Kumbe Menejimenti Team yote ya BAWACHA wamepata Ubunge wa Viti Maalumu

Kumbe Menejimenti Team yote ya BAWACHA wamepata Ubunge wa Viti Maalumu

Hakuna jipya sana ingawa sounds nasty, haipendezi kabisa...Kama hii hapa
1. Mlipaji Mkuu wa serikali... Mtoto wa dada
2. Contractor Mayanga... mme wa mdogo wangu (shemeji)
3. Mkuu wa serikali... Rais
4. Mkuu wa hazina.... Mtoto wa dada
Mkuu, hiyo namba 1 na 4 ni watu tofauti?
 
Chadema zero brain, Ndugai anawachagulia wabunge? Halafu mnawapeleka? Tena ni viongozi wa juu wa chadema wanachaguliwa na CCM?
CCM ni ma genius, chadema nyumbu hovyo kabisa hawawezi kukataa chochote toka CCM!
CCM ni nyumbu sana nyie, katibu mkuu wa chadema Jana kakana na kakataa kamati haijachagua na haijapekeka list ya wabunge, Hao walioapa ni wabunge wa ndugai anajua alipowatoa muulizeni vizuri nyinyi nyumbuzi
 
CCM wamewalaghai hawa kina mama !! hii ni dhambi kubwa sana na ni lazima ikemewe kwa kila mpenda demokrasia ya kweli nchini.
Demokrasia gani unayo refer hapa, kuwanyima haki ya kuwakilisha wananchi pia kuingilia Demokrasia. Mnamdhalilisha mjumbe wa kamati kuu kirahisi hivi.Halima Mdee ni icon ndani ya chadema but you guys are failing to show some bits of respect to her and cos. Yaani chadema mmeamua kumdhalilisha kwa kuwa ni mwanamke na mnasahau kuwa kuna jasho lake ndani ya chadema na mafanikio pia.

Kuna ubaya gani kusubiri maamuzi ya kikao halali?? Vijana wa chadema mnakosa uvumilivu na nidhamu.Vyao vya Halima Mdee ndani ya chadema vinawafanya muwe na adabu kwako. Come on!!!!!@.Hata Mnyika kama KM kakosa kabisa busara, kwa nini asingetumia vikao badala ya kuhukumu
 
Hongera kwa mwenyekiti wa BAWACHA kwa uzalendo wa kweli kwa nchi, hongera sana
Halima kakulia bungeni. Ameshapazoea, akipakosa anaona kama hakuna maisha! Kwa hiyo haoni shida kujilipua!
 
Nilidhani yale majina ya Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.

Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk.

Ni kama vile BAWACHA imehamia Bungeni.

Hongereni akina Mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.

Maendeleo hayana vyama!
Huu ndiyo uthibitisho mwingine kuwa majina hayalupata barka za chama.
Tume imeona ichukue watu wenye nguvu maana kama angachwa mdee,buyala na wengine wenye nguvu ndani ya chama wangepata upinzani mkubwa
 
Demokrasia gani unayo refer hapa, kuwanyima haki ya kuwakilisha wananchi pia kuingilia Demokrasia. Mnamdhalilisha mjumbe wa kamati kuu kirahisi hivi.Halima Mdee ni icon ndani ya chadema but you guys are failing to show some bits of respect to her and cos. Yaani chadema mmeamua kumdhalilisha kwa kuwa ni mwanamke na mnasahau kuwa kuna jambo lake ndani ya chadema na mafanikio. Kuna ubaya gani kusubiri maamuzi ya kikao halali?? Vijana wa chadema mnakosa uvumilivu na nidhamu.Vyao vya Halima Mdee ndani ya chadema vinawafanya muwe na adabu kwako. Come on!!!!!@
Demokrasia ndani ya taasisi ina gharama zake, yaani msimamo wa wengi ndani ya kikao halali cha Taasisi ndiyo huwa msimamo wa Taasisi nzima hata kama maamuzi hayo yatakuumiza ama la... Sasa kwenda kinyume chake ni kwamba tayari wewe unaisaliti Taasisi na adhabu zake huwa zipo kwenye katiba ya taasisi husika.

Huyu huyu Halima majuzi tu kalalamika kuibiwa kura wazi wazi pale Kawe.... leo hii anataka kubariki dhambi hiyo? Huyo Matiko kadhalilishwa live live leo na mjeda je na naye anataka kutuambia lichofanyiwa kilikuwa sawa siyo...

Ndiyo wanaweza kubariki uharamia huo watakavyo maana nao ni binadamu wana utashi wao ILA angalizo si ndani ya CDM, CDM si uwanja wa kubariki NAJISI.
 
Hao wabunge haijachagua CHADEMA, hao ni wabunge wa Ndugai
Najaribu kuwaza... Inamaana Ndugai achague viongozi wote na hao viongozi wakubali kuchaguliwa tena bila uongozi wao kujua.

Hii ni dalili kuwa hata tungewapa nchi bado tungeongozwa na Mabeberu bila hata wao wenyewe kujua
 
Wewe unaijua katiba ya Chadema kumzidi Halima James Mdee?!
Akili yako ndugu ni changamoto,kwa hyo unataka kuaminisha kwa mfano jaji hawezi kuvunja sheria za mahakama kwa sababu anakalia mavitabu ya sheria mahakamani?
 
Hawa watumwa wa kike wameuzwa Bungeni kwa njia haramu za kishetani kesho ijumaa wafukuzwe wote na endapo chadema haitawafukuza itambue kuwa inaenda kufariki moja kwa moja na kuwa kama TLP NCCR na CUF ya Lipumba
Ukiwafukuza wanatangaza mgogoro ndani ya chama.
Litakalofuata Bawacha watafanya mapinduzi ndani ya chama kufukuza na kuteuwa makamanda wapya.
Chadema asilia wataenda kwa msajiri wa vyama wataambulia patupu.
Mwisho mahakama itaamua Chadema ya Mdee ndio mwenye chama.
Tumeyaona haya kwa NCCR,TLP,CUF.
Kwa sasa Chadema wanatakiwa kuwa wapole "wasiwaguse au kuwasogelea hao Bawacha"vinginevyo ........
 
Hakuna jipya sana ingawa sounds nasty, haipendezi kabisa...Kama hii hapa
1. Mlipaji Mkuu wa serikali... Mtoto wa dada
2. Contractor Mayanga... mme wa mdogo wangu (shemeji)
3. Mkuu wa serikali... Rais
4. Mkuu wa hazina.... Mtoto wa dada
Wivu tu.
 
Ukiwafukuza wanatangaza mgogoro ndani ya chama.
Litakalofuata Bawacha watafanya mapinduzi ndani ya chama kufukuza na kuteuwa makamanda wapya.
Chadema asilia wataenda kwa msajiri wa vyama wataambulia patupu.
Mwisho mahakama itaamua Chadema ya Mdee ndio mwenye chama.
Tumeyaona haya kwa NCCR,TLP,CUF.
Kwa sasa Chadema wanatakiwa kuwa wapole "wasiwaguse au kuwasogelea hao Bawacha"vinginevyo ........
Pale Ufipa hakuna wa kumgusa Halima James Mdee labda angekuwepo Lowassa!
 
Back
Top Bottom