Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine tuna wa ZUM tuuuMmeanza kutajana sio?
Utamaduni wa chama ni Rais kupewa kipindi cha pili amalizie, huo utamaduni uendelee hata kwake.Kama kwenye chama kuna demokrasia ya kweli kuna shida gani Samia akishindanishwa na wenzie alishinda aendele akishindwa aachie ngazi,kwani lazima awe yeye tu!
Mbona wanajulikana hao Mashetani. Kifupi ni kwamba wameshajulikana na Mh. Rais wetu Samia Suluhu Hassan ndiyo Rais na hawamuwezi. Tena wajue 2025 anapewa 5 atimize yake 10. Watajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe. Nawashauri wamfuate tu Mwendazake akawaongoze kuzimu.Job Ndugai,
Kassim Majaliwa
Tulia Ackson,
Silinde, Joseph Kasheku Msukuma,
Humphrey Polepole,
Lusinde,
David Kafulila,
Mwigulu Nchemba,
Patrobas Katambi.
Jenista Muhagama
Gwajiboy... (Josephat Gwajima)
NK........
Listi ya Sukuma Ghang ni ndefu
Sukuma Ghang wana nguvu ya pesa !. Watumishi Gwengi sana ni Sukuma Ghang. Karibia 90% ya wabunge ni Sukuma Ghang maana Chuma aliwapa ubunge Bureeeeeeee !
Kabisa mkuu. Apewe yake 10 na ameshatudhihirishia kuwa anaweza mno. Tena na vikwazo vyote vya team Mwendazake lakini ametenda vyema mno. Hongera zake mama yetu. Ila sijui ni kwa nini anaendelea kuwafuga. Awapige chini aunde upya serikali.Utamaduni wa chama ni Rais kupewa kipindi cha pili amalizie, huo utamaduni uendelee hata kwake.
Watanzania itatuchukua miaka mingi sana kubadilika kifikra, leo tozo za miamala ya simu zimeongeza makusanyo ya TRA kwa mwezi December hadi kufikia 1.5 trilioni na bado tunakopa maana yake nini? Sasa limeibuka genge la wana CCM kujipendekeza kwa Rais eti yupo sawa. Hiyo ni kutaduta teuzi tu hamna loloteZilianza threat za wana CCM tunawajua kuwa watakuwepo Jamii forum kwa miaka 10 ambao ghafla wakanda kumpiga Rais Samia
Akaja Polepole na Shule ya Uongozi
Wanaharakati wao wa Facebook, Instagram na twitter wakitumia kauli za "hawezi Lucas viatu, hatoshi nk"
Sasa Ndugai katoa siri yao na kufafanua kinyongo chao. Alianza mwanamke kamwe hawezi kuwa kama mwanaume, sasankavuka mpaka Rais anakopakopa aisee this is too much
Tunajua kundi lenu
Bashiru
Kabudi
Dotto
Naibu Spika
Gwajima
Baadhi ya wabunge
Na Baadhi ya ma DC
Kiongozi mmoja mkubwa ndani ya chama (Huyu simtaji kwa sababu)
Viongozi UVCCM ya mikoa na wilaya awamu ya 5
Wamekuwa wakiongoza kampeni dhidi ya Rais Samia
Jambo zuri ni kuwa hamta fanikiwa kamwe
Tukutane 2022 ndani ya Chama afu tukutane 2025 uchaguzi Mkuu
Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Tutasikia mengi kipindi hikiZilianza threat za wana CCM tunawajua kuwa watakuwepo Jamii forum kwa miaka 10 ambao ghafla wakanda kumpiga Rais Samia
Akaja Polepole na Shule ya Uongozi
Wanaharakati wao wa Facebook, Instagram na twitter wakitumia kauli za "hawezi Lucas viatu, hatoshi nk"
Sasa Ndugai katoa siri yao na kufafanua kinyongo chao. Alianza mwanamke kamwe hawezi kuwa kama mwanaume, sasankavuka mpaka Rais anakopakopa aisee this is too much
Tunajua kundi lenu
Bashiru
Kabudi
Dotto
Naibu Spika
Gwajima
Baadhi ya wabunge
Na Baadhi ya ma DC
Kiongozi mmoja mkubwa ndani ya chama (Huyu simtaji kwa sababu)
Viongozi UVCCM ya mikoa na wilaya awamu ya 5
Wamekuwa wakiongoza kampeni dhidi ya Rais Samia
Jambo zuri ni kuwa hamta fanikiwa kamwe
Tukutane 2022 ndani ya Chama afu tukutane 2025 uchaguzi Mkuu
Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Tatizo watetezi wa Samia ni villlazzer, ghang ni kitu gani sasa?Job Ndugai,
Kassim Majaliwa
Tulia Ackson,
Silinde, Joseph Kasheku Msukuma,
Humphrey Polepole,
Lusinde,
David Kafulila,
Mwigulu Nchemba,
Patrobas Katambi.
Jenista Muhagama
Gwajiboy... (Josephat Gwajima)
NK........
Listi ya Sukuma Ghang ni ndefu
Sukuma Ghang wana nguvu ya pesa !. Watumishi Gwengi sana ni Sukuma Ghang. Karibia 90% ya wabunge ni Sukuma Ghang maana Chuma aliwapa ubunge Bureeeeeeee !
Hii habari ilikuwa na ukweli? Au propaganda tu.Kutoka monduli hadi Ilulu, Bashiru, Lusinde, Majaliwa wakutana kupanga mipango mizito ya Mwaka 2022
Saa saba mchana siku ya Jana ndani ya Hotel ya sea view Hotel iliyopo mkoani Lindi yanaingia magari tofauti tofauti haifahamiki magari haya yaliingia Lindi siku gani ila katika ukumbi wa hotel ya Sea view resort siku ya Jana kumefanyika kikao cha siri. Dkt Bashiru Ali na Livingstone Lusinde...www.jamiiforums.com
Kutoka monduli hadi Ilulu, Bashiru, Lusinde, Majaliwa wakutana kupanga mipango mizito ya Mwaka 2022
Sina hakika.. Kipindi hiki habari ni nyingi sanaHii habari ilikuwa na ukweli? Au propaganda tu.