Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hayawahusu ninyi akina nani?Sisi hayo hayatuhusu.
Kilichopo hao akina mama, wako bungeni, full stop.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayawahusu ninyi akina nani?Sisi hayo hayatuhusu.
Kilichopo hao akina mama, wako bungeni, full stop.
Kwani we unaijua katiba ccm zaidi ya Bernard Membe? Kukiuka maadili hakujalishi kuwa wewe ni kiongozi mwandamizi au la!Wewe unaijua katiba ya Chadema kumzidi Halima James Mdee?!
Hahahaaaa Bavicha hawamjui mwenye chama!Ukisikia 'Ng'wee, ujue jiwe limekupata sawa sawa. Kilangila.
Siyo bure hii move. Halima huyu huyu afanye alichokifanya kwa akili yake timamu na kwa hiyari? Mmmmh,! Only God knows!Wewe unaijua katiba ya Chadema kumzidi Halima James Mdee?!
Chadema ilikuwepo kabla ya hao wanawake kuwepo...wafukuzwe tu...wapenda demokrasia watachangia chamaNa hiki ni chama cha DEMOKRASIA.....
Lakini binadamu wote ni wabinafsi by nature especially pale linapokuja suala la maslahi manono
Wewe umewahi kuchangia chama bwashee?Chadema ilikuwepo kabla ya hao wanawake kuwepo...wafukuzwe tu...wapenda demokrasia watachangia chama
Bawacha wameamua kuasiNilidhani yale majina ya Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk.
Ni kama vile BAWACHA imehamia Bungeni.
Hongereni akina Mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Wamesema wamechoka kuwabeba akina Mkya!Bawacha wameamua kuasi
Hahaha imebidi ni cheke.Unawaza upumbavu, utupe nchi we kama nani? Nchi ya babu yako hii? Kama unamiliki hii nchi tufukuzeni basi.
Babu yenu katumia kila mbinu lkn bado hajafanikiwa na hatafanikiwa kuiua chadema, muda si mrefu chama chake kitakuja kuomba maridhiano, ni suala la muda subiri utakuja kuona!Hahaha imebidi ni cheke.
Narudia tena chadema imekufa toka tarehe 27/10/2020.
Sasa endelea kuona nawaza upumbavu.
Kwambali naona umeanza kutoka kwenye muhemko na akili zimeanza kurudi.Babu yenu katumia kila mbinu lkn bado hajafanikiwa na hatafanikiwa kuiua chadema, muda si mrefu chama chake kitakuja kuomba maridhiano, ni suala la muda subiri utakuja kuona!
sorry ni huyo huyo.. kuna katibu mkuu hazina ... na paymaster general ni ndugu zakeMkuu, hiyo namba 1 na 4 ni watu tofauti?
Bwashee maliza kwanza ya nyumbani kwako!sorry ni huyo huyo.. kuna katibu mkuu hazina ... na paymaster general ni ndugu zake
ya Taifa ndiyo muhimu maana anachezea taifa, Jiwe ana abuse ofisi ya taifaBwashee maliza kwanza ya nyumbani kwako!
Kwenye mazingira ambapo yawezekana katibu anagoma kuitisha kikao cha kamati kuu ya chama kwa ajili ya kutoa maamuzi muhimu, katiba ya Chadema aielekezi mamlaka hayo yakasimwe kwa nani!? Kumbuka katiba inasema mamlaka ya kamati kuu yanaweza kukasimiwa na sekretarieti ya kamati kuu. Mwenyekiti wa sekretariate hii ni Katibu Mkuu wa chadema. Rejea katiba ya Chadema ya mwaka 2006( ukrasa wa 77 na 67).Unavyodai ya kwamba CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA, je kuna kikao cha kamati kuu ya chama kilifanyika ili kuidhinisha na kupitisha majina hayo?
Kama yamekushinda ya Ufipa utayaweza ya taifa!ya Taifa ndiyo muhimu maana anachezea taifa, Jiwe ana abuse ofisi ya taifa