abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Nikiona mtu anatoa povu eti kuna mwanasiasa fulani anampambania uwa namdharau sana. Nchi hii aliyekuwa anapambania watu wa chini ni Magufuli peke yake na hakuna mwingine atatokea kwenye kizazi chetu.
Anapambania maskini kwa kumnyanyasa tajiri? Anadai Nchi ya maskini lkn kodi anachukua kwa matajiri [emoji23][emoji23][emoji23] angewalipisha kodi maskini.
Alijisahau kua maskini haohao wanamtegemea tajiri kuishi, hakujua ndio anawafanya maskini wazidi kua maskini,
MUNGU FUNDI BWANA
Nikiona mtu anatoa povu eti kuna mwanasiasa fulani anampambania uwa namdharau sana. Nchi hii aliyekuwa anapambania watu wa chini ni Magufuli peke yake na hakuna mwingine atatokea kwenye kizazi chetu.
Wenzenu wanalamba asali nyinyi mpo mitandaoni mnapambana na hiyo mnaita sukuma gang 😂😂
Bavicha wanaenda kwenye mpaka kwenye mechi na t-shirts za katiba mpya alafu wanaemdai katiba mpya anakula bata na Mbowe na Sugu wakiwa wamevaa suti za nguvu hawavai uchafu umeandikwa katiba mpya 😂😂😂
Asali ni tamu tuendelee kuilamba Lissu anachekelea mahela yake anasema mama ni mtenda haki 😄
Tuweke njaa kando kwa maslahi ya taifa.
Hizi picha zilipigwa sehemu gani kama siyo Ikulu (Dar au Chamwino)Magufuli hajawahi kukutana na CHADEMA.
Kipindi chadema wanahamasisha watu waandamane, wadai katiba mpya,wadai uchaguzi kudhurumiwa wewe ulikuwa wapi? Ulishawai hata siku moja kuwa nao pamoja?? Wote mulikuwa munamshabia JMP na chama chake! Sheria mbovu zinapitishwa na matamko kutolewa wote mulikuwa mupo pamoja na watawala kipindi chadema anapitia wakati mgumu.Sasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!
Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?
Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
[emoji116]View attachment 2249845
Kijana ficha ujinga. Kazi ya kupinga ufisadi ni ya kila raia. Nyinyi ndio against chadema na kushabikia chama cha mafisadi. Mngekuwa na akili mngewekeza nguvu nyingi ktk kuisapoti chadema labda leo hii hali ingekuwa tofauti. Principles ipo hivi. Mtu ambaye anakutetea maslahi yako anaitaji sana sapoti yako na usipo onyesha sapoti unamvunja nguvu na ipo siku atachoka na kukuacha na maujinga yakoWewe kijana acha dharau. Mimi sio Mataga. Kwani si mlijinasibu kuwa nyie ni wapinga ufisadi?
Unataka kuueleza umma kwamba Mbowe hana uwezo wa kujilisha yeye na familia yake hadi aende ikulu na unataka watu wakuamini?Hivi vichekesho huwa mnatunga mkiwa wapi?Teh!Wewe kijana acha dharau. Mimi sio Mataga. Kwani si mlijinasibu kuwa nyie ni wapinga ufisadi?
Wewe shuleni ulienda kusomea upuuzi,zama giza za siasa za kishenzi za kuhasimiana zimepita,roho yako ya kimasikini ndiyo inakutuma kujaza chuki zako humu.Magufuli aliyeleta ushetani huu yuko motoni anavuna alichopanda.Sasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!
Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?
Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
[emoji116]View attachment 2249845
Ripoti ya CAG imebainisha kuwa yale mabilioni yote aliyowapora matajiri kwa mgongo wa plea bargaining agreement hayajulikani yalipo alikwa anagawana na mafisadi wenziwe. Jiwe alikuwa mpigaji sana.Anapambania maskini kwa kumnyanyasa tajiri? Anadai Nchi ya maskini lkn kodi anachukua kwa matajiri [emoji23][emoji23][emoji23] angewalipisha kodi maskini.
Alijisahau kua maskini haohao wanamtegemea tajiri kuishi, hakujua ndio anawafanya maskini wazidi kua maskini,
MUNGU FUNDI BWANA
Hiyo kanuni uliyo bold ni two way traffic. Usiwaone Chadema hawajui kitu.Huu ukaribu wa Mbowe na Ikulu ya Samia unaweza kuonekana unajenga lakini mwisho wa siku CHADEMA watakosa agenda. Na hii ndio ultimate goal ya Samia
Ana motives sawa na marehemu Magufuli japo yeye anakwenda kwa njia tofauti
Mtaalamu mmoja aligundua kwamba it is imperative to “keep your friends close and your enemies closer”
Hiyo picha ya juu hapo ni nyumbani Kwa Marehemu kaka yake Mbowe wakati wa msiba wake, na dhalim alikwenda Kwa sababu huyo kaka yake Mbowe alikuwa afisa mwandamizi wa JWTZ.Hizi picha zilipigwa sehemu gani kama siyo Ikulu (Dar au Chamwino)
View attachment 2249992
View attachment 2250003
Atakuwa anavitunga akiwa amekalia kitu kigumu chenye ncha butu kikiwa kimezama kabisa uvinzaUnataka kuueleza umma kwamba Mbowe hana uwezo wa kujilisha yeye na familia yake hadi aende ikulu na unataka watu wakuamini?Hivi vichekesho huwa mnatunga mkiwa wapi?Teh!
Mwite ibilisi shetani zimwi nunda lakini hauwezi badilisha reality kuwa Magufuli ni alama ya utetezi kwa watu wa tabaka la chini. Inawezekana unaumia sana kuusikia huu ukweli ila ndio haiwezekani kubadilisha chochote hata wewe kama una akili umeshajua unajitesa bure mtaani tunajua who Magufuli wasTangu lini ibilisi akampambania mwananchi. Ibilisi Magufuli aliwatumia wananchi Kama chambo.
UNAJIDANGANYA MKUUKatiba Mpya Ni agenda ya CHADEMA sio Mbowe au Sugu. Mbowe akifa leo CHADEMA itaaendelea kudai katiba mpya. Jitahidi kutofautisha.
Hujui kuwa kiti alichokalia Magufuli hapo ni cha Ikulu? Yaani unategemea rais anakwenda kwenye msiba na kiti chake?Hiyo picha ya juu hapo ni nyumbani Kwa Marehemu kaka yake Mbowe wakati wa msiba wake, na dhalim alikwenda Kwa sababu huyo kaka yake Mbowe alikuwa afisa mwandamizi wa JWTZ.
Bavicha ni wpumbavu sana mkuuWenzenu wanalamba asali nyinyi mpo mitandaoni mnapambana na hiyo mnaita sukuma gang [emoji23][emoji23]
Bavicha wanaenda kwenye mpaka kwenye mechi na t-shirts za katiba mpya alafu wanaemdai katiba mpya anakula bata na Mbowe na Sugu wakiwa wamevaa suti za nguvu hawavai uchafu umeandikwa katiba mpya [emoji23][emoji23][emoji23]
Asali ni tamu tuendelee kuilamba Lissu anachekelea mahela yake anasema mama ni mtenda haki [emoji1]