Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Mwenyewe sana tu hunichefua na anavojiweka kipindi ni fashion lakini yeye ndo anavaa vibaya ka nini.Ila kipindi anakiwezeaga sana tu Leo alipendeza na gauni LA mama kijacho.
Yaleo sijaiona shoga nilikua naangalia series baada ya star tv kukatisha ile tamthilia ya legal wife sina hamu na tv station yoyote.
Ivi imesharudi au bado tu?