Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Njaa ni nini? Wabunge wa viti maalumu wamechaguliwa kuwa kwenye nafasi ambazo zipo kikatiba, na wakilipwa mishahara, ni haki yao kwa kazi wanazofanya! Na wakati ukitumia viti maalumu CHADEMA kuuponda upinzani, kumbuka ccm wa viti maalumu 94 vilivyopatikana kupitia ’uchafuzi’ huu huu! Hapo hatujaongelea urais, ubunge na udiwani, ambapo palipigwa vibaya, haikua njaa hiyo?!CDM ni genge la wajanjawajanja wanaotafuta ugali. Upinzani nchi hii bado, watu wana njaa sana.