Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbususu ya mama esta ilimpa shomary kapombe wokovu wa msalabaAmebadilisha dini huu mwaka wa tano, anasali KKKT.
Vyovyote vile, kuhama hiyo dini kafanya la maana sananope kamfuata mke
mbona amekaa kama mzanzibari halafu sio kwa ajili ya mbususu tu , kapombe aliwahi kupigwa kitu kizito sana kikamuweka kitandani ( na asinge weza kabisa kucheza mpira) akapelekwa morogoro kwa yule mmama mlokole anae tibu kwa dawa za mimea yeye masharti yake ni kwamba ili akutibu maradhi ya kipepo ni lazima kwanza umpokee Yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yako, so kapombe hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya hivyo na hakuamini yule mama alimtibu kapombe akapona kabisa na kurejea kwenye mpira mpaka sasa unamuona. kapombe baada ya kupata uponyaji hakuwa na jinsi zaidi ya kuamua kuwa mlokole kabisa maana alisha hangaika sana na alishajua ndio mwisho wakeMbususu ya mama esta ilimpa shomary kapombe wokovu wa msalaba
Ila hata kwa muonekano shomary kapombe hana haiba ya Wafuasi wa mudy
Mzee, hili nalo ni la kujadili?Amebadilisha dini huu mwaka wa tano, anasali KKKT.
Watu wa kanda ya ziwa sijui wapoje wanatumia majina yetu ya kiislamu halafu ni wakristo,wala nguruwe wakubwa.[emoji57]
Ukimaliza tuma salamu bitch...uingekuwa ina muhusu bwana ako muuza bisi makumbusho isinge kuwa story lakini kwa kuwa inamuhusu star lazima iwe story. style up biatch. dont be an icehall