Kumbe Tundu Lissu anadaiwa kwa kulipwa malipo hewa!

Kwa akili yako fupi kama kinyesi unajua mbunge kuchangia hadi umuone anaongea . Huwa wengine wanachangia kwa maandishiý
Huo wa kujua kwamba wabunge huwa wanachangia kwa maandishi ni ujuzi mpya? Nani hajui kwamba kuna kuchangia kwa maandishi? Yaani huyo mbunge kila wizara na kila hoja anachangia kwa maandishi sasa bungeni anakwenda kufanya nini kama yeye kila wakati anachangia kwa maandishi?

Kitendo cha kutukana mtu usiyemjua inaonesha hukufunzwa adabu na mama yako!!!
 
Mleta mada upanga hukata kuwili.Jee,umefuatilia ripoti ya CAG aliyoiwasilisha bungeni majuzi kuhusu ubadhirifu wa mabiioni ya fedha za umma uliofanywa na watu tuliowakasimisha madaraka kwenye uongozi wa awamu hii ya tano.Kama Spika na mleta mada ni wazalendo wa kweli na mnauchungu na nchi,wakati mnapolipigia chapuo suala hhli kuhusu TL(kama lipo kwnli) basi na hayo madudu mengine muyachukulie hatua vinginevyo tutajua mmeanzisha tuhuma hizo ili kuwatoa kwenye reli watanzania wasihoji wizi huo.
 
Nyie ni wapumbav,mnajua mchakato wa kutumia fedha za mfuko wa jimbo ukoje?Wehu wakubwa!
 
Wewe ni mdivi tuu nenda court kaeleze kinyesi chako una ongea ongea tuu nyie ndio mnajifanya ccm mpya ngoja ccm asili iwanyoshe this time
Mambo ya ccm ni ya wana ccm wenyewe
 
Mjomba unaijua wikileaks, kama waijua leta evidence ili tu.prove unachosema.. Ukishindwa acha kukaa vijiwe vya kahawa
 
Usijali ndg, hawatatoka salama wenye makandokando ktk awamu hii, tumedhamilia kukomesha ubadhilifu hatutanii kwa hili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…