Kumbe Menejimenti Team yote ya BAWACHA wamepata Ubunge wa Viti Maalumu

Kumbe Menejimenti Team yote ya BAWACHA wamepata Ubunge wa Viti Maalumu

Nilidhani yale majina ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.

Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk nk.

Ni kama vile BAWACHA imehamia bungeni.

Hongereni akina mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.

Maendeleo hayana vyama!
Viti maalumu ni vya wanawake, wanaume mnawashwa nini?
 
Unavyodai ya kwamba CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA, je kuna kikao cha kamati kuu ya chama kilifanyika ili kuidhinisha na kupitisha majina hayo?
Kamati kuu ilikaa lini kumpitisha maalimu awe mgombea zenji? Chandimu kuna ombwe la uongozi, ndo maana tuliwapiga spana!
 
Nilidhani yale majina ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.

Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk nk.

Ni kama vile BAWACHA imehamia bungeni.

Hongereni akina mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.

Maendeleo hayana vyama!
Wabarikiwe!!!
 
Hawana baraka za chama, hivyo hata hawana furaha ya kuapishwa wana sonono vifuani mwao kwa kuwasaliti watanzania mil 50
 
Hakuna jipya sana ingawa sounds nasty, haipendezi kabisa...Kama hii hapa
1. Mlipaji Mkuu wa serikali... Mtoto wa dada
2. Contractor Mayanga... mme wa mdogo wangu (shemeji)
3. Mkuu wa serikali... Rais
4. Mkuu wa hazina.... Mtoto wa dada
Mapichapicha
giphy.gif
 
Halima James Mdee amesema uteuzi wao una baraka za mwenyekiti.

Sisi tuliompokea Lowassa hapo Ufipa 2015 tunaelewa alichomaanisha Halima.

CC ya Chadema ni rubber stamp ya maamuzi ya mwenyekiti!

Maendeleo hayana vyama.
Unaelewa maana ya uthibitisho?Yaani maneno ya mtuhumiwa wa uhalifu yanatumika kuthibitisha kuwa uhalifu haukufanyika?Unaelewa kuwa Mdee ni mtuhumiwa katika hili?Yaani jambazi anaetuhumiwa kuiba unaweza kutumia maneno yake ya mdomo wake ya kusema kuwa hakuna ujambazi uliofanyika kuthibitisha kuwa hakuna ujambazi uliotendeka?Ingekuwa ni mahakamani umeulizwa na mheshimiwa hakimu kuwa peleka ushahidi kuwa kikao cha kamati kuu kilifanyika ungemwambia hakimu kuwa ushahidi wako ni Halima Mdee(ambae ni mtuhumiwa) kusema kuwa kikao kimefanyika?
 
Nilidhani yale majina ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.

Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk nk.

Ni kama vile BAWACHA imehamia bungeni.

Hongereni akina mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.

Maendeleo hayana vyama!
Hela za wafadhili zenye masharti ya wapinzani kuwa wenyeviti na wajumbe wa kamati za PAC , LAAC na ile ya mashirika ya umma ndio zimewaehusha hivi ? Nyinyi si dona kantri ? , Mpaka mnaenda kutoa watu jela usiku wa manane na kumsafirisha toka Singida mpaka Dodoma kwa gharama zenu? Kila siku huwa nawaambia CCM ni wehu mnakataa ? Mnaona Sasa mnavyojidhalilisha . Mkaenda kumtoa na Salome Makamba jela si mlisema amechoma nyumba ya afisa kipeuo uchwara wenu Patrobas Katambi ? Kesi imeisha? Bipolar disorder ugonjwa mbaya sana .
 
nijibu swali langu la kizushi
Kigogo alimwambia Halima Kamati kuu imemuwekea majina ya nyumba ndogo ya Mbowe na Sugu ayaongeze, Halima kukataa ndio kaonekana mjinga?
Mwaka huu kuna ubaya gani Halima naye akachagua majina yake tena kwa wale walioumia kwenye wizi wa kuibiwa kura kama matiko, Mdee, Bulaya nk fuatilia majina ya Viti maalum miaka yote km hayana uhusiano na sio matakwa ya BAWACHA
Kikao hakiwezi kuwalazimisha eti niwekeeni na Dada yangu, acheni Demokrasia itamalaki popote
Demokrasia ipi hiyo isiyofuata sheria?

