaika kuzuia internet, wala hakuhangaika kumzuia Mdee.Halima James Mdee anawazidi sana nyie mashujaa wa mitandaoni!
Mbowe ana hasira Halima Mdee amemkata Joyce Mukya.. Mnyika ana hasira Halima Mdee amemkata Upendo Peneza!Umeelezea vizuri sana.
Nakumbuka Tundu Lisu na Zitto waliwapaga dada zao ubunge hapo Ufipa!
Viti maalumu ni vya wanawake, wanaume mnawashwa nini?Nilidhani yale majina ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk nk.
Ni kama vile BAWACHA imehamia bungeni.
Hongereni akina mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Lakini hamuingii kwenye kamati kuu ya Ufipa!FYI, Baba ako Meko anajua 'mziki' wa mashujaa wa mtandaoni ndio maana alihangaika kuzuia internet, wala hakuhangaika kumzuia Mdee.
Kamati kuu ilikaa lini kumpitisha maalimu awe mgombea zenji? Chandimu kuna ombwe la uongozi, ndo maana tuliwapiga spana!Unavyodai ya kwamba CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA, je kuna kikao cha kamati kuu ya chama kilifanyika ili kuidhinisha na kupitisha majina hayo?
Subiri kesho ndio utamjua vizuri.Mpuuzi tu yule hamna kitu kumbe boya tu
Swali zuri sana!Kamati kuu ilikaa lini kumpitisha maalimu awe mgombea zenji? Chandimu kuna ombwe la uongozi, ndo maana tuliwapiga spana!
Wabarikiwe!!!Nilidhani yale majina ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk nk.
Ni kama vile BAWACHA imehamia bungeni.
Hongereni akina mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.
Maendeleo hayana vyama!
MapichapichaHakuna jipya sana ingawa sounds nasty, haipendezi kabisa...Kama hii hapa
1. Mlipaji Mkuu wa serikali... Mtoto wa dada
2. Contractor Mayanga... mme wa mdogo wangu (shemeji)
3. Mkuu wa serikali... Rais
4. Mkuu wa hazina.... Mtoto wa dada
Unaelewa maana ya uthibitisho?Yaani maneno ya mtuhumiwa wa uhalifu yanatumika kuthibitisha kuwa uhalifu haukufanyika?Unaelewa kuwa Mdee ni mtuhumiwa katika hili?Yaani jambazi anaetuhumiwa kuiba unaweza kutumia maneno yake ya mdomo wake ya kusema kuwa hakuna ujambazi uliofanyika kuthibitisha kuwa hakuna ujambazi uliotendeka?Ingekuwa ni mahakamani umeulizwa na mheshimiwa hakimu kuwa peleka ushahidi kuwa kikao cha kamati kuu kilifanyika ungemwambia hakimu kuwa ushahidi wako ni Halima Mdee(ambae ni mtuhumiwa) kusema kuwa kikao kimefanyika?Halima James Mdee amesema uteuzi wao una baraka za mwenyekiti.
Sisi tuliompokea Lowassa hapo Ufipa 2015 tunaelewa alichomaanisha Halima.
CC ya Chadema ni rubber stamp ya maamuzi ya mwenyekiti!
Maendeleo hayana vyama.
Hela za wafadhili zenye masharti ya wapinzani kuwa wenyeviti na wajumbe wa kamati za PAC , LAAC na ile ya mashirika ya umma ndio zimewaehusha hivi ? Nyinyi si dona kantri ? , Mpaka mnaenda kutoa watu jela usiku wa manane na kumsafirisha toka Singida mpaka Dodoma kwa gharama zenu? Kila siku huwa nawaambia CCM ni wehu mnakataa ? Mnaona Sasa mnavyojidhalilisha . Mkaenda kumtoa na Salome Makamba jela si mlisema amechoma nyumba ya afisa kipeuo uchwara wenu Patrobas Katambi ? Kesi imeisha? Bipolar disorder ugonjwa mbaya sana .Nilidhani yale majina ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk nk.
Ni kama vile BAWACHA imehamia bungeni.
