Kumbe siyo kila mwalimu atapewa kishkwambi kama alivyosema Waziri Mkuu!

Kumbe siyo kila mwalimu atapewa kishkwambi kama alivyosema Waziri Mkuu!

Ndio maana naendelea kusisitiza walimu kupewa uongozi wa juu Serikalini iwe mwisho.
 
Kwa hiyo wanaingiza ntimanyongo kwenye kugawa vishikwambi? bora vikae kwa afisa elimu atakuwa anatoa zawadi kwa walimu ambao watafaulisha vizuri watoto kwenye masomo yao.
 
Hii italeta manung'uniko makubwa.
vishikwambi vigawiwe kwanza
1. Kwa walimu na watumishi wa shule wenye nyadhifa kama zilivyoorozeshwa hapo juu.
2.Wengine wagawiwe in alphabetical order. Majina yatakapoishia ndio hapo hapo.
Shule zote ziende halmashauri kuchukua muongozo wa alphabet. Yani wachague kwenye box. Baadhi ya shule zitachagua kuanza na Z na nyingine zitachagua kuanza na A.
Kwenye maisha, kukosa kupo tu...
 
Naomba sana Jamii forums Uzi huu ikiwezekana ufikishwe Kwa ofisi ya waziri mkuu,

Tar 4 mwezi November 2022 waziri mkuu akizindua zoezi la ugawaji vishikwambi namnukuu..

'kila mwalimu apate kishikwambi, idadi ya walimu tunaijua na idadi ya vishikwambi tunaijua!"

Kumbe bhana ni kama Ile kauli ya "yupo ofisini anachapa kazi zake, anawasalimia sana!"

Sasa Leo hii unaambiwa vishikwambi havitoshi!! Na imebidi utolewe muongozo ufuatao...

1 MAELEKEZO WA MGAWANYO NGAZI YA SHULE
Vishikwambi ngazi ya Shule vigawanywe kulingana na mgawanyo wa Majukumu kwenye Taasisi husika. Aidha magawanyo huu haumaanishi wanaopewa ndio watakuwa wamiliki wa kishikwambi, kishikwambi chochote kitatumiwa na mwalimu yoyote kutekeleza majukumu ya Taasisi husika.

1.2.1 .Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Msingi
Mwalimu Mkuu
Mwalimu Mkuu Msaidizi
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Darasa la kwanza na la pili
Mhasibu wa shule(Mwalimu wa Fedha)
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote.

1.2.2 Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Sekondari
Vishikwambi Elimu Sekodari vigawanywe kwa kuzingatia mtiririko ufuatao:-
Mkuu wa shule
Makamu Mkuu wa shule
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Malezi na Nidhamu
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Somo la ICS(kama shule inafundisha masomo hayo)
Mhasibu
Mwalimu wa Miradi/ujenzi
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote!

Na hivyo ndivyo ilivyo Sasa,
Naomba Tena waziri mkuu ajitokeze kukanusha kauli yake ya kishikwambi Kwa Kila mwalimu na aseme Sasa ni kishikwambi Kwa Kila shule!!

Vinginevyo msiwafanye walimu kama vitoto!!
Kama ni vile vya sensa hakuna tablet pale, zile zina ubora hafifu sana ni za watoto kuchezea Game
 
Naomba sana Jamii forums Uzi huu ikiwezekana ufikishwe Kwa ofisi ya waziri mkuu,

Tar 4 mwezi November 2022 waziri mkuu akizindua zoezi la ugawaji vishikwambi namnukuu..

'kila mwalimu apate kishikwambi, idadi ya walimu tunaijua na idadi ya vishikwambi tunaijua!"

Kumbe bhana ni kama Ile kauli ya "yupo ofisini anachapa kazi zake, anawasalimia sana!"

Sasa Leo hii unaambiwa vishikwambi havitoshi!! Na imebidi utolewe muongozo ufuatao...

1 MAELEKEZO WA MGAWANYO NGAZI YA SHULE
Vishikwambi ngazi ya Shule vigawanywe kulingana na mgawanyo wa Majukumu kwenye Taasisi husika. Aidha magawanyo huu haumaanishi wanaopewa ndio watakuwa wamiliki wa kishikwambi, kishikwambi chochote kitatumiwa na mwalimu yoyote kutekeleza majukumu ya Taasisi husika.

