Kumbe Rais Samia alisema ukweli kuhusu kesi ya Mbowe. Watanzania tutembee kifua mbele ikibidi vua hata shati tunaenda vizuri

Wewe unajua zaidi kuliko gaidi mbowe ambae Kila chaguzi ameshiriki period [emoji23][emoji1787]
 
Wewe unajua zaidi kuliko gaidi mbowe ambae Kila chaguzi ameshiriki period [emoji23][emoji1787]
Mkuu 'Kadini', mimi sikujui hadi leo hii unaponi'quote' hapa. Sijawahi kukusoma kwa jambo lolote la maana katika kurasa hizi za jukwaa jhili la JF.
Kwa hiyo siwezi kamwe kupoteza muda na mtu kama wewe. Huna hadhi hiyo.
 
Mkuu 'Kadini', mimi sikujui hadi leo hii unaponi'quote' hapa. Sijawahi kukusoma kwa jambo lolote la maana katika kurasa hizi za jukwaa jhili la JF.
Kwa hiyo siwezi kamwe kupoteza muda na mtu kama wewe. Huna hadhi hiyo.
Huna hoja unaleta porojo ipo button ya ignore watu wenye low thinkers kimewekwa kwa ajili yenu ajabu vilaza upo jukwaani halafu unanikata nisi quote [emoji23][emoji1787]
 
Huna hoja unaleta porojo ipo button ya ignore watu wenye low thinkers kimewekwa kwa ajili yenu ajabu vilaza upo jukwaani halafu unanikata nisi quote [emoji23][emoji1787]
Hapa umetumia akili kidogo, inawezekana ukiweka bidii zaidi utakuwa mtu mwenye kueleweka vizuri mradi upunguze unazi bila ya kutumia akili vizuri katika unayotetea.
Hata hivyo, sina muda na wewe kwa sasa, na sina lazima ya kufanya hilo unaloshauri.
 
Hapa umetumia akili kidogo, inawezekana ukiweka bidii zaidi utakuwa mtu mwenye kueleweka vizuri mradi upunguze unazi bila ya kutumia akili vizuri katika unayotetea.
Hata hivyo, sina muda na wewe kwa sasa, na sina lazima ya kufanya hilo unaloshauri.
Duh jf siku hizi member anakupangia uandike Nini
 
Amna raisi ambae hajawai kuuwa toka dunia iumbwe
Mwinyi ni mtu mwema kabisa.
Hata vyama vingi aliruhusu ili kuepusha hayo.
Mungu amembariki sana.

Na hata tukiacha ukatili unaofanywa na kundi la Akina Bashiru,Polepole,Sabaya,Kheri,Kingai,Mahita,Siro na wasiojulikana ndani ya CCM na serikali yake lakini kiukweli kabisa Mama Samia Suluhu Hasan ni tofauti sana na Marais Miungu, Mkapa,Magu na wengine.
Waislam hawaamini sana katika kujikweza na kuogopwa.
Ili uogopwe ni lazima uwe na harufu ya damu au uwe muadilifu na ufuate sheria ,katiba na uwawajibishe wezi bila kujali urafiki,undugu,uchama,ukanda n.k.

Mama analazimishwa kuwa mbaya kwa manufaa ya wasaka Mali na vyeo kupitia CCM. Mauaji yote ni kwa ajili ya kuilinda CCM.

Nchi ya ajabu kabisa inayowatumia wahuni wachache kuua na kutesa makomando wa Jeshi. Komando mmoja kumpata ni jambo gumu sana na anapita kwenye mazingira magumu sana mpaka kupata ukomando lakini anaibuka kada wa CCM Kingai na Mahita waosaka URPC na vyeo vya rushwa ili wapate pesa za kunyanganya watu wanaua makomandoo wetu badala ya kutoa taarifa kwa Mnadhimu mkuu wa majeshi ili wakamatwe na kurudishwa kambini hata kama walikua nje ya kazi.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Mbunge asipofanya kitu kwenye jimbo lake anapigwa ?
Nilikua sijui . Labda wa upinzani mana wa CCM akipigwa kijiji kizima watakamatwa na kuwekwa ndani . Ila wanaowapiga wapinzani mawe na machupa ya maji wanasifiwa kuwa wamemkataa mbunge ambaye hajaleta maendeleo.

Hii ndiyo CCM ibayotumia makada wasiojua hata kuilinda nchi kuua makomando waliojitoa maisha na miili yao kupitia mafunzo magumu sana kwa ajili ya kulinda nchi.
Komandoo hauawi au kuteswa na kudhalilishwa kwa sababu ya RAIA wanaotaka Madaraka ili familia zao waishi maisha laini.
Yani kweli umuue Komandoo ili Musukuma Mhutu awe Mbunge,au kibajaji apite bila kupingwa.
Nchi imeingia kwenye rekodi ya dunia.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hivi Mama snasubiri nini kuunda tume ya Majaji na Viongozi wa dini ili wazunguke Magereza yote kubaini kama kweli kuna mahabusu wa kesi za kisiasa za kubambikwa kesi tena baada ya watuhumiwa kuteswa na kuumizwa vibaya. Tume ikithibitisha hayo basi ,Siro awajibike na kuwekwa pembeni haraka sana. Lakini pia Kingai na wote waliofanya utesaji wachukuliwe hatua Kali. Kingai alikua anatafuta nini kwa kutumia cheo chake kinyume cha sheria ?
Je, aligongwa au aliahidiwa nini!!!

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Tume hawezi unda wakati yeye ni sehemu ya Watuhumiwa wa mauaji.
Wasubirie ICC sisi tunaendelea kukusanya Ushahidi tuu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
 
Hizo propaganda za kujidanganya kuwa Serikali haichafuki ndizo zinawafanya muendelee kufanya vitendo vya kishetani mkidhani Duniani nzima ni wajinga watajua ni propaganda tu wakati ulimwengu wote wamejua CCM ni chama cha hovyo hakuna uchaguzi kilishinda zaidi ya kubaka kunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani, Polisiccm wanawatuma mahita kingai kwenda kutesa walinzi wa mbowe kuwafunga pingu mikono miguu saa 24 kuwapiga, kuwalazimisha wakubali ugaidi hewa, ugaidi ambao hawana haupo na haukuwepo, wewe kama huna cha kufanya tafuta kibarua kingine siyo kusaka uteuzi kwa njia haramu za kishetani
 
Acha ujinga eti hakuna cha maana wamefanya majimboni? Kwani wapinzani ndiyo wenye dola? Pesa za walipa kodi wajibu wake ni kuleta maendeleo lakini CCM kwa hila na kwa makusudi mmekuwa mkikwamisha maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani hilo halina ubishi, acheni uonevu unyanyasaji uovu kuwabambikia kesi wapinzani muone maamuzi ya wananchi kwenye chaguzi zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…