Kumbe usiku ni mrefu hivi?

Kumbe usiku ni mrefu hivi?

Hujawahi kuumwa jino usiku. Daah yani jino likikuuma usku utaona hakukuchi.
Jino ni noma sana lilishawahi kumuuma jamaa yangu, tulitoka zetu ku hang up akaniambia nitalala ghetto kwako tu.
Imefika mida ya saa 8 usiku Jino likaanza kumuuma yaani akiinuka akienda bafuni /chooni akijiangalia kwenye kioo huku amejishika shavu linapowa, akirud kitandani tena kwa mwendo wa kunyata akilala tu linaanza kuuma zaidi ya mwanzo.

Akienda tena washroom akijiangalia kwenye kioo huku kajishika shavu linapowa kabisaaaa 🤣🤣🤣

Lilikuja kutulia saa 11 alfajir ndio akalala.
 
Nimewahi kuugua mara nyingi lakini homa iliyonipata usiku wa jana sijawah kuumwa toka nizaliwe

Usiku wa jana ulikua mkubwa kwangu,ulikua mrefu,niliona masaa yamesimama
Niliteseka sana,nililia

Niliumwa tumbo sijawahi kuumwa maisha,nilisema asubuhi sifiki

NImeenda kwenye vipimo naambiwa UTI kali nayo hivi kumbe UTI ndo inauma hivi ???

Waheshimiwe ma dacktar popote mlipo 🥰🥰🥰

Hata leo nimeweza kushika cm ,kuanzia leo nitaiheshimu UTI
Usiku mwingine mrefu ni wa kulala njaa.. Niliwahi kunywa panadol na colgate ili kupoza njaa lakini wapi.. Usiku wa njaa simuliwa tu na wengine
 
Watoto
Sio kweli kabisa Uti ni ugonjwa wa zinaa, watoto wadogo wadogo kila leo hospitali huko wanaumwa Uti sasa hio zinaa wamepata wapi??
Ni kukariri tu kusiko na maana!
hupata kwenye vyoo vya shule ambapo ni kuchafu.
 
Jino ni noma sana lilishawahi kumuuma jamaa yangu, tulitoka zetu ku hang up akaniambia nitalala ghetto kwako tu.
Imefika mida ya saa 8 usiku Jino likaanza kumuuma yaani akiinuka akienda bafuni /chooni akijiangalia kwenye kioo huku amejishika shavu linapowa, akirud kitandani tena kwa mwendo wa kunyata akilala tu linaanza kuuma zaidi ya mwanzo.

Akienda tena washroom akijiangalia kwenye kioo huku kajishika shavu linapowa kabisaaaa 🤣🤣🤣

Lilikuja kutulia saa 11 alfajir ndio akalala.
Ndiyo tabia ya jino.
Linakutesa usiku usilale ikifika alfajiri linapoa ulale 😂😂😂
 
Back
Top Bottom