1.2.1 .Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Msingi
Mwalimu Mkuu
Mwalimu Mkuu Msaidizi
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Darasa la kwanza na la pili
Mhasibu wa shule(Mwalimu wa Fedha)
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote.

1.2.2 Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Sekondari
Vishikwambi Elimu Sekodari vigawanywe kwa kuzingatia mtiririko ufuatao:-
Mkuu wa shule
Makamu Mkuu wa shule
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Malezi na Nidhamu
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Somo la ICS(kama shule inafundisha masomo hayo)
Mhasibu
Mwalimu wa Miradi/ujenzi
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote!

Na hivyo ndivyo ilivyo Sasa,
Naomba Tena waziri mkuu ajitokeze kukanusha kauli yake ya kishikwambi Kwa Kila mwalimu na aseme Sasa ni kishikwambi Kwa Kila shule!!

Vinginevyo msiwafanye walimu kama vitoto!!
Ww ndio unajua leo,ss tunajua toka siku nyingi kwamba kinacho ongelewa kuhusu vishkwambi ni chenga tu. Hiyo kitu haipo mzee.
 
Mi ni mwalimu ila sitaki kishkwambi.
Niboreshewe tu maslahi ikiwa ni pamoja na mshahara, rent allowance, transport allowance nk.
Wananipa ipad na umeme hakuna, likiishiwa chaji hadi kwa jirani. Wakiiharibu itakuwaje?

Halafu kuna mikoa walimu wakuu walipewaga vishkwambi, hivi bado vipo? Vinafanya kazi?
Una akili angalau
 
Mnapowananga walimu kwanza mjifikirie! Hakuna mwalimu amesema kishikwambi ni mbadala wa nyongeza ya mshahara na nyumba na maslahi mengine..
Halafu tukienda mbele zaidi hakuna mwalimu ALIOMBA apewe kishikwambi! Ni wao wenyewe waliahidi mbele ya kamera na uzinduzi kufanyika...
Ahadi ni Deni,
Walete Kwa Kila mwalimu kama walivyosema waache kudanganya
 
Naomba sana Jamii forums Uzi huu ikiwezekana ufikishwe Kwa ofisi ya waziri mkuu,

Tar 4 mwezi November 2022 waziri mkuu akizindua zoezi la ugawaji vishikwambi namnukuu, "kila mwalimu apate kishikwambi, idadi ya walimu tunaijua na idadi ya vishikwambi tunaijua!"

Kumbe bhana ni kama Ile kauli ya "yupo ofisini anachapa kazi zake, anawasalimia sana!"

Sasa Leo hii unaambiwa vishikwambi havitoshi na imebidi utolewe muongozo ufuatao;

1. MAELEKEZO WA MGAWANYO NGAZI YA SHULE
Vishikwambi ngazi ya Shule vigawanywe kulingana na mgawanyo wa Majukumu kwenye Taasisi husika. Aidha magawanyo huu haumaanishi wanaopewa ndio watakuwa wamiliki wa kishikwambi, kishikwambi chochote kitatumiwa na mwalimu yoyote kutekeleza majukumu ya Taasisi husika.

1.2.1 .Vipaumbele vya mgawanyo Elimu Msingi
Mwalimu Mkuu
Mwalimu Mkuu Msaidizi
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Darasa la kwanza na la pili
Mhasibu wa shule(Mwalimu wa Fedha)

Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote.

1.2.2 Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Sekondari
Vishikwambi Elimu Sekodari vigawanywe kwa kuzingatia mtiririko ufuatao:-
Mkuu wa shule
Makamu Mkuu wa shule
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Malezi na Nidhamu
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Somo la ICS(kama shule inafundisha masomo hayo)
Mhasibu
Mwalimu wa Miradi/ujenzi
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote!

Na hivyo ndivyo ilivyo sasa.

Naomba tena Waziri Mkuu ajitokeze kukanusha kauli yake ya kishikwambi Kwa kila mwalimu na aseme sasa ni kishikwambi Kwa kila shule!!

Vinginevyo msiwafanye walimu kama vitoto!!
Sema nchi hii Ina MIJITU MIJUA kinoma hadi walimu. Hata kufikiria tu haiwezi.

Kwanza hivyo vishkwambi haukuwa Mpango Wala mkakati wa wizara ya elimu kuhusu elimu.

