Kumbe mzee wa bongo bahati mbaya mwanetu Young D alihamia USA!

Kumbe mzee wa bongo bahati mbaya mwanetu Young D alihamia USA!

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani kwenu watumishi wa MUNGU katika kristo YESU

Katika kitu ambacho nilikuwa sijui ni kuwa kama mwanetu Young D mzee wa bongo bahati mbaya kuwa alihamia Marekani

Leo ndo nimejua

MWENYEZI MUNGU aendelee kuwabariki hawa vijana katika ridhiki zao na mapambano yao ya kila siku

AMINA tuendelee kuwaombea Aman

LONDON BOY

Screenshot_20250202-171559.png
Screenshot_20250202-171432.png
Screenshot_20250202-171316.png
 
Back
Top Bottom