Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Amekwapua wapi?Tupo kwenye awamu ya kutumbua majipu, na kuwa makini wa matumizi sahihi ya rasilimali zetu! Huyu lisu ameshatutibua! Amekwapua hela asiyoifanyika kazi...huyu naye ni jipu....mapoyoyo ndio eti yalikua yanaota kuwa rais wa sampuli hii! Too pathetic!