Kumbe 'sometimes' Mikwara husaidia Kukimbiza 'Vibaka' Watoboa Nyavu Usiku Uswahilini Mwetu

Kumbe 'sometimes' Mikwara husaidia Kukimbiza 'Vibaka' Watoboa Nyavu Usiku Uswahilini Mwetu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimejaribu hii Mikwara Miwili ndani ya Siku Mbili tofauti ambapo Vibaka walitaka Kunichania Nyavu Ghettoni Kwangu waniibie hii Simu yangu ya Kimasikini ya Tecno F1 na imesaidia Kuwatoa Baru ( Kuwakimbiza ) ila Hofu yangu Siku wakija Kushtukia kuwa sina lolote nahisi Watanipanya Rodi vibaya mno.

Jumamosi iliyopita mida ya Saa 10 Alfajiri Kibaka alikuja Dirishani Kwangu Uswahilini na nilipojua kuwa eneo hilo nikaamka huku nikijifanya naongea na Simu na Mjeda ( Mwanajeshi ) nikisema.."Afande Kobelo hii Bunduki uliyonikabishi si inaweza ikarusha Risasi kwa haraka hata kama Adui yuko kwa mbali kama ambavyo tuliua Yule Jambazi Keko?"..... na nilipomaliza tu Kuongea hivyo nikakuta Mtu hayuko Kakimbia na kaniachia tu Bisibisi yake na kubaki Kucheka tu Mwenyewe.

Juzi Jumatatu mida ya Saa 9 hivi alikuja tena Kibaka kutaka Kuniibia Dirishani na nilichoamua kufanya kwa huyu ni Kwanza kufungua Pazia la Ghettoni Kwangu nikijua kuwa Kajibanza na Kuwasha Taa Kimakusudi.

Kilichofuata baada ya hapo ni Mimi Kujifanya ni mwana Karateka ( Mdogo wake Bruce Lee ) na kuanza Kuonyesha Styles zote za Karate nilizozikariri kutokana na Kutizama mno Sinema za Bruce Lee ambapo kuna Style Moja ya kupiga Ukuta na Kichwa niliifanya huku nikilia kwa Mzuka wa Wanakarateka na kumsikia Yule Kibaka akinisonya na kunitukana kisha Kuondoka zake ndiyo ikawa pona yangu.

Hata hivyo pamoja na Kujitutumua kote kule mbele ya Kibaka na kujifanya mwana Karateka kwa Kupiga Ukuta kwa Kichwa hivi sasa nauguza Nundu na Asante kwa Barafu za Jirani kwa Kuniponya hii Nundu.

Asikuambie Mtu Mikwara inalipa!!!!!!

Cc: adriz, Bila bila, Bujibuji Simba Nyamaume, Sky Eclat, Frank Wanjiru, Daudi Mchambuzi etc.

 
Hata hivyo pamoja na Kujitutumua kote kule mbele ya Kibaka na kujifanya mwana Karateka kwa Kupiga Ukuta kwa Kichwa hivi sasa nauguza Nundu na Asante kwa Barafu za Jirani kwa Kuniponya hii Nundu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
20220925_131519.jpg
 
Mikwara inasaidia sana hata ukipanda daladala kuna madereva Wana tabia za kukatisha ruti haswa magari ya Buza_ Mbande Magengeni hawa mida ya jioni na usiku mara nyingi wana michezo ya kuishia Tandika hawafiki Buza .

Sasa ukitaka nauli yako irudi na faini chukua simu mpigie mtu halafu sema " hallo afande wale watu unaowataka nimewapata uko wapi sasa nimeshushwa njiani hapa" hapo lazima wawe wapole kwako mimi kuna mtu nimepanga kwa vile ndio ruti zangu nimemwambia wewe utakuwa afande wangu wa mikwara siku nikifanyiwa uhuni.
 
Nimejaribu hii Mikwara Miwili ndani ya Siku Mbili tofauti ambapo Vibaka walitaka Kunichania Nyavu Ghettoni Kwangu waniibie hii Simu yangu ya Kimasikini ya Tecno F1 na imesaidia Kuwatoa Baru ( Kuwakimbiza ) ila Hofu yangu Siku wakija Kushtukia kuwa sina lolote nahisi Watanipanya Rodi vibaya mno.

