Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Huo wa kujua kwamba wabunge huwa wanachangia kwa maandishi ni ujuzi mpya? Nani hajui kwamba kuna kuchangia kwa maandishi? Yaani huyo mbunge kila wizara na kila hoja anachangia kwa maandishi sasa bungeni anakwenda kufanya nini kama yeye kila wakati anachangia kwa maandishi?Kwa akili yako fupi kama kinyesi unajua mbunge kuchangia hadi umuone anaongea . Huwa wengine wanachangia kwa maandishiý
Kitendo cha kutukana mtu usiyemjua inaonesha hukufunzwa adabu na mama yako!!!