Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo albadir si wamsomee magufuliAlibadiri za wapenda haki zinaenda kumwandama atakuwa chizi mda si mrefu
Nafanya kijasusiTumuweke kwenye kundi gani huyu anayejipambanua kama jasusi mbobezi? Tukimuita laghai wa kisiasa tutakosea?
Majuzi ameita press conference na kujinadi eti atafunga bao la dakika 89!!! Hivyo hilo bao ni watu kuiangalia sura yake!?! Mbona hatumsikii wala kumuona jukwaani?
Mgombea gani wa Urais asiyejinadi yeye mwenyewe, wabunge wake, madiwani wake wala kushirikiana na viongozi wa chama chake? Anatafuta Urais binafsi au unaodhaminiwa na chama? Mhe. Membe, mbona husomeki?
Hapa kuna kiini macho kikubwa sanaTumuweke kwenye kundi gani huyu anayejipambanua kama jasusi mbobezi? Tukimuita laghai wa kisiasa tutakosea?
Majuzi ameita press conference na kujinadi eti atafunga bao la dakika 89!!! Hivyo hilo bao ni watu kuiangalia sura yake!?! Mbona hatumsikii wala kumuona jukwaani?
Mgombea gani wa Urais asiyejinadi yeye mwenyewe, wabunge wake, madiwani wake wala kushirikiana na viongozi wa chama chake? Anatafuta Urais binafsi au unaodhaminiwa na chama? Mhe. Membe, mbona husomeki?
Dakika ya 89....labda watampandisha jukwaani tarehe 27 Oct..Chadema and Tundu Lissu need to reach out to Bernard Membe and give him an opportunity to exit the race gracefully.
Huyu bwana mkubwa moyo wangu ulisha mtilia Shaka Sana tangu kipindi Cha huakiki nec aliposema ameamua kwenda kuhakiki form za wadhamini ili asiletewe zengwe na nec kipindi hicho mgombea wa chadema ilikua bado na ikumbukwe lissu hakupeleka form zake kuhakikiwa kabla alizipeleka siku ya kuteua wagombea wa urais,Tumuweke kwenye kundi gani huyu anayejipambanua kama jasusi mbobezi? Tukimuita laghai wa kisiasa tutakosea?
Majuzi ameita press conference na kujinadi eti atafunga bao la dakika 89!!! Hivyo hilo bao ni watu kuiangalia sura yake!?! Mbona hatumsikii wala kumuona jukwaani?
Mgombea gani wa Urais asiyejinadi yeye mwenyewe, wabunge wake, madiwani wake wala kushirikiana na viongozi wa chama chake? Anatafuta Urais binafsi au unaodhaminiwa na chama? Mhe. Membe, mbona husomeki?
Thubutu aone,Membe akamuulize Mzee Wa mchinga,Mudhihir Mudhihir,ameishia wapi.Mbona kisha funga
Dakika ya 89 aka membe ndoo hii
Maalimu Seif nje Zito nje hawana sifa tena membe ndo anachukua chama ...
Nape nae sio wa kumuamini. Anapenda sifa za kijinga. Ati nimemtuma membe aende ACT,Who are you ?Membe katumwa na ccm wenyewe kamsikilize alivyosema nape nauye