Jumamosi iliyopita mida ya Saa 10 Alfajiri Kibaka alikuja Dirishani Kwangu Uswahilini na nilipojua kuwa eneo hilo nikaamka huku nikijifanya naongea na Simu na Mjeda ( Mwanajeshi ) nikisema.."Afande Kobelo hii Bunduki uliyonikabishi si inaweza ikarusha Risasi kwa haraka hata kama Adui yuko kwa mbali kama ambavyo tuliua Yule Jambazi Keko?"..... na nilipomaliza tu Kuongea hivyo nikakuta Mtu hayuko Kakimbia na kaniachia tu Bisibisi yake na kubaki Kucheka tu Mwenyewe.

Juzi Jumatatu mida ya Saa 9 hivi alikuja tena Kibaka kutaka Kuniibia Dirishani na nilichoamua kufanya kwa huyu ni Kwanza kufungua Pazia la Ghettoni Kwangu nikijua kuwa Kajibanza na Kuwasha Taa Kimakusudi.

Kilichofuata baada ya hapo ni Mimi Kujifanya ni mwana Karateka ( Mdogo wake Bruce Lee ) na kuanza Kuonyesha Styles zote za Karate nilizozikariri kutokana na Kutizama mno Sinema za Bruce Lee ambapo kuna Style Moja ya kupiga Ukuta na Kichwa niliifanya huku nikilia kwa Mzuka wa Wanakarateka na kumsikia Yule Kibaka akinisonya na kunitukana kisha Kuondoka zake ndiyo ikawa pona yangu.

Hata hivyo pamoja na Kujitutumua kote kule mbele ya Kibaka na kujifanya mwana Karateka kwa Kupiga Ukuta kwa Kichwa hivi sasa nauguza Nundu na Asante kwa Barafu za Jirani kwa Kuniponya hii Nundu.

Asikuambie Mtu Mikwara inalipa!!!!!!

Cc: adriz, Bila bila, Bujibuji Simba Nyamaume, Sky Eclat, Frank Wanjiru, Daudi Mchambuzi etc.


Wakati nasoma hapo udsm miaka hiyo (chuo cha vipanga wa nchi! Imagine ma genius wote wa nchi tulikutanishwa hapo Udsm), basi nilipanga uswahilini bhana wakati nikiwa mwaka wa pili kutokana na uhaba wa accommodation!

Kuna siku moja usiku wa manane si kibaka akanyata mpaka dirishani kwangu, akaingiza fimbo yenye kimfuko cha wavu kwa mbele kwa lengo la kuivuta simu yangu Nokia yenye camera!!

Basi nilikurupuka kitandani na kuikamata ile fimbo huku nikipiga kelele za mwizi!! Dah!! Yule jamaa nahisi miguu yake ilifika kisogoni kwa mbio!!
 
Sasa Dogo mbona umesahau kunitag mimi Bro wako wa ukweli? Huu uzi ni mzuri sana.

Wakati nasoma hapo udsm miaka hiyo (chuo cha vipanga wa nchi! Imagine ma genius wote wa nchi tulikutanishwa hapo Udsm), basi nilipanga uswahilini bhana wakati nikiwa mwaka wa pili kutokana na uhaba wa accommodation!

Kuna siku moja usiku wa manane si kibaka akanyata mpaka dirishani kwangu, akaingiza fimbo yenye kimfuko cha wavu kwa mbele kwa lengo la kuivuta simu yangu Nokia yenye camera!!

Basi nilikurupuka kitandani na kuikamata ile fimbo huku nikipiga kelele za mwizi!! Dah!! Yule jamaa nahisi miguu yake ilifika kisogoni kwa mbio!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkwara hatari zaidi ni huu..
Utotoni tulitumia spoke za baiskeli na kule kwenye kichwa cha spoke unajaza baruti. Unatafuta misumari ya nch 1 au ile midogo ya viatu unafunga na mpira. Unaikunja spoke inakuwa kwenye shape ya U then ule mpira unaingiza kidogo kwenye kichwa cha spoke ambacho umejaza baruti. Ukigonga chini au ukutani ule msumari unajishindilia kwenye kichwa cha spoke ambako umejaza baruti. Baruti yenyewe unaisaga kutoka kwenye kiberiti. Mlio unaotoka ni zaidi ya bastola. Unatengeneza hivyo hata vi 5. Mwizi harudi tena anaamini unapiga risasi juu.
 
