Kumbe usiku ni mrefu hivi?

Kumbe usiku ni mrefu hivi?

Nimewahi kuugua mara nyingi lakini homa iliyonipata usiku wa jana sijawah kuumwa toka nizaliwe

Usiku wa jana ulikua mkubwa kwangu,ulikua mrefu,niliona masaa yamesimama
Niliteseka sana,nililia

Niliumwa tumbo sijawahi kuumwa maisha,nilisema asubuhi sifiki

NImeenda kwenye vipimo naambiwa UTI kali nayo hivi kumbe UTI ndo inauma hivi ???

Waheshimiwe ma dacktar popote mlipo 🥰🥰🥰


Hata leo nimeweza kushika cm ,kuanzia leo nitaiheshimu UTI
Pole dear kunywa sana maziwa mgando yatakusaidia sana na utanishukuru. Kwa siku glass moja
 
Nimewahi kuugua mara nyingi lakini homa iliyonipata usiku wa jana sijawah kuumwa toka nizaliwe

Usiku wa jana ulikua mkubwa kwangu,ulikua mrefu,niliona masaa yamesimama
Niliteseka sana,nililia

Niliumwa tumbo sijawahi kuumwa maisha,nilisema asubuhi sifiki

NImeenda kwenye vipimo naambiwa UTI kali nayo hivi kumbe UTI ndo inauma hivi ???

Waheshimiwe ma dacktar popote mlipo 🥰🥰🥰


Hata leo nimeweza kushika cm ,kuanzia leo nitaiheshimu UTI
Pole sana ndugu yangu, ni kawaida sana kuumwa , wakati mwingine kuumwa kwingine kunakuwa kugumu sambamba na maumivu makalinila kupona kupo na hakuwi mbali.
 
Uti ni ugonjwa wa zinaa ???

Sipo kwenye mahusiano mwaka mzima sasa

Sijafanya hizo mambo,kwahyo kama uti ni magonjwa ya zinaa sijui itakua nimepataje
Sio kweli kabisa Uti ni ugonjwa wa zinaa, watoto wadogo wadogo kila leo hospitali huko wanaumwa Uti sasa hio zinaa wamepata wapi??
Ni kukariri tu kusiko na maana!
 
Kwa sasa hamna namna lazima mbowe atupishe amekula va kutosha zamu yetu nasie
 
Samahani lakini hivi hiyo mwanamke wa mithali 31 inasemaje nimeanza kuipenda kweli
Baadhi mistari kwenye mithal 31
IMG_20250106_222436.jpg
 
Nimewahi kuugua mara nyingi lakini homa iliyonipata usiku wa jana sijawah kuumwa toka nizaliwe

Usiku wa jana ulikua mkubwa kwangu,ulikua mrefu,niliona masaa yamesimama
Niliteseka sana,nililia

Niliumwa tumbo sijawahi kuumwa maisha,nilisema asubuhi sifiki

NImeenda kwenye vipimo naambiwa UTI kali nayo hivi kumbe UTI ndo inauma hivi ???

Waheshimiwe ma dacktar popote mlipo 🥰🥰🥰


Hata leo nimeweza kushika cm ,kuanzia leo nitaiheshimu UTI
Pole Sana Ndugu. Mimi Niliumwa Sikio ile J'4 Ya Tarehe 31 Aiseee... Nilihisi Maumivu Makali Sanaa, Usiku Wote Sikulala , Wakati Wenzangu Wanasherehekea Mwaka Mpya Mimi Napambana na Maumivu ya Sikio. Mungu ni Mwema Nilitumia Dawa Angalau Kwa Sasa Nayasikia kwa Mbali.
 
Back
Top Bottom