GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Media tatu hapa Tanzania ukienda huko jiandae kwa yafuatayo....Hahahaaha...akaage...
Duhh , huko mediani kuna nn mpk watu walogane asewNamba 3 ni WBC WAFASI FM,namba mbili ni Claudis fm
Huyo Ndio Gentamyaβ¦Kuna Media tatu hapa Tanzania ukienda huko jiandae kwa yafuatayo....
1. Kurogwa ila unachelewa Kufa
2. Kurogwa na unakufa kwa Ajali mbaya
3. Kuwa Shoga na Kuambukizwa UKIMWI
ANGALIZO
Sitaki Swali lolote kuwa ni Media gani hizo ila kwa Sisi wana Tasnia tulio Wakongwe tunazijua na kuwaonea Huruma walioko.
Asiye na mfano hapa JamiiForums Mkuu.Huyo Ndio Gentamyaβ¦
Jau tu π€£Asiye na mfano hapa JamiiForums Mkuu.
Kabisaa mkuuu.Asiye na mfano hapa JamiiForums Mkuu.
Hiyo Namba tatu ya kibabe sana, ningeipata hiyo formula kuna mjinga fulani humu JF ningempiga nayo awe anagawa kijambio chake hadharani dadeq.Kuna Media tatu hapa Tanzania ukienda huko jiandae kwa yafuatayo....
1. Kurogwa ila unachelewa Kufa
2. Kurogwa na unakufa kwa Ajali mbaya
3. Kuwa Shoga na Kuambukizwa UKIMWI
ANGALIZO
Sitaki Swali lolote kuwa ni Media gani hizo ila kwa Sisi wana Tasnia tulio Wakongwe tunazijua na kuwaonea Huruma walioko.
Uchawi na umalaya ni vya siku nyingi kwenye media,kabla hata ya ujio wa TVHuku kwenye media kuna uchafu sana. Ukibahatika kuwa na ukaribu na watu waliopo ndani ya media utamwelewa vizuri GENTAMYCINE.
Mikocheni Media jirani na Ofisi za Red Cross kama unaelekea Kawe.Hiyo Namba tatu ya kibabe sana, ningeipata hiyo formula kuna mjinga fulani humu JF ningempiga nayo awe anagawa kijambio chake hadharani dadeq.
Ukiona GENTAMYCINE naleta TAARIFA yoyote hapa iamini kwa 100% kwani hiyo ni Industry yangu Kitaaluma na najua mengi.Huku kwenye media kuna uchafu sana. Ukibahatika kuwa na ukaribu na watu waliopo ndani ya media utamwelewa vizuri GENTAMYCINE.
Kuna Media tatu hapa Tanzania ukienda huko jiandae kwa yafuatayo....
1. Kurogwa ila unachelewa Kufa
2. Kurogwa na unakufa kwa Ajali mbaya
3. Kuwa Shoga na Kuambukizwa UKIMWI
ANGALIZO
Sitaki Swali lolote kuwa ni Media gani hizo ila kwa Sisi wana Tasnia tulio Wakongwe tunazijua na kuwaonea Huruma walioko.
Kwahiyo na Wewe ni Shoga?Kwa hiyo na wewe ni mwana tasnia?