Kumbe Mtangazaji Mchambuzi Hans Rafael Kiburi chako chote cha Unazi wako ni kwakuwa umepata Ofa Kubwa Azam Media na karibuni unaachana na Crown Media?

Kumbe Mtangazaji Mchambuzi Hans Rafael Kiburi chako chote cha Unazi wako ni kwakuwa umepata Ofa Kubwa Azam Media na karibuni unaachana na Crown Media?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mchambuzi mahiri Hans Rafael ameomba kuvunja mkataba wake na Crown FM đź‘‘, hatua inayozua maswali kwa mashabiki wa uchambuzi wa michezo.

Taarifa nilizozipata kutoka kwa chanzo changu cha uhakika zinaeleza kuwa Hans amepewa ofa nono na Azam Media, jambo lililomsukuma kuomba kuondoka Crown FM.

Iwapo dili hilo litakamilika, huenda tukamwona Hans akiungana na Azam Media kwa ajili ya kazi mpya ya uchambuzi wa michezo.

Chanzo: sozy_media

Na kama unaenda huko Azam Media ninakuonya Kwanza kaage Kwenu napajua kwa Vipapai na Kufa kwa Kushtukiza.
 
Hahahaaha...akaage...
Kuna Media tatu hapa Tanzania ukienda huko jiandae kwa yafuatayo....

1. Kurogwa ila unachelewa Kufa

2. Kurogwa na unakufa kwa Ajali mbaya

3. Kuwa Shoga na Kuambukizwa UKIMWI

ANGALIZO

Sitaki Swali lolote kuwa ni Media gani hizo ila kwa Sisi wana Tasnia tulio Wakongwe tunazijua na kuwaonea Huruma walioko.
 
Kuna Media tatu hapa Tanzania ukienda huko jiandae kwa yafuatayo....

1. Kurogwa ila unachelewa Kufa

2. Kurogwa na unakufa kwa Ajali mbaya

3. Kuwa Shoga na Kuambukizwa UKIMWI

ANGALIZO

Sitaki Swali lolote kuwa ni Media gani hizo ila kwa Sisi wana Tasnia tulio Wakongwe tunazijua na kuwaonea Huruma walioko.
Huyo Ndio Gentamya…
 
Yeye kupata deal la kwenda Azam aliloga? Kama ni kazi yake nzuri imempa shavu bas afanye kazi vizuri kama Godlisten Muro & Ramadan Mbwaduke atadumu pale.....ukisharuhusu akili yako kuamini uchawi sana kila Kila jambo utahusianisha huko!
 
Kuna Media tatu hapa Tanzania ukienda huko jiandae kwa yafuatayo....

1. Kurogwa ila unachelewa Kufa

2. Kurogwa na unakufa kwa Ajali mbaya

3. Kuwa Shoga na Kuambukizwa UKIMWI

ANGALIZO

Sitaki Swali lolote kuwa ni Media gani hizo ila kwa Sisi wana Tasnia tulio Wakongwe tunazijua na kuwaonea Huruma walioko.
Hiyo Namba tatu ya kibabe sana, ningeipata hiyo formula kuna mjinga fulani humu JF ningempiga nayo awe anagawa kijambio chake hadharani dadeq.
 
Hiyo Namba tatu ya kibabe sana, ningeipata hiyo formula kuna mjinga fulani humu JF ningempiga nayo awe anagawa kijambio chake hadharani dadeq.
Mikocheni Media jirani na Ofisi za Red Cross kama unaelekea Kawe.
 
Huku kwenye media kuna uchafu sana. Ukibahatika kuwa na ukaribu na watu waliopo ndani ya media utamwelewa vizuri GENTAMYCINE.
Ukiona GENTAMYCINE naleta TAARIFA yoyote hapa iamini kwa 100% kwani hiyo ni Industry yangu Kitaaluma na najua mengi.
 
Kuna Media tatu hapa Tanzania ukienda huko jiandae kwa yafuatayo....

1. Kurogwa ila unachelewa Kufa

2. Kurogwa na unakufa kwa Ajali mbaya

3. Kuwa Shoga na Kuambukizwa UKIMWI

ANGALIZO

Sitaki Swali lolote kuwa ni Media gani hizo ila kwa Sisi wana Tasnia tulio Wakongwe tunazijua na kuwaonea Huruma walioko.

Kwa hiyo na wewe ni mwana tasnia?
 
Back
Top Bottom