IoT
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 1,057
- 1,402
Mpuuzi wewe lini kagombea?
Watoto mnasumbua sana aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi wewe lini kagombea?
Du kumbe mzee Rukhsa ni mwenzetu kabisa afu wazaznzibar wanajinasibu kwamba ni mtu wao? Long live mtanganyika mwenzetu.
Nyerere 1922kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Nyerere 22kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Acha dharau mzee, familia yangu unailisha?Watoto mnasumbua sana aisee.
Mtazamo tu sio Fact.
Hapana mkuu Nyerere ni 1920Mmh mkuu nyerere 1921
Alikuwa na diploma ya kiswahiliKumbe dingi aliendesha nchi huku akiwa hana degree?
Ndiyo maana ilimshinda mambo mengi alikuwa hajuiAlikuwa na diploma ya kiswahili
Kukulia Zanzibar hakumfanyi kuwa ni mzanzibar, Zanzibar wameonewa sana, Karume, Jumbe, Mwinyi, Mwinyi Jr wote ni mapandikizi.Mangapwani na Dole alikopata elimu yake ya Msingi ziko wapi? kuzaliwa Kisarawe hakumuondolei Uzanzibar wake! Na si kweli kuwa alipelekwa kikazi na Mwalimu....Mangapwani na Dole zote ziko Unguja, Zanzibar!
Bongo wajinga wengi mkuu, sijui kipi kinachowadanganya wakahisi kuwa na Degree kunakufanya uwe na uboraKwani degree ndio inaongoza nchi?
Akili zako kama makalio ya mbuzi🐐😂😂Mwinyi keshaanza anataka kero za muungano zizungumziwe za zamani na mpya zitakazo jitokeza na zote zipatiwe majibu.
Hizo kero azikuwepo wakati wa Magufuli.
Na raisi wa bara nae anasisitiza hilo hilo akigusia maswala ya fedha (hiyo ni hoja ya Othman Masoud siku zote) anataka Zanzibar iwe ‘safe heaven’ ya kuficha hela za kimataifa.
Watu walishaonya huyo jamaa Othman Masoud atakuwa remote control ya mwinyi.
Majuzi tena raisi wa bara anadai kesi zisizo na ushahidi zifutwe (target uhamasho) na hilo ni la Othman Masoud in other words raisi wa Tanzania kwa sasa nyuma ya pazia ni yeye.
Watu watafute njia za kummudu mama Samia mapema the woman is serious problem.
Nilijua tu ukiona raisi kateua VP ambae akijui chama na mtu ambae anamuweza elewa uongozi ni show yake sio ya Magufuli tena.
Tetesi: - Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto
Give it time utaelewa Sina kumbukumbu kama kuna siku ashawahi kuelewa mambo yanahitaji kutumia akili na sio elimu.www.jamiiforums.com
Soma hapo baada ya Othman Masoud kuteulia ☝️
Tetesi: - Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto
Ndugu watu wenye mandate ya kuendesha nchi ni chama tawala; jukumu la civil servant m ni ku-implement namna sahihi ya kuitekeleza ilani yao. Ndio maana nimemuelewa Magufuli kumteua Dr Bashiru kama katibu mkuu kiongozi; civil servant don’t understand their obligations na chama kilichopo...www.jamiiforums.com
Soma hapo au fuatilia hiyo thread ☝️uone kwanini nilikuwa nampinga, kuteuliewa makamu.
Politics is science you know, I said it before Othman Masoud is very clever , convincing and tactical it’s a matter of time kabla ajaanza kum control Mwinyi na sasa Samia shocking with her it didn’t take time.
SAWA KAZALIWA KISARAWE LAKINI KAKULIAA ZANZIBAR.....MNASEMAJE HAPO?
YA ABEID KARUME MTASEMAJE NAPO?
OVA
Mbona anaonekana kasoma elimu ya msingi Unguja?
Kwa mantiki hiyo pamoja na kuwa alizaliwa bara, sehemu kubwa ya maisha yake kakulia Unguja...
Labda utafute kujua asili ya wazazi wake
Sent from my Nokia 5.4 using JamiiForums mobile app
Alizaliwa bara ila familia yake ilihamia Unguja akiwa mdogo.Du kumbe mzee Rukhsa ni mwenzetu kabisa afu wazaznzibar wanajinasibu kwamba ni mtu wao? Long live mtanganyika mwenzetu.
Enzi zetu shuleni kila mtoto alikuwa anajua hilo kuwa Nyerere alizaliwa mwaka 1922.Nyerere nahisi 1923....
Ila Mwinyi nilimsikia kwa masikio yangu mwenyewe kazaliwa 1925.
Mkitaka kuamini fuatilieni hotuba yake kipindi akiwa kwenye Msiba wa Mkapa kule Lupaso.