Suala la kuwekwa mwanamke wa nani hapa halina maana, issue hawakufuata taratibu za kuwapeleka bungeni, msiondoe watu kwenye hoja ya msingi mnaleta zenu za kijanja.
 
Unaelewa maana ya uthibitisho?Yaani maneno ya mtuhumiwa wa uhalifu yanatumika kuthibitisha kuwa uhalifu haukufanyika?Unaelewa kuwa Mdee ni mtuhumiwa katika hili?Yaani jambazi anaetuhumiwa kuiba unaweza kutumia maneno yake ya mdomo wake ya kusema kuwa hakuna ujambazi uliofanyika kuthibitisha kuwa hakuna ujambazi uliotendeka?Ingekuwa ni mahakamani umeulizwa na mheshimiwa hakimu kuwa peleka ushahidi kuwa kikao cha kamati kuu kilifanyika ungemwambia hakimu kuwa ushahidi wako ni Halima Mdee(ambae ni mtuhumiwa) kusema kuwa kikao kimefanyika?
Sasa kikao kisingefanyika majina yale yangefikaje NEC?

Uteuzi wa wabunge ni mchakato wa kisheria na NEC na Spika wa bunge siyo wajinga kama Ufipa mnavyowafikiria!
 
nijibu swali langu la kizushi
Kigogo alimwambia Halima Kamati kuu imemuwekea majina ya nyumba ndogo ya Mbowe na Sugu ayaongeze, Halima kukataa ndio kaonekana mjinga?
Mwaka huu kuna ubaya gani Halima naye akachagua majina yake tena kwa wale walioumia kwenye wizi wa kuibiwa kura kama matiko, Mdee, Bulaya nk fuatilia majina ya Viti maalum miaka yote km hayana uhusiano na sio matakwa ya BAWACHA
Kikao hakiwezi kuwalazimisha eti niwekeeni na Dada yangu, acheni Demokrasia itamalaki popote
Hizi tuhuma zako mbalimbali ulizoongea hapo juu sijui hawara sijui nileteeni dada yangu,e.t.c nitajuaje na nitakuwaje na uhakika kuwa ni za kweli na wala siyo tu porojo za kisiasa za hapa na pale za kulifuraisha genge hapa?Kwa sababu hapa mtu anaweza kuongea chochote anachojisikia kuongea!
 
Demokrasia ipi hiyo isiyofuata sheria?
Sharia gani ya demokrasia unayoitafuta, mpaka kuwaingilia wanawake jikoni, eti msimsahau na dada yangu kweny list yenu. Kama Sheria mngeyalinda mabox ya kura na kuzihesabu
 
Hela za wafadhili zenye masharti ya wapinzani kuwa wenyeviti na wajumbe wa kamati za PAC , LAAC na ile ya mashirika ya umma ndio zimewaehusha hivi ? Nyinyi si dona kantri ? , Mpaka mnaenda kutoa watu jela usiku wa manane na kumsafirisha toka Singida mpaka Dodoma kwa gharama zenu? Kila siku huwa nawaambia CCM ni wehu mnakataa ? Mnaona Sasa mnavyojidhalilisha . Mkaenda kumtoa na Salome Makamba jela si mlisema amechoma nyumba ya afisa kipeuo uchwara wenu Patrobas Katambi ? Kesi imeisha? Bipolar disorder ugonjwa mbaya sana .
Siasa ni sayansi bwashee!
 
Hakuna jipya sana ingawa sounds nasty, haipendezi kabisa...Kama hii hapa
1. Mlipaji Mkuu wa serikali... Mtoto wa dada
2. Contractor Mayanga... mme wa mdogo wangu (shemeji)
3. Mkuu wa serikali... Rais
4. Mkuu wa hazina.... Mtoto wa dada
Nashangaa Trump alifanya yote hayo juu na zaidi na bado alipendwa na kutokusemwa?!
 
Back
Top Bottom