Kumbe Shomari Kapombe ni mkiristu?

Kumbe Shomari Kapombe ni mkiristu?

Kama duniani wanawake wapo kwanini isiwe na mbinguni?
Nadhani kuna haja ya kuwauliza viongozi wenu wa dini.
Kama wanaamini kuna mbingu je wanaume rijali watalipwa Nini?
Au kufanya mapenzi mwisho duniani?
MUWE MNATUMIA AKILI.
Kama hapa wapo na tunawatumia kwanini huko mbinguni wasiwepo!
Nadhani ukristo ni dini FEKI
Ni bora maana kukaririshwa mambo ambayo hata huelewi nani anataka.
Mara sijui ukifa unapewa wanawake vigori 72. Uongo mtupu
 
Mimi nimejua jana usiku kwenye mechi ya Simba na Yanga nilikaa jirani na mtu anae sali nae kanisa moja KKKT. Alibadilisha dini baada ya kuoa

So, mwanamke ndio kambadilisha dini sio!! Pole yake,,
 
Kama duniani wanawake wapo kwanini isiwe na mbinguni?
Nadhani kuna haja ya kuwauliza viongozi wenu wa dini.
Kama wanaamini kuna mbingu je wanaume rijali watalipwa Nini?
Au kufanya mapenzi mwisho duniani?
MUWE MNATUMIA AKILI.
Kama hapa wapo na tunawatumia kwanini huko mbinguni wasiwepo!
Nadhani ukristo ni dini FEKI
Kwa hiyo na Mwanamke ameandaliwa nini
huko peponi? Mabikira ya kiume 72?
 
Kuna jamaa anaitwa shaban namjja ila anagids pombe na noah kama kawa
 
Baba yake kapombe ni mwislam safi sana ila mama yake ni mkristo shomari hajabadili dini tangu zamani alikuwa anasali St Thomas morogoro shomari ni hajawai kuwa mwislam
 
Baba yake kapombe ni mwislam safi sana ila mama yake ni mkristo shomari hajabadili dini tangu zamani alikuwa anasali St Thomas morogoro shomari ni hajawai kuwa mwislam
Hata Mimi nadhani hivyo maana hata mama yake anaitwa estar
 
Baba yake kapombe ni mwislam safi sana ila mama yake ni mkristo shomari hajabadili dini tangu zamani alikuwa anasali St Thomas morogoro shomari ni hajawai kuwa mwislam
Baba yake kapombe ni mwislam safi sana ila mama yake ni mkristo shomari hajabadili dini tangu zamani alikuwa anasali St Thomas morogoro shomari ni hajawai kuwa mwislam
ASANTE MKUU KWA KUNIELEWESHA. HAPO NIMEKUELEWA VIZURI SANA.
 
Ni bora maana kukaririshwa mambo ambayo hata huelewi nani anataka.
Mara sijui ukifa unapewa wanawake vigori 72. Uongo mtupu
Mungu Yesu anakunya..
Mungu Yesu kakatwa govi siku nane baada ya kuzaliwa
Mungu Yesu aliuliwa na Binadamu,kafa msalabani,kashindwa kutumia Uungu wake kujiokoa..

Uongo mtupu
 
Nami nimemsikia leo baada ya mechi na Namungo..anamuomba msamaha mama Easter kupitia goli alilofunga
 
Huyo familia yao ina wakristo na waislam wengi sana,kwa hyo popote aendapo kwake haina shida
 
Kama duniani wanawake wapo kwanini isiwe na mbinguni?
Nadhani kuna haja ya kuwauliza viongozi wenu wa dini.
Kama wanaamini kuna mbingu je wanaume rijali watalipwa Nini?
Au kufanya mapenzi mwisho duniani?
MUWE MNATUMIA AKILI.
Kama hapa wapo na tunawatumia kwanini huko mbinguni wasiwepo!
Nadhani ukristo ni dini FEKI

Sio "unadhani ukristoni dinifeki"
👉🏽ukristo sio dini sheikh.



Mchungaji akiri ukristo ni UPAGANI.👆🏽
 
ukianza kufatilia dini za wachezaji utaacha hata kushabikia mpira....Maana Simba na Yanga zimejaa waislamu tupu, kuanzia wachezaji mpaka viongozi, acha ujinga.....Mods futeni huu upuuzi.
Ingia YouTube Sach wachezaji 100 nyota waislam utachoka.
 
Mungu Yesu anakunya..
Mungu Yesu kakatwa govi siku nane baada ya kuzaliwa
Mungu Yesu aliuliwa na Binadamu,kafa msalabani,kashindwa kutumia Uungu wake kujiokoa..

Uongo mtupu
Biblia inasema yesu sio mungu rekebisha hapo.
 
Ndio lakini kwanini siku hizi waislam wengi wanaikimbia hiyo din tena tz inaongoza kila leo kanisani watu zaidi ya kumi wanabatizwa jiulize kimetokea nini😂😂😂😀😀

Hujui unachokiongea,,,Muislamu anaeujua uisilamu hawezi badili dini.

Ni rahisi sana kutoka kwenye ujinga na kuingia kwenye uisilamu.

Mchungaji akiri ukristo ni upagani👇🏽
 
Back
Top Bottom