lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Tunatafuta laana zisizo la msingiKuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatafuta laana zisizo la msingiKuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
![]()
Si alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
Hata watapetape vipi, hawatamuweza kakobe, mungu ni mkubwa kuliko serikali yyte ile,...TRA wanajifanya mambumbu kuwa hawakuelewa askofu anamaanisha utajiri gani sasa kwanza mungu awaibishe mchana kweupe,wasilete ujinga mbele za watumishi wa mungu wanahisi ni akina lissuSi alikuwa anatafuta sifa mbele ya waumini wake ndio atambue serikali haitaniwi ..eti nilikuwa namaanisha utajiri wa imani wakati alisikika akisema nina pesa kuliko....
Wewe nani mpaka uwe na pesa kuliko serikali ,Dangote na pesa ,utajiri wote hajawahi kuidharau serikali yake
Ndio atakoma na heshima itakuwepo ..
bora ukutane na FFU na sio hawa TRA huku kwetu wenye maduka wakiwaona Maofisa wa TRA wote huambizana kufunga maduka
....Sasa wewe pimbi hizi zarau za nini?Vichwa vyao vigumu Sana hawa watu, wametanguliza mihemuko tu
Alikuwa anajificha saizi kajitanabaisha wazi kajiweka wazi ..kila taarifa kwetu sisi TRA ni muhimu na tunafanyia kaziKwaiyo unafurahia huu ujinga??
Siku zote TRA walikuwa wapi wasiombe hizo documents??
Aisee kuishi taifa moja ni mizombi kama ninyi ni shida sana
[emoji1] [emoji2] duh!! Kazi kweli kweli mkuu.Mkuu ng'ombe afugie wap mapori yote walishachukua wnyw yaliobak n ya uyo mama(serkali) wanaemtukana kila cku
sijawahi kuona taifa la watu wap.umbavu kama Tz..kwanza huyu aliyeleta hii karatasi hana akili, hana kazi ya kufanya kufake barua km inatoka TRA na wajinga wanaona km ni genuine sijui anafaidika na nini kufanya ujinga huu, namkumbusha Mungu hafanyiwi mizaha Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu, acha mizaha ya kijinga jinga peleka mizaha yako kwingine!Kuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
![]()
Mkuu iwe barua inaenda wapi sijui wapi ila jua mlengwa ni Kakobe na familia yake.Kumbe nawewe huajelewa hiyo barua imeelekezwa kwenye mabenki..... ndio shida ya manaoambiwa kutubu afu mnapotezea..... au ngeli imepita kushoto..... unashadadia tuuu....hahahhaaaaa ndio maana Lowasa alisema elimu elimu elimu
Acha uchizi wewe!
Hiyo serikali kama inajua wajibu ilikuwa wapi tangu Jan, 2014? TRA walikuwa wapi muda wote huo??Kama huwa unaskiaga umbeya na unafiki ndo huu.......!!!!
Kosa langu nikuleta taarifa? Basi Nisamehe saaana Mimisijawahi kuona taifa la watu wap.umbavu kama Tz..kwanza huyu aliyeleta hii karatasi hana akili, hana kazi ya kufanya kufake barua km inatoka TRA na wajinga wanaona km ni genuine sijui anafaidika na nini kufanya ujinga huu, namkumbusha Mungu hafanyiwi mizaha Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu, acha mizaha ya kijinga jinga peleka mizaha yako kwingine!
[emoji2] [emoji1] kabisa Kakobe kajikanyaga mwenyewe na sifa zake za kijinga.Na Kweli anatakiwa arudi kakonko akachunge ngombe, hana adabu hata kidogo na pia iwe lesson for others
Kwani Kakobe MUNGU mkuu? Viongozi wa dini wengi ni wapigaji tu mkuu.Tunatafuta laana zisizo la msingi
Alisema serikali yote ya Tanzania kaiweka mfukoni mwake, mwisho wa siku akajikuta kawekwa mfukoni yeye na familia yake.Wacha apande alicho kitafuta
Dharau zake haziwezi vumilika
ni mpuuzi sana huyu
kipindi cha Nyerere kulitokea mpuuzi kama huyu Alicho fanyiwa alikijua mwenyewe.
Huwezi dharau serikali wakati serikali ndio kila kitu ktk maisha yako
Ndio uwe unanyoosha maelezo usidhani humu vilaza kama mnaoambiwa kutubu mnapiga chenga bhana.... kwani vipppp...... si mtubu tu bhana.....Mkuu iwe barua inaenda wapi sijui wapi ila jua mlengwa ni Kakobe na familia yake.
Habari ya Kakobe ni mbichi kabisa ulitegemea aje wawe wameachana naye. Mkuu wao anasubiri kwa hamu aone nini atakachofanywa.Kuna taarifa kuwa jamaa wanatafuta taarifa za kifedha za Mch. Zakary Kakobe.
Nadhani serikali na TRA wangejikita kwenye issues za maana wakaacha visa na mikasa.
![]()