Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
- Thread starter
-
- #61
Pole sanaPole Sana Ndugu. Mimi Niliumwa Sikio ile J'4 Ya Tarehe 31 Aiseee... Nilihisi Maumivu Makali Sanaa, Usiku Wote Sikulala , Wakati Wenzangu Wanasherehekea Mwaka Mpya Mimi Napambana na Maumivu ya Sikio. Mungu ni Mwema Nilitumia Dawa Angalau Kwa Sasa Nayasikia kwa Mbali.
BOra hata uwasaidie hawa ndugu zakoPole sana ndugu yangu, ni kawaida sana kuumwa , wakati mwingine kuumwa kwingine kunakuwa kugumu sambamba na maumivu makalinila kupona kupo na hakuwi mbali.
Hakika Mungu ni mwemaPole sana ndugu yangu, ni kawaida sana kuumwa , wakati mwingine kuumwa kwingine kunakuwa kugumu sambamba na maumivu makalinila kupona kupo na hakuwi mbali.
Asee ubarikiwe sana mwanamke wa mithali mbona nasikia moyoni kuitwa nae njoo pm tuyajengeBaadhi mistari kwenye mithal 31View attachment 3194464
We jinsia gani ? Maake jina Lina sound kama binti... na mwenzio ni ke...Dada naomba tamu πππ
Uvivu tu π€£wa kuuza bagiaDada naomba tamu πππ
Uvivu tuu wa kut..... saa hizi ngekuwa baba π hivi msemo wa uvivu umetoka wapiUvivu tu π€£wa kuuza bagia
Vijana wa mtaaniUvivu tuu wa kut..... saa hizi ngekuwa baba π hivi msemo wa uvivu umetoka wapi
Aseeh uvivu tuu wa kuuza maandaziVijana wa mtaani
Hataki kukubali kuwa yeye ni chombo cha st................. Napita zangu tuWe mtu mzm bwana jiongeze
Jino ni noma sana lilishawahi kumuuma jamaa yangu, tulitoka zetu ku hang up akaniambia nitalala ghetto kwako tu.Hujawahi kuumwa jino usiku. Daah yani jino likikuuma usku utaona hakukuchi.
Mara moja moja siyo mbayaHataki kukubali kuwa yeye ni chombo cha st................. Napita zangu tu
Usiku mwingine mrefu ni wa kulala njaa.. Niliwahi kunywa panadol na colgate ili kupoza njaa lakini wapi.. Usiku wa njaa simuliwa tu na wengineNimewahi kuugua mara nyingi lakini homa iliyonipata usiku wa jana sijawah kuumwa toka nizaliwe
Usiku wa jana ulikua mkubwa kwangu,ulikua mrefu,niliona masaa yamesimama
Niliteseka sana,nililia
Niliumwa tumbo sijawahi kuumwa maisha,nilisema asubuhi sifiki
NImeenda kwenye vipimo naambiwa UTI kali nayo hivi kumbe UTI ndo inauma hivi ???
Waheshimiwe ma dacktar popote mlipo π₯°π₯°π₯°
Hata leo nimeweza kushika cm ,kuanzia leo nitaiheshimu UTI
Pole sanaaNimeumwa sanaaa tumbo usiku wa jana ,
hupata kwenye vyoo vya shule ambapo ni kuchafu.Sio kweli kabisa Uti ni ugonjwa wa zinaa, watoto wadogo wadogo kila leo hospitali huko wanaumwa Uti sasa hio zinaa wamepata wapi??
Ni kukariri tu kusiko na maana!
Ndiyo tabia ya jino.Jino ni noma sana lilishawahi kumuuma jamaa yangu, tulitoka zetu ku hang up akaniambia nitalala ghetto kwako tu.
Imefika mida ya saa 8 usiku Jino likaanza kumuuma yaani akiinuka akienda bafuni /chooni akijiangalia kwenye kioo huku amejishika shavu linapowa, akirud kitandani tena kwa mwendo wa kunyata akilala tu linaanza kuuma zaidi ya mwanzo.
Akienda tena washroom akijiangalia kwenye kioo huku kajishika shavu linapowa kabisaaaa π€£π€£π€£
Lilikuja kutulia saa 11 alfajir ndio akalala.