Kumbe VVU inaweza kuambukizwa kwa njia ya mate (busu)? Tujiadhari

Kumbe VVU inaweza kuambukizwa kwa njia ya mate (busu)? Tujiadhari

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Kama inavyojulikana njia ya mtu kuambukizwa VVU ni kipitia kujamiana ukiachana na njia zingine kama kuwekewa damu ya muathirika n.k
Leo nimeenda mazingira Fulani mkoani kilimanjaro kwa ajili ya kucheck vipimo n.k, vipimo ambavyo tunavijua kwa wingi ni rapid test zile SD Bioline.

But nimekutana na kipimo kingine doctor anapima kwa kuchukua mate kutoka kwenye fizi ya juu na chini!

Ilinishangaza kidogo kwa mantiki hiyo virusi vinakaa hadi kwenye mate ya mdomoni?

images (8).jpeg


Tujiadhari na tuendelee kutumia condom.
 
Kama inavyojulikana njia ya mtu kuambukizwa VVU ni kipitia kujamiana ukiachana na njia zingine kama kuwekewa damu ya muathirika n.k
Leo nimeenda mazingira Fulani mkoani kilimanjaro kwa ajili ya kucheck vipimo n.k, vipimo ambavyo tunavijua kwa wingi ni rapid test zile SD Bioline.

But nimekutana na kipimo kingine doctor anapima kwa kuchukua mate kutoka kwenye fizi ya juu na chini!

Ilinishangaza kidogo kwa mantiki hiyo virusi vinakaa hadi kwenye mate ya mdomoni?

View attachment 2468853

Tujiadhari na tuendelee kutumia condom.
Eeh! ndomu ya mdomo??
 
Kama inavyojulikana njia ya mtu kuambukizwa VVU ni kipitia kujamiana ukiachana na njia zingine kama kuwekewa damu ya muathirika n.k
Leo nimeenda mazingira Fulani mkoani kilimanjaro kwa ajili ya kucheck vipimo n.k, vipimo ambavyo tunavijua kwa wingi ni rapid test zile SD Bioline.

But nimekutana na kipimo kingine doctor anapima kwa kuchukua mate kutoka kwenye fizi ya juu na chini!

Ilinishangaza kidogo kwa mantiki hiyo virusi vinakaa hadi kwenye mate ya mdomoni?

View attachment 2468853

Tujiadhari na tuendelee kutumia condom.
Mate ya kwapa labda

Mdomonii wataendeleaa kuzika tu kama kwelii lou
Post zingine unajuta kusoma unawaza mate zswatu89 mpaka sasa ziko mñtumboni...mmmh napita tu
 
Mate ya kwapa labda

Mdomonii wataendeleaa kuzika tu kama kwelii lou
Post zingine unajuta kusoma unawaza mate zswatu89 mpaka sasa ziko mñtumboni...mmmh napita tu
Watu wengine ni wapuuzi kweli kweli ingekua hivyo glass [emoji1635][emoji485][emoji1635][emoji485][emoji1635] [emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478] si ungekuta tumeisha tunashare maji na vikombe hata havijaoshwa. Watanzania shule inahitajika tupo nyuma Sana kila kitu.

Huenda umeleta huu Uzi ili upewe mawazo au mrejesho kwa tabia Yako uliyotoka kunyonya ndimi za watu huko.

NB utaambukizwa endapo ana HIV AIDS NA ana vidonda mdomoni na pia we una mchubuko au vidonda mdomoni au kny Koo. Zingatia Hilo.
 
Back
Top Bottom