Nimejaribu hii Mikwara Miwili ndani ya Siku Mbili tofauti ambapo Vibaka walitaka Kunichania Nyavu Ghettoni Kwangu waniibie hii Simu yangu ya Kimasikini ya Tecno F1 na imesaidia Kuwatoa Baru ( Kuwakimbiza ) ila Hofu yangu Siku wakija Kushtukia kuwa sina lolote nahisi Watanipanya Rodi vibaya mno.

Jumamosi iliyopita mida ya Saa 10 Alfajiri Kibaka alikuja Dirishani Kwangu Uswahilini na nilipojua kuwa eneo hilo nikaamka huku nikijifanya naongea na Simu na Mjeda ( Mwanajeshi ) nikisema.."Afande Kobelo hii Bunduki uliyonikabishi si inaweza ikarusha Risasi kwa haraka hata kama Adui yuko kwa mbali kama ambavyo tuliua Yule Jambazi Keko?"..... na nilipomaliza tu Kuongea hivyo nikakuta Mtu hayuko Kakimbia na kaniachia tu Bisibisi yake na kubaki Kucheka tu Mwenyewe.

Juzi Jumatatu mida ya Saa 9 hivi alikuja tena Kibaka kutaka Kuniibia Dirishani na nilichoamua kufanya kwa huyu ni Kwanza kufungua Pazia la Ghettoni Kwangu nikijua kuwa Kajibanza na Kuwasha Taa Kimakusudi.

Kilichofuata baada ya hapo ni Mimi Kujifanya ni mwana Karateka ( Mdogo wake Bruce Lee ) na kuanza Kuonyesha Styles zote za Karate nilizozikariri kutokana na Kutizama mno Sinema za Bruce Lee ambapo kuna Style Moja ya kupiga Ukuta na Kichwa niliifanya huku nikilia kwa Mzuka wa Wanakarateka na kumsikia Yule Kibaka akinisonya na kunitukana kisha Kuondoka zake ndiyo ikawa pona yangu.

Hata hivyo pamoja na Kujitutumua kote kule mbele ya Kibaka na kujifanya mwana Karateka kwa Kupiga Ukuta kwa Kichwa hivi sasa nauguza Nundu na Asante kwa Barafu za Jirani kwa Kuniponya hii Nundu.

Asikuambie Mtu Mikwara inalipa!!!!!!

Cc: adriz, Bila bila, Bujibuji Simba Nyamaume, Sky Eclat, Frank Wanjiru, Daudi Mchambuzi etc.

Wanaume wa Dar mbona mnasumbuka sana ?! Ngoja nikute silaha nyepesi !! Chukua pilipili yoyote ile kali, ipondeponde kisha changanya na maji iweke kwenye jagi. Ukiingiliwa na jambazi au kibaka, chukua pilipili iliyoko kwenye jagi mmwagie usoni ! Hata kama alikuwa kashika bunduki lazima aitupe !! Pale atabaki anafikicha macho na hapo utamkamata kirahisi kisha utamfanya chochote utakacho. Nimekamata wawili kwa mtindo huo!!
 
Hawa dawa yao ni kupita vijiwe vyote vinavyokunguka ukiwa na UPINDE.
Kwako hatasogea tena dirishani kwako
 
Nimejaribu hii Mikwara Miwili ndani ya Siku Mbili tofauti ambapo Vibaka walitaka Kunichania Nyavu Ghettoni Kwangu waniibie hii Simu yangu ya Kimasikini ya Tecno F1 na imesaidia Kuwatoa Baru ( Kuwakimbiza ) ila Hofu yangu Siku wakija Kushtukia kuwa sina lolote nahisi Watanipanya Rodi vibaya mno.

Jumamosi iliyopita mida ya Saa 10 Alfajiri Kibaka alikuja Dirishani Kwangu Uswahilini na nilipojua kuwa eneo hilo nikaamka huku nikijifanya naongea na Simu na Mjeda ( Mwanajeshi ) nikisema.."Afande Kobelo hii Bunduki uliyonikabishi si inaweza ikarusha Risasi kwa haraka hata kama Adui yuko kwa mbali kama ambavyo tuliua Yule Jambazi Keko?"..... na nilipomaliza tu Kuongea hivyo nikakuta Mtu hayuko Kakimbia na kaniachia tu Bisibisi yake na kubaki Kucheka tu Mwenyewe.

