Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Nawatakia kumbukumbu njema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyovikomboa visiwa hivi.
P
 
Tuliozaliwa baada ya uhuru na mapinduzi ZNZ inabidi kweli kufanya research yakinifu, uzuri wote waliotajwa tumewasikia kuhusika, tatizo ukweli wenyewe ni upi?!
 
Kàtika makala yote Mimi nimeona haha ka Sentensi....Zanzibar,a semi autonomous Region of ... 🤣 🤣
 
Haya mambo kumbe yalianza enzi za Sultan Jamshid. Mijizi na Mafisadi ndio Masultan Jamshid wa leo. Si ajabu tumeona picha za familia ikisherehekea pasaka huku mkuu wa Kaya akiwa juu ya kiti ADC.
 
Huku bwana yule akiwa anaongoza malaika kama alivyosema mwenyewe.
Lisu hata apewe mi
Huku bwana yule akiwa anaongoza malaika kama alivyosema mwenyewe.
Lisu alitegemea sana uwepo wa Magufuli kujipatia umaarufu, kwa kua hayupo Lisu is no longer relevant,

Hata sasa anavyoendelea kumshambulia watu wanamwona kama mental case tu.

Your guy is no longer relevant deal with it.
 
Lisu hata apewe mi
Lisu alitegemea sana uwepo wa Magufuli kujipatia umaarufu, kwa kua hayupo Lisu is no longer relevant,

Hata sasa anavyoendelea kumshambulia watu wanamwona kama mental case tu.

Your guy is no longer relevant deal with it.
Wewe deal na mtakatifu wako aliyepewa umalaika mkuu kwa sasa,sisi tunadunda tu na maisha yetu kama kawa.
 
Kweli amesema kuwa amepata faraja kuondoka kwa Karume . Kwani alisema yeye ndiye aliyekuwa kiongozi mkuu ya dhulma zilizotokea.

Na kasema ikiwa watu wanataka arudi atakubali kurudi. hajasema kurudi kama mfalme.
Hata Salmi Amour alitamka kuwa yupo huru kurudi.

Lakini ukweli usemwe. Alipokuja Jumbe raisi wapili
utawala wa sharia ulianza kurudi kidogokidogo.
Uchaguzi ulianza
Woga ulianza kuondoka
Ubaguzi ulianza kupunguwa
Elimu kwa wote ,khasa elimu ya juu, vijana wenye asili yakiarabu na yakiahindi walianza kupata fursa.
Scholar ship zikawa zinatolewa bila ubaguzi
Fursa za kazi bila ya ubaguzi ( nadhani isipokuwa polisi na jeshi)
 
Kero zote za Muungano zinakwenda kutatuliwa na kumalizika rasmi.
Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
P
 
Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Z
Huyu jamaa ambaye akishinda hatangazwi hayupo tena...huenda Sasa Wazenji wakatangaziwa mshindi halali kwenye chaguzi zijazo?
 
Huyu jamaa ambaye akishinda hatangazwi hayupo tena...huenda Sasa Wazenji wakatangaziwa mshindi halali kwenye chaguzi zijazo?
True, mfano wakimsimamisha huyu jamaa

Na jamaa huyu akaacha tabia yake ya kuuchokoa huu Muungano wetu adhimu kama hapa

Akisimamishwa, akishinda, anapewa!.
P
 
Una uhakika au ni hisia zako tuu.......kwani tatizo alikuwa ni mwenye vinasaba au chama tawala hawataki kuachia madaraka?...
 
Una uhakika au ni hisia zako tuu.......kwani tatizo alikuwa ni mwenye vinasaba au chama tawala hawataki kuachia madaraka?...
Siasa za Zanzibar ni ngumu sana!, vinasaba ni tatizo kubwa asije kuingia mtu wa kuonekana kama ni kumrejeleza Sultani. Hivyo ukimsimamisha Mbantu, hoja ya vinasaba inakufa.

2. Determinant ya mshindi wa urais wa Zanzibar ni mtu atakayedumisha Muungano wetu adhimu, hivyo huyu jamaa akiacha kuuchokoa Muungano, atapewa. Na ikitokea tayari ikiishapewa, kisha ndio akauchokoa muungano, tunamuita Dodoma, kule anakuja na msafara, baada ya kikao, anaondoka na gari moja, akisindikizwa nyumbani kwake na kamwe hutamsikia tena akizungumza lolote in public!.

P
 
Siasa za Zanzibar ni ngumu sana!, vinasaba ni tatizo kubwa asije kuingia mtu wa kuonekana kama ni kumrejeleza Sultani. Hivyo ukimsimamisha Mbantu, hoja ya vinasaba inakufa.
...hata utawala wa Ccm ni wa kisultani tu....sema unatumia koti la chama cha siasa kuuficha huo usultani.

Katiba mpya ni muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…