Hatukatai ndivyo ilivyo but din ya kwanza kuwa na wafuasi wengi duniani ni christians 2.7bilion na muslim ni1.4bilion sasa nadhani jibu unaloGlobally is islam is fastest growing religion....kitu ambacho unatakiwa ukielewe kila dini inakuwa kwa namna yake kila siku watu wanatoka islam waneenda ukiristo , ukiristo wanaenda islam hata wahindu na Buddha dini zao zinakuwa kila siku ,lakini pia hata atheist jamii yako inazidi kupokea wageni kutoka kwenye dini zote kila uchao .
Don't be too excited
Jifunze kuheshimu imani za watu.Ila nyie ni mazwazwa sana.
Mara muambiwe ukifa baada ya muda unaoza, alafu tena mara mnaambiwa mtapewa wanawake 72
HahahahahaNi bora maana kukaririshwa mambo ambayo hata huelewi nani anataka.
Mara sijui ukifa unapewa wanawake vigori 72. Uongo mtupu
Wallah duniani Kuna mitihani...hii ndio unaitwa mitihani Sasa.mbona amekaa kama mzanzibari halafu sio kwa ajili ya mbususu tu , kapombe aliwahi kupigwa kitu kizito sana kikamuweka kitandani ( na asinge weza kabisa kucheza mpira) akapelekwa morogoro kwa yule mmama mlokole anae tibu kwa dawa za mimea yeye masharti yake ni kwamba ili akutibu maradhi ya kipepo ni lazima kwanza umpokee Yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yako, so kapombe hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya hivyo na hakuamini yule mama alimtibu kapombe akapona kabisa na kurejea kwenye mpira mpaka sasa unamuona. kapombe baada ya kupata uponyaji hakuwa na jinsi zaidi ya kuamua kuwa mlokole kabisa maana alisha hangaika sana na alishajua ndio mwisho wake
KKKT hakuna mkristu Kuna mkristo,sawa mkuu!Amebadilisha dini huu mwaka wa tano, anasali KKKT.
HahahahahaNi bora maana kukaririshwa mambo ambayo hata huelewi nani anataka.
Mara sijui ukifa unapewa wanawake vigori 72. Uongo mtupu
Nguruwe kakukosea nini bwa shehe?Watu wa kanda ya ziwa sijui wapoje wanatumia majina yetu ya kiislamu halafu ni wakristo,wala nguruwe wakubwa.[emoji57]
Mimi nimejua jana usiku kwenye mechi ya Simba na Yanga nilikaa jirani na mtu anae sali nae kanisa moja KKKT. Alibadilisha dini baada ya kuoa
Yote maisha
Wavaa mapanjabi na visu viunoni.Mbususu ya mama esta ilimpa shomary kapombe wokovu wa msalaba
Ila hata kwa muonekano shomary kapombe hana haiba ya Wafuasi wa mudy
Leo ndio nimeelewa kwa sababu gani tumehimizwa kuwachinja hawa nguruwe.Ni bora maana kukaririshwa mambo ambayo hata huelewi nani anataka.
Mara sijui ukifa unapewa wanawake vigori 72. Uongo mtupu
Moro sehem gan tafadhalimbona amekaa kama mzanzibari halafu sio kwa ajili ya mbususu tu , kapombe aliwahi kupigwa kitu kizito sana kikamuweka kitandani ( na asinge weza kabisa kucheza mpira) akapelekwa morogoro kwa yule mmama mlokole anae tibu kwa dawa za mimea yeye masharti yake ni kwamba ili akutibu maradhi ya kipepo ni lazima kwanza umpokee Yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yako, so kapombe hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya hivyo na hakuamini yule mama alimtibu kapombe akapona kabisa na kurejea kwenye mpira mpaka sasa unamuona. kapombe baada ya kupata uponyaji hakuwa na jinsi zaidi ya kuamua kuwa mlokole kabisa maana alisha hangaika sana na alishajua ndio mwisho wake