and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Ni kweli lakini ni kweli wazungu pia wanatengeneza magonjwa kufanikisha dhamira zao, mfano Congo DRC kila siku ni magonjwa ya ajabu ajabu, hata kama wanakula nyama pori, China wanakula vya ajabu kuliko Congolese mbona hawaugui hovyo...si kila magonjwa yanatengenzwa, asilimia kubwa ni natural occurance. Magonjwa yamekuwepo since enzi za manabii na yatazidi kuwepo
Wazungu na wao washenzi tu....