Juzi Jumatatu mida ya Saa 9 hivi alikuja tena Kibaka kutaka Kuniibia Dirishani na nilichoamua kufanya kwa huyu ni Kwanza kufungua Pazia la Ghettoni Kwangu nikijua kuwa Kajibanza na Kuwasha Taa Kimakusudi.

Kilichofuata baada ya hapo ni Mimi Kujifanya ni mwana Karateka ( Mdogo wake Bruce Lee ) na kuanza Kuonyesha Styles zote za Karate nilizozikariri kutokana na Kutizama mno Sinema za Bruce Lee ambapo kuna Style Moja ya kupiga Ukuta na Kichwa niliifanya huku nikilia kwa Mzuka wa Wanakarateka na kumsikia Yule Kibaka akinisonya na kunitukana kisha Kuondoka zake ndiyo ikawa pona yangu.

Hata hivyo pamoja na Kujitutumua kote kule mbele ya Kibaka na kujifanya mwana Karateka kwa Kupiga Ukuta kwa Kichwa hivi sasa nauguza Nundu na Asante kwa Barafu za Jirani kwa Kuniponya hii Nundu.

Asikuambie Mtu Mikwara inalipa!!!!!!

Cc: adriz, Bila bila, Bujibuji Simba Nyamaume, Sky Eclat, Frank Wanjiru, Daudi Mchambuzi etc.

Mkuu hiyo mikwara sio poa ,maana wakielewa itakuwa soo!
Mikwara tunayofanya, unamwita mjeda na silaha yake.
Anarusha risasi hewani kwa fujo kama dk 5 hivi, halafu anaondoka.
Kesho yake utawaambia majirani kuwa umemkosakosa kibaka kwa risasi.
Siku nyingine ama zao ama zako.
Huo ujumbe utawafikia vibaka bila chenga chenga.
 
Mikwara inasaidia sana hata ukipanda daladala kuna madereva Wana tabia za kukatisha ruti haswa magari ya Buza_ Mbande Magengeni hawa mida ya jioni na usiku mara nyingi wana michezo ya kuishia Tandika hawafiki Buza .

Sasa ukitaka nauli yako irudi na faini chukua simu mpigie mtu halafu sema " hallo afande wale watu unaowataka nimewapata uko wapi sasa nimeshushwa njiani hapa" hapo lazima wawe wapole kwako mimi kuna mtu nimepanga kwa vile ndio ruti zangu nimemwambia wewe utakuwa afande wangu wa mikwara siku nikifanyiwa uhuni.
Nimecheka mpaka basi Rafiki yangu.
 
Wanaume wa Dar mbona mnasumbuka sana ?! Ngoja nikute silaha nyepesi !! Chukua pilipili yoyote ile kali, ipondeponde kisha changanya na maji iweke kwenye jagi. Ukiingiliwa na jambazi au kibaka, chukua pilipili iliyoko kwenye jagi mmwagie usoni ! Hata kama alikuwa kashika bunduki lazima aitupe !! Pale atabaki anafikicha macho na hapo utamkamata kirahisi kisha utamfanya chochote utakacho. Nimekamata wawili kwa mtindo huo!!
Inaitwa pepper spray, polis wa south africa wakija kwako ukagoma kufungua mlango, wanaipenyeza asee utatoka mweeeenyeeewe
 
Mkwara hatari zaidi ni huu..
Utotoni tulitumia spoke za baiskeli na kule kwenye kichwa cha spoke unajaza baruti. Unatafuta misumari ya nch 1 au ile midogo ya viatu unafunga na mpira. Unaikunja spoke inakuwa kwenye shape ya U then ule mpira unaingiza kidogo kwenye kichwa cha spoke ambacho umejaza baruti. Ukigonga chini au ukutani ule msumari unajishindilia kwenye kichwa cha spoke ambako umejaza baruti. Baruti yenyewe unaisaga kutoka kwenye kiberiti. Mlio unaotoka ni zaidi ya bastola. Unatengeneza hivyo hata vi 5. Mwizi harudi tena anaamini unapiga risasi juu.
Yenye mlio mkubwa ni spoke za pikipiki kwa sababu ni nene.
 
Back
Top Bottom