Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Eeh! ndomu ya mdomo??Kama inavyojulikana njia ya mtu kuambukizwa VVU ni kipitia kujamiana ukiachana na njia zingine kama kuwekewa damu ya muathirika n.k
Leo nimeenda mazingira Fulani mkoani kilimanjaro kwa ajili ya kucheck vipimo n.k, vipimo ambavyo tunavijua kwa wingi ni rapid test zile SD Bioline.
But nimekutana na kipimo kingine doctor anapima kwa kuchukua mate kutoka kwenye fizi ya juu na chini!
Ilinishangaza kidogo kwa mantiki hiyo virusi vinakaa hadi kwenye mate ya mdomoni?
View attachment 2468853
Tujiadhari na tuendelee kutumia condom.
Kuepuka tu kunyonyana mkuu.Eeh! ndomu ya mdomo??
Ishakuwa changamoto sasa.Kuepuka tu kunyonyana mkuu.
Kwahiyo mkuu, chini ya miezi mitatu virus havionekani kwa hicho kipimo cha mdomoni?Vipimo vya ukimwi vilivyozagaa hivi ukiukwaa ni kwa uzembe wako.
Hadi akuambukize kwa mate huyo HIV imekomaa na imejaa kila mahala.
Mate namla demu wangu tu.
Mate ya kwapa labdaKama inavyojulikana njia ya mtu kuambukizwa VVU ni kipitia kujamiana ukiachana na njia zingine kama kuwekewa damu ya muathirika n.k
Leo nimeenda mazingira Fulani mkoani kilimanjaro kwa ajili ya kucheck vipimo n.k, vipimo ambavyo tunavijua kwa wingi ni rapid test zile SD Bioline.
But nimekutana na kipimo kingine doctor anapima kwa kuchukua mate kutoka kwenye fizi ya juu na chini!
Ilinishangaza kidogo kwa mantiki hiyo virusi vinakaa hadi kwenye mate ya mdomoni?
View attachment 2468853
Tujiadhari na tuendelee kutumia condom.
Ndio mkuu, lazima vidonda vya kuambukiza viwepo midomo mwa wahusika.Ulitakiwa kuuliza kwanza kabla ya kuleta huu uzi wako ambao una maoni uliyojijengea akilini mwako
HIV haiambukizwi kwa mate
Yap labd wawe na vidonda woteNdio mkuu, lazima vidonda vya kuambukiza viwepo midomo mwa wahusika.
Watu wengine ni wapuuzi kweli kweli ingekua hivyo glass [emoji1635][emoji485][emoji1635][emoji485][emoji1635] [emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478] si ungekuta tumeisha tunashare maji na vikombe hata havijaoshwa. Watanzania shule inahitajika tupo nyuma Sana kila kitu.Mate ya kwapa labda
Mdomonii wataendeleaa kuzika tu kama kwelii lou
Post zingine unajuta kusoma unawaza mate zswatu89 mpaka sasa ziko mñtumboni...mmmh napita tu
Sasa mkuu tunapopiga mswaki Mara nyingi tunachubuka?...alafu kuna mipasuko mingine aionekani kwa machoYap labd wawe na vidonda wote
Asante kiongoziHabari ndugu,
Asante kwa kuleta hoja hii. Suala hili limepitiwa na kufanyiwa kazi JC, tafadhali gusa link hii kupata ufafanuzi: Mate hubeba VVU hivyo kubusiana kunaweza kuwa chanzo cha maambukizi
Asante.