Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Biblia inasema yesu sio mungu rekebisha hapo.
Wakristo mnajichanganya sana,, haijulikani nani mnamuamini mara yesu, mungu, masihi.
Wakuhurumiwa maskini ya mungu, mnatia huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biblia inasema yesu sio mungu rekebisha hapo.
Hujui unachokiongea,,,Muislamu anaeujua uisilamu hawezi badili dini.
Ni rahisi sana kutoka kwenye ujinga na kuingia kwenye uisilamu.
Mchungaji akiri ukristo ni upagani👇🏽
Acha hizo wewe hujaona mashehe waliokimbia uislam wapo kibao tu
Ipi hiyo miujiza?Katika muujiza mkuu, kuliko miujiza yote ni pale mtu anapokuja kwa Kristo. Wokovu ni mpango wa Mungu kwa wanadamu. WOKOVU NI WETU SOTE.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Sio "unadhani ukristoni dinifeki"
[emoji1428]ukristo sio dini sheikh.
Mchungaji akiri ukristo ni UPAGANI.[emoji1426]
Hawa jamaa wanaburuzwa Sana.
Wanaamini kuna maisha baada ya kufa.lakini wanashangaa waislam kuahidiwa wanawake.
Sasa wao MBINGUNI WATAINGIA WANAUME WATUPU?
SI ndo ushoga wenyewe huo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Ni bora maana kukaririshwa mambo ambayo hata huelewi nani anataka.
Mara sijui ukifa unapewa wanawake vigori 72. Uongo mtupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimaliza tuma salamu bitch...u
Sio Mngoni, ni mndendeule wa Namtumbo.Kapombe sio mtu wa Morogoro, ni Mngoni ila familia yake yaani wazazi walipiga kambi Morogoro nadhani ndipo alikozaliwa
Hivi hamuwezi kujadili dini bila kuingiza mapenzi ya jinsia 1?Hao si wana act una uhakika gani ni waislam kweli tatizo mnatumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu kuwa wanakimbilia hyo dini inayofungisha ndoa jinsia moja kwenye nyumba takatifu na nyi mnakubali kama wanavyowadanganya kuwaombea vilema na kutembea wangekuwa wameisha mtaani.
Mama Esther,Kapombe mtu poa saana.anaishi kinyerezi
Huwa anatembea kwa miguu jioni just low key person. Kuna kisaluni flani hv pale kituo cha msikitini kinyerez huwa anakujaga kunyoa saluni ya kawaida saana
Ameoa mwanamke mmoja hivi ambaye alikuwa ana mtoto mkubwa tuu form three now huyo mtoto na mama wanasali kinyerez kkkt so probably nayeye pia
Mungu ambariki Kapombe just a very humble person
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbususu ya mama esta ilimpa shomary kapombe wokovu wa msalaba
Ila hata kwa muonekano shomary kapombe hana haiba ya Wafuasi wa mudy
Kina nani wamesema kuwa straight .Ila nyie ni mazwazwa sana.
Mara muambiwe ukifa baada ya muda unaoza, alafu tena mara mnaambiwa mtapewa wanawake 72
Globally is islam is fastest growing religion....kitu ambacho unatakiwa ukielewe kila dini inakuwa kwa namna yake kila siku watu wanatoka islam waneenda ukiristo , ukiristo wanaenda islam hata wahindu na Buddha dini zao zinakuwa kila siku ,lakini pia hata atheist jamii yako inazidi kupokea wageni kutoka kwenye dini zote kila uchao .Ndio lakini kwanini siku hizi waislam wengi wanaikimbia hiyo din tena tz inaongoza kila leo kanisani watu zaidi ya kumi wanabatizwa jiulize kimetokea nini😂😂😂😀😀
toka juzi hapa nilipo biashara ya nguruwe inakimbia balaaWatu wa kanda ya ziwa sijui wapoje wanatumia majina yetu ya kiislamu halafu ni wakristo,wala nguruwe wakubwa.[emoji57]
Yule mfanyabiashara bwana Mudi aliwatia upofu sana!Surat Al-'imran
![]()
19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19
![]()
20. Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio nifuata. Na waambie walio pewa Kitabu na wasio na kisomo: Je! Mmesilimu? Wakisilimu basi wameongoka. Na wakikengeuka basi juu yako ni kufikisha ujumbe tu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaona waja wake. 20
![]()
21. Hakika wanao zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasipo haki, na wakawauwa watu waamrishao Haki wabashirie adhabu kali. 21
![]()
22. Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru. 22
![]()
23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa. 23
![]()
24. Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyo kuwa wakiyazua. 24
Yule mfanyabiashara bwana Mudi aliwatia upofu sana!
Yule mfanyabiashara bwana Mudi aliwatia upofu sana!