Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni vile vya sensa hakuna tablet pale, zile zina ubora hafifu sana ni za watoto kuchezea GameNaomba sana Jamii forums Uzi huu ikiwezekana ufikishwe Kwa ofisi ya waziri mkuu,
Tar 4 mwezi November 2022 waziri mkuu akizindua zoezi la ugawaji vishikwambi namnukuu..
'kila mwalimu apate kishikwambi, idadi ya walimu tunaijua na idadi ya vishikwambi tunaijua!"
Kumbe bhana ni kama Ile kauli ya "yupo ofisini anachapa kazi zake, anawasalimia sana!"
Sasa Leo hii unaambiwa vishikwambi havitoshi!! Na imebidi utolewe muongozo ufuatao...
1 MAELEKEZO WA MGAWANYO NGAZI YA SHULE
Vishikwambi ngazi ya Shule vigawanywe kulingana na mgawanyo wa Majukumu kwenye Taasisi husika. Aidha magawanyo huu haumaanishi wanaopewa ndio watakuwa wamiliki wa kishikwambi, kishikwambi chochote kitatumiwa na mwalimu yoyote kutekeleza majukumu ya Taasisi husika.
1.2.1 .Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Msingi
Mwalimu Mkuu
Mwalimu Mkuu Msaidizi
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Darasa la kwanza na la pili
Mhasibu wa shule(Mwalimu wa Fedha)
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote.
1.2.2 Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Sekondari
Vishikwambi Elimu Sekodari vigawanywe kwa kuzingatia mtiririko ufuatao:-
Mkuu wa shule
Makamu Mkuu wa shule
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Malezi na Nidhamu
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Somo la ICS(kama shule inafundisha masomo hayo)
Mhasibu
Mwalimu wa Miradi/ujenzi
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote!
Na hivyo ndivyo ilivyo Sasa,
Naomba Tena waziri mkuu ajitokeze kukanusha kauli yake ya kishikwambi Kwa Kila mwalimu na aseme Sasa ni kishikwambi Kwa Kila shule!!
Vinginevyo msiwafanye walimu kama vitoto!!
Ww ndio unajua leo,ss tunajua toka siku nyingi kwamba kinacho ongelewa kuhusu vishkwambi ni chenga tu. Hiyo kitu haipo mzee.Naomba sana Jamii forums Uzi huu ikiwezekana ufikishwe Kwa ofisi ya waziri mkuu,
Tar 4 mwezi November 2022 waziri mkuu akizindua zoezi la ugawaji vishikwambi namnukuu..
'kila mwalimu apate kishikwambi, idadi ya walimu tunaijua na idadi ya vishikwambi tunaijua!"
Kumbe bhana ni kama Ile kauli ya "yupo ofisini anachapa kazi zake, anawasalimia sana!"
Sasa Leo hii unaambiwa vishikwambi havitoshi!! Na imebidi utolewe muongozo ufuatao...
1 MAELEKEZO WA MGAWANYO NGAZI YA SHULE
Vishikwambi ngazi ya Shule vigawanywe kulingana na mgawanyo wa Majukumu kwenye Taasisi husika. Aidha magawanyo huu haumaanishi wanaopewa ndio watakuwa wamiliki wa kishikwambi, kishikwambi chochote kitatumiwa na mwalimu yoyote kutekeleza majukumu ya Taasisi husika.
1.2.1 .Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Msingi
Mwalimu Mkuu
Mwalimu Mkuu Msaidizi
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Darasa la kwanza na la pili
Mhasibu wa shule(Mwalimu wa Fedha)
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote.
1.2.2 Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Sekondari
Vishikwambi Elimu Sekodari vigawanywe kwa kuzingatia mtiririko ufuatao:-
Mkuu wa shule
Makamu Mkuu wa shule
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Malezi na Nidhamu
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Somo la ICS(kama shule inafundisha masomo hayo)
Mhasibu
Mwalimu wa Miradi/ujenzi
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote!
Na hivyo ndivyo ilivyo Sasa,
Naomba Tena waziri mkuu ajitokeze kukanusha kauli yake ya kishikwambi Kwa Kila mwalimu na aseme Sasa ni kishikwambi Kwa Kila shule!!
Vinginevyo msiwafanye walimu kama vitoto!!
Una akili angalauMi ni mwalimu ila sitaki kishkwambi.
Niboreshewe tu maslahi ikiwa ni pamoja na mshahara, rent allowance, transport allowance nk.
Wananipa ipad na umeme hakuna, likiishiwa chaji hadi kwa jirani. Wakiiharibu itakuwaje?
Halafu kuna mikoa walimu wakuu walipewaga vishkwambi, hivi bado vipo? Vinafanya kazi?
Mkuu mimi sio mwalimu kwanza yanini hayo makopo Kati Nina apple yangu apa SafiKwa vigezo hivi mpwayungu village hawezi kupata kishkwambi maana yeye hana cheo chochote shuleni.
Sema nchi hii Ina MIJITU MIJUA kinoma hadi walimu. Hata kufikiria tu haiwezi.Naomba sana Jamii forums Uzi huu ikiwezekana ufikishwe Kwa ofisi ya waziri mkuu,
Tar 4 mwezi November 2022 waziri mkuu akizindua zoezi la ugawaji vishikwambi namnukuu, "kila mwalimu apate kishikwambi, idadi ya walimu tunaijua na idadi ya vishikwambi tunaijua!"
Kumbe bhana ni kama Ile kauli ya "yupo ofisini anachapa kazi zake, anawasalimia sana!"
