Kumbe usiku ni mrefu hivi?

Pole dear kunywa sana maziwa mgando yatakusaidia sana na utanishukuru. Kwa siku glass moja
 
Pole sana ndugu yangu, ni kawaida sana kuumwa , wakati mwingine kuumwa kwingine kunakuwa kugumu sambamba na maumivu makalinila kupona kupo na hakuwi mbali.
 
Uti ni ugonjwa wa zinaa ???

Sipo kwenye mahusiano mwaka mzima sasa

Sijafanya hizo mambo,kwahyo kama uti ni magonjwa ya zinaa sijui itakua nimepataje
Sio kweli kabisa Uti ni ugonjwa wa zinaa, watoto wadogo wadogo kila leo hospitali huko wanaumwa Uti sasa hio zinaa wamepata wapi??
Ni kukariri tu kusiko na maana!
 
Kwa sasa hamna namna lazima mbowe atupishe amekula va kutosha zamu yetu nasie
 
Pole Sana Ndugu. Mimi Niliumwa Sikio ile J'4 Ya Tarehe 31 Aiseee... Nilihisi Maumivu Makali Sanaa, Usiku Wote Sikulala , Wakati Wenzangu Wanasherehekea Mwaka Mpya Mimi Napambana na Maumivu ya Sikio. Mungu ni Mwema Nilitumia Dawa Angalau Kwa Sasa Nayasikia kwa Mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…