Kumbe Tundu Lissu anadaiwa kwa kulipwa malipo hewa!

Kumbe Tundu Lissu anadaiwa kwa kulipwa malipo hewa!

Hero

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
3,932
Reaction score
2,839
Kwa masikitiko makubwa nimemsikia Mh. Ndugai akimuonya Tundu Lissu kwa kuwa asitake kumlazimisha kufukua yaliyokuwa yamefunikwa kwa kile alichokiita kumtuhumu Spika kuwa ni muongo! Japo kuwa karibu kila binadamu ktk kipindi fulani ktk maisha huwa na deni la kulipa sehemu fulani, lakini hili deni nalolisemea hapa ni la malipo hewa.

Lissu alilipwa fedha za jimbo wakati akilandalanda Marekani, Uingereza na Ubelgiji na Ujerumani akiitukanisha nchi na Serikali, kwa fedha ambayo ilipaswa itumike jimboni kwake Singida!

Malipo haya aliyolipwa TL kwa mtazamo wangu ni malipo hewa na anapaswa ayarejeshe! Kama vipi nitakwenda mahakamani kufungua kesi ya kuwezesha kurejesha mamilioni ya kodi zetu yaliyotumika vibaya kwa kulipa malipo hewa!

Kabla sijafanya hivyo, nilitaka kuwajulisha wana janvi, hasa wale wanapenda kuunga mkono kila ujinga na upuuzi anaolopoka TL ili mkome kushadadia majizi!

Lazima mjue TL ni muongo na mzushi kwa asilimia kubwa ya anayoropoka! Mnakumbuka ktk hali ya ujizi wake alisema Mh. Magu hawezi ongea sentence moja ya kiingereza kana kwamba kuongea kiingereza ndio kipimo cha akili, wakati huohuo tunaona maprofesa wengi kutoka urusi, china, japan, korea, ujeruman nk hawajui hicho kiingereza pamoja na kufanya gunduzi zilizoitikisa dunia!

Pia kuna marais wengi duniani hawajui hicho kiingereza ndio maana utawakuta kwenye mikutano ya UN wanavaa vifaa maalumu vya kutafsiri lugha!

Kwa kifupi, labda huyo Lisu wenu mumtambue tu kama ni chizi vinginevyo hatua kali za kishertia zitachukuliwa dhidi yake soon enough!

 
Malipo hewa ndiyo yakoje hayo?
Mnamlipa mtu kwa ajili ya kufanya jambo x anapokea hela na halifanyii utekelezaji jambo hilo! Na ii kasumba ipo sana upinzani, wao wanadhulumu haki za watu, afu wanatoka mbele kwa hasira kudai haki zao za magumashi.

TL alichukua hela kwa ajiri ya kutembelea jimbo lake ili kuwasaidia wananchi wa ikungi na singida mashariki kwa ujumla! Badala yake akawahadaa kwakuitumia hela yao kwenda america na kwingineko!

Hii nayo ni dhuluma kwa wananchi wa jimbo lake na ni wizi na matumizi mabaya ya kodi zetu! Kwa upumbafu anaendelea kudunda na kujiona mtakatifu huku akiwabwatukia wengine kuwa hatendewi haki!
 
Amani iwe nanyi.

Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.

Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!

Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais, ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!

Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!

Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!

Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamlipa mtu kwa ajili ya kufanya jambo x anapokea hela na halifanyii utekelezaji jambo hilo!
Na wale wabunge wa CCM wanaolipwa fedha lakini hakuna wanachochangia bungeni nao wanalipwa malipo hewa?
 
Elitwege,
Lakini ndugu umejiandaa kwa povu lenye matusi na kejeli!? Maana wapo watu humu mmmh!
 
Na wale wabunge wa CCM wanaolipwa fedha lakini hakuna wanachochangia bungeni nao wanalipwa malipo hewa?
Inategemea unamaanisha nini 'kuchangia bungeni'! Kama ni maana ya ufipani au maana halisi ya wanazuoni na watz wote!?
 
Najikuta namuunga mkono mkuu kagoshima hapo juu.
Hiyo pesa ya jimbo ilikuwaje ofisi ya bunge iingize kwenye mshahara wake wakati wanajua yuko kwenye matibabu? Soma uielewe post #5 hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
I kawaida ya wabunge kupewa hiyo fedha ya jimboni, wakitegemewa kuitumia wakiwa majimboni mwao! Kwa kuwa walijua angeitumia jimboni, walimpa, na yeye TL alijuwa maana ya malipo hayo, badala yake alifanya kinyume, kutumia fedha yetu walipakodi kuihujumu nchi yetu ughaibuni!

Baada ya kugundua hivyo ndio maana mh spika aliamua kuchukua hatua ya kumsimamisha na kisha bunge lilimvua ubunge! Baada ya kumvua, ubunge naamini tunahitaji kwenda hatua moja zaidi ya kumdai hela yetu alioitafuna bila kuifanyia kazi!

Lakini kwa watu wenye akili za kushikiwa kwa ww na wenzio hamuwezi ona hili! Uwezo wenu ni mapovu yenye matusi na kejeli kwa kuwa hayo ndio yaliyojaza mafuvu yenu na mioyo yenu! Pathetic fella!
 
Siyo lazima umuone ww akipiga kelele bungeni! Anaweza kufanya lobbing na wizara husika wakaingiza mahitaji ya wananchi wa jimbo lake kwenye bageti za wizara husika pasi kumuona akitukana na kupayuka kama lofa bungeni wanavyofanya wale wengine hasa wa ufipani!
Kuchangia bungeni kiuwanazuoni kukoje??
 
Mbona anawashughulisha Sana huyo lisu?.
Wanaccm wenzangu tujiamini,,
Hivi hamna vitu vingine vya kuongelea zaidi ya lisu?
Kalipwa au ajalipwa 300 million na zaidi ndio hoja?
 
Siyo lazima umuone ww akipiga kelele bungeni! Anaweza kufanya lobbing na wizara husika wakaingiza mahitaji ya wananchi wa jimbo lake kwenye bageti za wizara husika pasi kumuona akitukana na kupayuka kama lofa bungeni wanavyofanya wale wengine hasa wa ufipani!
Unajua kwamba buge kwa Kiingereza linaitwa "Parliament" neno lenye asili ya neno la Kifaransa "Parler" lenye kumaanisha "kuzungumza"? Kama si lazima kuongoea bungeni ni kwa nini wabunge wanakusanyika Dodoma?
 
Tupo kwenye awamu ya kutumbua majipu, na kuwa makini wa matumizi sahihi ya rasilimali zetu! Huyu lisu ameshatutibua! Amekwapua hela asiyoifanyika kazi...huyu naye ni jipu....mapoyoyo ndio eti yalikua yanaota kuwa rais wa sampuli hii! Too pathetic!
Mbona anawashughulisha Sana huyo lisu?.
Wanaccm wenzangu tujiamini,,
Hivi hamna vitu vingine vya kuongelea zaidi ya lisu?
 
Unajua kwamba buge kwa Kiingereza linaitwa "Parliament" neno lenye asili ya neno la Kifaransa "Parler" lenye kumaanisha "kuzungumza"? Kama si lazima kuongoea bungeni ni kwa nini wabunge wanakusanyika Dodoma?
Sina ugonvi na hilo ndg, kuzungumza kunaweza fanyika bila kupayuka! Unapofanya lobbing pia utakuwa unazungumza na waziri husika! Kwa maana ya kujadiriana, utakuwa umetimiza! Mwisho wa siku unawakilisha mahitaji ya jimbo lako ambayo wizara isingweza kuyabaini kirahisi!
 
Back
Top Bottom