Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Na ukute jamaa anapendwa sana na huyo manzi ila manzi kaamua kutoa papuchi kwa siku moja tu then aendelee kua na mshikaji
Ata iwe Kutoa papuchi kwa round moja bado inaumiza sana moyo
 
Mkuu Leo ndiyo Leo, Piga KVANT kabisa dushe lisimame Dede..

Tunasubiri tu mrejesho.
Mkuu moyo unanienda mbionsiku nzima ya leo, nimeshinda kwenye feni lakin jasho linanitiririka siku nzima. Saambili ndio filamu tunaianza.

Sijui ni aibu kiasi gani ataipata uyu mwanamke.. i don't imagine
 
NAMPENDA SANA UYU DEMU NA YEYE ANANIPENDA SANA NA YUPO FREE ATA KUJIACHIA NAMIM ATA SEHEMU ZA WATU BILA KUJIFICHA, NIKIMUHITAJI MUDA WOWOTE ANATOKEA, PENZI NIJIPIMIE MIM TU NA NGEZI ZANGU, NUNDU ANALO TENA LAIN SANA, KWAO AMENIPELEKA, NAMIM KWETU NIMEMPELEKA,,, NI MTU MWAMINIFU SANA,

NI KWAMBA SIJAJUA NI PEPO GANI LA TAMAA LIMEMVAA UYU BINTI MREMBO WA NDOA TARAJIWA.
Sema Unampenda Sana sio na yeye ananipendaa. Umedanganywa sisi wadada tukipendaga kwa dhati hata SMS za wanaume wengine hatujibu ....labda tuigizee tyu kuwapenda kwa ahadi ya ndoa....mwanamke akipendaa huwa acheat ..[emoji850][emoji850][emoji850]
 
Mkuu moyo unanienda mbionsiku nzima ya leo, nimeshinda kwenye feni lakin jasho linanitiririka siku nzima. Saambili ndio filamu tunaianza.

Sijui ni aibu kiasi gani ataipata uyu mwanamke.. i don't imagine
Hupendwii bwana wewe na nakuhakikishia siku uyo Dada akampata mwanaume ambae watapendana wote na waka ahidiana kuoana ...unaachwaa...uyo mwanamke yupo kwako kwa sababu umemuahidii kumuoa wala hakupendii
Narudiaa tena hakuna mwanamke anampenda mpnz wake halafu amsalitii....kwanza hiyo tyu kuchat na MTU asiemjuaa mpk kumtumiaa mapicha ya uchii uyo Dada ni kiboko ...wanatumaga picha za ivo kwa watu wanaowapenda otherwise awe anafanya biashara ya mbususa online
Polee
 
Asante Dada,, Hii movie nisipoikamilisha atajitetea uyu kwa kusema nilijua tu kuwa ni wew.. sasa nataka leo mim MASSETO original nimuombe mbususu kisha najua tu ataniambia leo kuna dharula nimeipata alaf anaenda kuonana na MASSETO wa kumletea SAMSUNG
SawA Ila usimuache nakusisitiza.....angalia tu ni kitu kipi alikua apati.....umpatie alaf mipango ya ndoa iendelee
 
SawA Ila usimuache nakusisitiza.....angalia tu ni kitu kipi alikua apati.....umpatie alaf mipango ya ndoa iendelee
Acha kumpoteza huyo jamaa,
Kuna usemi unasema
"Once a cheater always a cheater"
Kuna baadhi ya wanawake wana hulka za kimalaya tu!
Sasa Kama kuna kitu alkuwa anakosa kwa nn hakuwa muwaz
 
Acha kumpoteza huyo jamaa,
Kuna usemi unasema
"Once a cheater always a cheater"
Kuna baadhi ya wanawake wana hulka za kimalaya tu!
Sasa Kama kuna kitu alkuwa anakosa kwa nn hakuwa muwaz
Kwan ww ujawai kucheat...ujawai kumfanyia mtu Ako mambo ya ajabu zaid ya aloyafanya huyo dada....... Haya yeye ni mtu mzima anaweza chukua ushauri wako akauacha wangu....au atoe wake kichwani!
 
Back
Top Bottom