Sasa Leo hii unaambiwa vishikwambi havitoshi na imebidi utolewe muongozo ufuatao;
1. MAELEKEZO WA MGAWANYO NGAZI YA SHULE
Vishikwambi ngazi ya Shule vigawanywe kulingana na mgawanyo wa Majukumu kwenye Taasisi husika. Aidha magawanyo huu haumaanishi wanaopewa ndio watakuwa wamiliki wa kishikwambi, kishikwambi chochote kitatumiwa na mwalimu yoyote kutekeleza majukumu ya Taasisi husika.
1.2.1 .Vipaumbele vya mgawanyo Elimu Msingi
Mwalimu Mkuu
Mwalimu Mkuu Msaidizi
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Darasa la kwanza na la pili
Mhasibu wa shule(Mwalimu wa Fedha)
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote.
1.2.2 Vipaumbele vya Mgawanyo Elimu Sekondari
Vishikwambi Elimu Sekodari vigawanywe kwa kuzingatia mtiririko ufuatao:-
Mkuu wa shule
Makamu Mkuu wa shule
Mwalimu wa Taaluma
Mwalimu wa Malezi na Nidhamu
Mwalimu wa Takwimu
Mwalimu wa Somo la ICS(kama shule inafundisha masomo hayo)
Mhasibu
Mwalimu wa Miradi/ujenzi
Aidha mwalimu mwenye majukumu yanayoingiliana atapewa kishikwambi kimoja kwa majukumu yote!
Na hivyo ndivyo ilivyo sasa.
Naomba tena Waziri Mkuu ajitokeze kukanusha kauli yake ya kishikwambi Kwa kila mwalimu na aseme sasa ni kishikwambi Kwa kila shule!!
Vinginevyo msiwafanye walimu kama vitoto!!
Mkuu umenichekesha sana ,mwenzio alishakataa kuwa yeye sio mwaimu lakini anafahamu A to Z mambo ya walimuKwa vigezo hivi mpwayungu village hawezi kupata kishkwambi maana yeye hana cheo chochote shuleni.
Jinsi unavyotoa hoja yako tu unadhihilisha ujinga ulionao.Ulimsikia mwalimu nani ameomba apewe kishkwambi?Au ulimsikia mwenyekiti CWT AU CHAKUWAHATA amesema walimu wanahitaji vishkwambi?Kusema aseme waziri mkuu,wewe unatukana walimu!Sema nchi hii Ina MIJITU MIJUA kinoma hadi walimu. Hata kufikiria tu haiwezi.
Kwanza hivyo vishkwambi haukuwa Mpango Wala mkakati wa wizara ya elimu kuhusu elimu.
Vishkwambi vyote kazi yake ilikuwa ni SENSA na vingi vilotolewa kwa msaada na serikali ya Korea kusini.
Baada ya zoezi la sensa kuisha, vimebaki tu havina kazi.
Kwahiyo, ili visikae tu na kuharinika ndio NNS wameamua kufanya DUMPING kwa WALIMU. Hizo sababu nyingine wanazotoa ni za kichoko tu.
Na ndio maana hata havitoshi kwasabu havikuketwa kwaajili ya walimu.
Kwenye sensa kulikuwa na karani mmoja kila kitongoji, Sasa imagine kitongoji kina shule ngapi primary na secondary na walimu wangapi???
Walimu was Sasa hivi akili HAKUNA kabisa, na ndio maana mmeanza ujuja went kwenye hivyo vishkwambi USED.
Wewe ni boya Tu! Ulisikia wapi walimu waliomba wapewe? Si ni waziri mkuu ndio alisema !?Sema nchi hii Ina MIJITU MIJUA kinoma hadi walimu. Hata kufikiria tu haiwezi.
Kwanza hivyo vishkwambi haukuwa Mpango Wala mkakati wa wizara ya elimu kuhusu elimu.
Vishkwambi vyote kazi yake ilikuwa ni SENSA na vingi vilotolewa kwa msaada na serikali ya Korea kusini.
Baada ya zoezi la sensa kuisha, vimebaki tu havina kazi.
Kwahiyo, ili visikae tu na kuharinika ndio NNS wameamua kufanya DUMPING kwa WALIMU. Hizo sababu nyingine wanazotoa ni za kichoko tu.
Na ndio maana hata havitoshi kwasabu havikuketwa kwaajili ya walimu.
Kwenye sensa kulikuwa na karani mmoja kila kitongoji, Sasa imagine kitongoji kina shule ngapi primary na secondary na walimu wangapi???
Walimu was Sasa hivi akili HAKUNA kabisa, na ndio maana mmeanza ujuja went kwenye hivyo vishkwambi USED.
Umemsikia huyuMi ni mwalimu ila sitaki kishkwambi.
Niboreshewe tu maslahi ikiwa ni pamoja na mshahara, rent allowance, transport allowance nk.
Wananipa ipad na umeme hakuna, likiishiwa chaji hadi kwa jirani. Wakiiharibu itakuwaje?
Halafu kuna mikoa walimu wakuu walipewaga vishkwambi, hivi bado vipo? Vinafanya kazi?
Wewe Juha kafirwe ukalaleWewe ni boya Tu! Ulisikia wapi walimu waliomba wapewe? Si ni waziri mkuu ndio alisema !?
Acha wivu
Juha, unaonekana Mwalimu weweJinsi unavyotoa hoja yako tu unadhihilisha ujinga ulionao.Ulimsikia mwalimu nani ameomba apewe kishkwambi?Au ulimsikia mwenyekiti CWT AU CHAKUWAHATA amesema walimu wanahitaji vishkwambi?Kusema aseme waziri mkuu,wewe unatukana walimu!
Unayofanyiwa unadhani Kila mtu anafanyiwa piaWewe Juha kafirwe ukalale
Punguzeni njaa, mtapanuliwa mnooNinayofanyiwa unadhani Kila mtu anafanyiwa pia