Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Nyerere 1922.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Mkuu Britanicca, afadhali Mwinyi ni angalau ni Mtanzania, kuliko yule jamaa yako!.Mwinyi siyo Mzaliwa wa Zanzibar Bali alipelekwa na Mwalimu Kikazi
Kabisa Jamaa yule Sasa NAWEZA Kufunguka angalau nowMkuu Britanicca, afadhali Mwinyi ni angalau ni Mtanzania, kuliko yule jamaa yako!.
P
OKMkuu anachokiwakilisha Othman Masoud ni mipango ya ACT. Sio kama ni genius au clever kiasi hicho.
Hii plot ya maridhiano ilitengenezwa na maalim saif kitambo tu, sasa ni hatua za utekelezaji tu na kujaribu kupenya waweze fikia malengo yao.
Legendary umerudi...karibu tena mkuu..kimya kilikuwa kingi sana...Mkuu Britanicca, afadhali Mwinyi ni angalau ni Mtanzania, kuliko yule jamaa yako!.
P