Vishkwambi vyote kazi yake ilikuwa ni SENSA na vingi vilotolewa kwa msaada na serikali ya Korea kusini.

Baada ya zoezi la sensa kuisha, vimebaki tu havina kazi.

Kwahiyo, ili visikae tu na kuharinika ndio NNS wameamua kufanya DUMPING kwa WALIMU. Hizo sababu nyingine wanazotoa ni za kichoko tu.

Na ndio maana hata havitoshi kwasabu havikuketwa kwaajili ya walimu.

Kwenye sensa kulikuwa na karani mmoja kila kitongoji, Sasa imagine kitongoji kina shule ngapi primary na secondary na walimu wangapi???

Walimu was Sasa hivi akili HAKUNA kabisa, na ndio maana mmeanza ujuja went kwenye hivyo vishkwambi USED.
 
Sema nchi hii Ina MIJITU MIJUA kinoma hadi walimu. Hata kufikiria tu haiwezi.

Kwanza hivyo vishkwambi haukuwa Mpango Wala mkakati wa wizara ya elimu kuhusu elimu.

Vishkwambi vyote kazi yake ilikuwa ni SENSA na vingi vilotolewa kwa msaada na serikali ya Korea kusini.

Baada ya zoezi la sensa kuisha, vimebaki tu havina kazi.

Kwahiyo, ili visikae tu na kuharinika ndio NNS wameamua kufanya DUMPING kwa WALIMU. Hizo sababu nyingine wanazotoa ni za kichoko tu.

Na ndio maana hata havitoshi kwasabu havikuketwa kwaajili ya walimu.

Kwenye sensa kulikuwa na karani mmoja kila kitongoji, Sasa imagine kitongoji kina shule ngapi primary na secondary na walimu wangapi???

Walimu was Sasa hivi akili HAKUNA kabisa, na ndio maana mmeanza ujuja went kwenye hivyo vishkwambi USED.
Jinsi unavyotoa hoja yako tu unadhihilisha ujinga ulionao.Ulimsikia mwalimu nani ameomba apewe kishkwambi?Au ulimsikia mwenyekiti CWT AU CHAKUWAHATA amesema walimu wanahitaji vishkwambi?Kusema aseme waziri mkuu,wewe unatukana walimu!
 
Sema nchi hii Ina MIJITU MIJUA kinoma hadi walimu. Hata kufikiria tu haiwezi.

Kwanza hivyo vishkwambi haukuwa Mpango Wala mkakati wa wizara ya elimu kuhusu elimu.

Vishkwambi vyote kazi yake ilikuwa ni SENSA na vingi vilotolewa kwa msaada na serikali ya Korea kusini.

Baada ya zoezi la sensa kuisha, vimebaki tu havina kazi.

Kwahiyo, ili visikae tu na kuharinika ndio NNS wameamua kufanya DUMPING kwa WALIMU. Hizo sababu nyingine wanazotoa ni za kichoko tu.

Na ndio maana hata havitoshi kwasabu havikuketwa kwaajili ya walimu.

Kwenye sensa kulikuwa na karani mmoja kila kitongoji, Sasa imagine kitongoji kina shule ngapi primary na secondary na walimu wangapi???

Walimu was Sasa hivi akili HAKUNA kabisa, na ndio maana mmeanza ujuja went kwenye hivyo vishkwambi USED.
Wewe ni boya Tu! Ulisikia wapi walimu waliomba wapewe? Si ni waziri mkuu ndio alisema !?
Acha wivu
 
Mi ni mwalimu ila sitaki kishkwambi.
Niboreshewe tu maslahi ikiwa ni pamoja na mshahara, rent allowance, transport allowance nk.
Wananipa ipad na umeme hakuna, likiishiwa chaji hadi kwa jirani. Wakiiharibu itakuwaje?

Halafu kuna mikoa walimu wakuu walipewaga vishkwambi, hivi bado vipo? Vinafanya kazi?
Umemsikia huyu
mpwayungu village

Ova
 
Jinsi unavyotoa hoja yako tu unadhihilisha ujinga ulionao.Ulimsikia mwalimu nani ameomba apewe kishkwambi?Au ulimsikia mwenyekiti CWT AU CHAKUWAHATA amesema walimu wanahitaji vishkwambi?Kusema aseme waziri mkuu,wewe unatukana walimu!
Juha, unaonekana Mwalimu wewe
 
Back
Top Bottom