Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Ina maana kama sio maradhi, Mwalimu tungekua nae kwenye mazishi ya Mtupoli, angetuchekesha kama alivyo fanya Mwinyi.kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana kama sio maradhi, Mwalimu tungekua nae kwenye mazishi ya Mtupoli, angetuchekesha kama alivyo fanya Mwinyi.kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Nyerere ni 22.kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Nyerere 1922kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Nyerere nahisi 1923....Mmh mkuu nyerere 1921
SurePitia vizuri records, nadhani Nyerere ni 1922.
Nyerere 1922kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Nyerere 1922kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Kumbe dingi aliendesha nchi huku akiwa hana degree?
Ni mndenge stan, familia yake ipo pale temeke mwisho kwenye zile KOTA zilizobomolewa ila nyumba za familia yake azijaguswa pamoja na shule ndani ile eneo lenye magereji.Lakini Mwinyi anaonekana kama ni Mmatumbi au Mndegereko hivi, kuwa mzaramo nakataa.
Ni kwa nia njema nasema, sina ubaya mie na mzee Ruksa.
Kwani degree ndio inaongoza nchi?Kumbe dingi aliendesha nchi huku akiwa hana degree?
..Kwa hiyo wa Zanzibar wenye familia zao bara...sio waZanzibar...? Kwa Mzanzibar kuwa na familia bara au M' bara kuwa na familai Zanzibar haiondoi asili ya mtuNi mndenge stan, familia yake ipo pale temeke mwisho kwenye zile KOTA zilizobomolewa ila nyumba za familia yake azijaguswa pamoja na shule ndani ile eneo lenye magereji.
Kaongoze wewe mpuuziKwani degree ndio inaongoza nchi?
Nahisi Kama Kuna makosa hapo, nyerere alizaliwa 1922, na mwinyi alizaliwa 1925.nyerere alifariki 1999 akiwa na miaka 77kumbe mwinyi amemkata age nyerere!!
nyerere 1925 mwinyi 1923
Mkuu naona kama una hoja hapa,ila hujaandika vizuri kwa mtu kuelewa.Mwinyi keshaanza anataka kero za muungano zizungumziwe za zamani na mpya zitakazo jitokeza na zote zipatiwe majibu.
Hizo kero azikuwepo wakati wa Magufuli.
Na raisi wa bara nae anasisitiza hilo hilo akigusia maswala ya fedha (hiyo ni hoja ya Othman Masoud siku zote) anataka Zanzibar iwe ‘safe heaven’ ya kuficha hela za kimataifa.
Watu walishaonya huyo jamaa Othman Masoud atakuwa remote control ya mwinyi.
Majuzi tena raisi wa bara anadai kesi zisizo na ushahidi zifutwe (target uhamasho) na hilo ni la Othman Masoud in other words raisi wa Tanzania kwa sasa nyuma ya pazia ni yeye.
Watu watafute njia za kummudu mama Samia mapema the woman is serious problem.
Nilijua tu ukiona raisi kateua VP ambae akijui chama na mtu ambae anamuweza elewa uongozi ni show yake sio ya Magufuli tena.
Naona unahitaji kupewa historia kidogo lakini hapa patakuwa apatoshi ila jipe HOMEWORK kujua historia ya wakazi wa PEMBA na UNGUJA wali form ZANZIBAR...Kwa hiyo wa Zanzibar wenye familia zao bara...sio waZanzibar...? Kwa Mzanzibar kuwa na familia bara au M' bara kuwa na familai Zanzibar haiondoi asili ya mtu
Mbowe ana degree?Kaongoze wewe mpuuzi