Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nikiangalia komenti zake na kuzisoma,naona bangi hii hapa mkuu.Jiridhishe.Sasa wakuu mambo ya bangi yamekujaje tena ? Dahhh.
wakati unashangaa hilo sasa shangaa na hili!,huo wimbo una remix yake na ameshilikishwa mwanadada "Zuhura yunus!".
ndio huyuhuyu yunus aliekuwa BBC Swahili na baadae akajakuwa msemaji wa serikali!..
video hii hapa sauti yakwake lkn huo anaeonekana sijui ndo yeye mi nishachanganyikiwa nanyie oneni!..😅
View: https://youtu.be/pEf7yNNNuuk?si=GlHH23Ro4FPo3II_
Nimelia sana na kupakumbuka Mkwakwani Tabora/chuo cha Uhazili pembeni Isungu honey pot!Naanza kulia tena.View attachment 3059777
Back the days, nimekumbuka hii kitu, ukichomeka kwenye mkanda, unainua tshirt kidogo ionekane 🤣🤣🤣 na earphones flani hivi, daaah maisha yalikuwa simple saaaana.
Hapo hakuna simu wala nini unavizia demu manually,
sikiliza sauti,sauti ya zuhura angalia na alieandika title mkuu!Huyo Manka kabisa na komwe lake, Zuhura wa wapi huyo😂😂
Hiki nini?View attachment 3059777
Back the days, nimekumbuka hii kitu, ukichomeka kwenye mkanda, unainua tshirt kidogo ionekane 🤣🤣🤣 na earphones flani hivi, daaah maisha yalikuwa simple saaaana.
Hapo hakuna simu wala nini unavizia demu manually,
Salaam wana JamiiForum;
Maisha yanaenda kasi sana, vijana wenzangu ambao tulikuwepo bado vijana wakati hizi nyimbo zinatoka embu leo kajiangalie tena kwenye kioo alafu linganisha matendo unayofanya na umri wako.
Ni hayo tu. Link hii hapa
View: https://youtu.be/IYdqkdh7hks?si=I367eHGJ_G3KHo7F
those were the days dah umenitoa machozi ya kunikumbusha mbaliView attachment 3059777
Back the days, nimekumbuka hii kitu, ukichomeka kwenye mkanda, unainua tshirt kidogo ionekane 🤣🤣🤣 na earphones flani hivi, daaah maisha yalikuwa simple saaaana.
Hapo hakuna simu wala nini unavizia demu manually,
Yupo kituo cha startimes "mambo tv" na anaendelea kuhoji wasanii.Sauda mwilima yuko wapi now days, si atakua amezeeka sana? Namtakia maisha mema huko aliko. Alinifurahisha sana na kipindi chake cha startv
umeniacha na majonzi, excel mimi ninalia😭😭Umenikumbusha mbali sana kijana, enzi ambazo mziki ulikua mziki.......
Abby skills alikuaga anajua.....dah sijui yuko wapiumeniacha na majonzi, excel mimi ninalia😭😭
Dah kweli nimezeeka.View attachment 3059777
Back the days, nimekumbuka hii kitu, ukichomeka kwenye mkanda, unainua tshirt kidogo ionekane 🤣🤣🤣 na earphones flani hivi, daaah maisha yalikuwa simple saaaana.
Hapo hakuna simu wala nini unavizia demu manually,
Siku hizi mziki ni futbo?enzi ambazo mziki ulikua mziki.......
Mziki ni ushubwadaSiku hizi mziki ni futbo?