Hongereni akina mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Demokrasia ipi hiyo isiyofuata sheria?nijibu swali langu la kizushi
Kigogo alimwambia Halima Kamati kuu imemuwekea majina ya nyumba ndogo ya Mbowe na Sugu ayaongeze, Halima kukataa ndio kaonekana mjinga?
Mwaka huu kuna ubaya gani Halima naye akachagua majina yake tena kwa wale walioumia kwenye wizi wa kuibiwa kura kama matiko, Mdee, Bulaya nk fuatilia majina ya Viti maalum miaka yote km hayana uhusiano na sio matakwa ya BAWACHA
Kikao hakiwezi kuwalazimisha eti niwekeeni na Dada yangu, acheni Demokrasia itamalaki popote
Sasa kikao kisingefanyika majina yale yangefikaje NEC?Unaelewa maana ya uthibitisho?Yaani maneno ya mtuhumiwa wa uhalifu yanatumika kuthibitisha kuwa uhalifu haukufanyika?Unaelewa kuwa Mdee ni mtuhumiwa katika hili?Yaani jambazi anaetuhumiwa kuiba unaweza kutumia maneno yake ya mdomo wake ya kusema kuwa hakuna ujambazi uliofanyika kuthibitisha kuwa hakuna ujambazi uliotendeka?Ingekuwa ni mahakamani umeulizwa na mheshimiwa hakimu kuwa peleka ushahidi kuwa kikao cha kamati kuu kilifanyika ungemwambia hakimu kuwa ushahidi wako ni Halima Mdee(ambae ni mtuhumiwa) kusema kuwa kikao kimefanyika?
mapichapicha nayaogopaMapichapicha![]()
Hizi tuhuma zako mbalimbali ulizoongea hapo juu sijui hawara sijui nileteeni dada yangu,e.t.c nitajuaje na nitakuwaje na uhakika kuwa ni za kweli na wala siyo tu porojo za kisiasa za hapa na pale za kulifuraisha genge hapa?Kwa sababu hapa mtu anaweza kuongea chochote anachojisikia kuongea!nijibu swali langu la kizushi
Kigogo alimwambia Halima Kamati kuu imemuwekea majina ya nyumba ndogo ya Mbowe na Sugu ayaongeze, Halima kukataa ndio kaonekana mjinga?
Mwaka huu kuna ubaya gani Halima naye akachagua majina yake tena kwa wale walioumia kwenye wizi wa kuibiwa kura kama matiko, Mdee, Bulaya nk fuatilia majina ya Viti maalum miaka yote km hayana uhusiano na sio matakwa ya BAWACHA
Kikao hakiwezi kuwalazimisha eti niwekeeni na Dada yangu, acheni Demokrasia itamalaki popote
Sharia gani ya demokrasia unayoitafuta, mpaka kuwaingilia wanawake jikoni, eti msimsahau na dada yangu kweny list yenu. Kama Sheria mngeyalinda mabox ya kura na kuzihesabuDemokrasia ipi hiyo isiyofuata sheria?
Siasa ni sayansi bwashee!Hela za wafadhili zenye masharti ya wapinzani kuwa wenyeviti na wajumbe wa kamati za PAC , LAAC na ile ya mashirika ya umma ndio zimewaehusha hivi ? Nyinyi si dona kantri ? , Mpaka mnaenda kutoa watu jela usiku wa manane na kumsafirisha toka Singida mpaka Dodoma kwa gharama zenu? Kila siku huwa nawaambia CCM ni wehu mnakataa ? Mnaona Sasa mnavyojidhalilisha . Mkaenda kumtoa na Salome Makamba jela si mlisema amechoma nyumba ya afisa kipeuo uchwara wenu Patrobas Katambi ? Kesi imeisha? Bipolar disorder ugonjwa mbaya sana .
Nashangaa Trump alifanya yote hayo juu na zaidi na bado alipendwa na kutokusemwa?!Hakuna jipya sana ingawa sounds nasty, haipendezi kabisa...Kama hii hapa
1. Mlipaji Mkuu wa serikali... Mtoto wa dada
2. Contractor Mayanga... mme wa mdogo wangu (shemeji)
3. Mkuu wa serikali... Rais
4. Mkuu wa hazina.... Mtoto wa dada