Kumbe wanajeshi hawatanii, leo wamepita Soko la Mchafukoge kuchukua nguo zao

Kumbe wanajeshi hawatanii, leo wamepita Soko la Mchafukoge kuchukua nguo zao

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Jeshi namba sita duniani kwa vifaa, bajeti, nidhamu, utiyari, misheni, rekodi nk leo limeanza utekelezaji wa kuchukua nguo zao mitaani.

Majira ya asubuhi walikiwa soko la nguo mchafukuoga wakikusanya Mali zao, kwa bahati nzuri zoezi lilikuwa la amani japo wafanyabiashara walipata hasara maana nguo zilijaa difenda ya Jeshi.

Wasiwasi wangu ni kwa makamanda wa Chadema siku Jeshi la migambo wakisema nao wanataka nguo zao.
 
Huwa sipendi kuongelea issues za kijeshi ila kwa hili la kwetu hapa ni aibu sana.

Nimeona sehemu clip ya video mjeda akimvua raia mtembea kwa mguu begi kisa limefanana na yale yenye rangi kama za migambo.

Aibu sana, but naendelea kujifunza hapa hapa.
 
Jeshi namba sita duniani kwa vifaa, bajeti, nidhamu, utiyari, misheni, rekodi nk leo limeanza utekelezaji wa kuchukua nguo zao mitaani.
Majira ya asubuhi walikiwa soko la nguo mchafukuoga wakikusanya Mali zao, kwa bahati nzuri zoezi lilikuwa la amani japo wafanyabiashara walipata hasara maana nguo zilijaa difenda ya Jeshi.
Wasiwasi wangu ni kwa makamanda wa Chadema siku Jeshi la migambo wakisema nao wanataka nguo zao.
Popote mlipo ndugu zangu wa Chadema baada ya hili na jeshi la Mgambo litahitaji kurudishwa kwa uniform zao hivyo stay tuned

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Jeshi namba sita duniani kwa vifaa, bajeti, nidhamu, utiyari, misheni, rekodi nk leo limeanza utekelezaji wa kuchukua nguo zao mitaani.

Majira ya asubuhi walikiwa soko la nguo mchafukuoga wakikusanya Mali zao, kwa bahati nzuri zoezi lilikuwa la amani japo wafanyabiashara walipata hasara maana nguo zilijaa difenda ya Jeshi.

Wasiwasi wangu ni kwa makamanda wa Chadema siku Jeshi la migambo wakisema nao wanataka nguo zao.
Chadema watavaa kanga siku hiyo
 
Jeshi namba sita duniani kwa vifaa, bajeti, nidhamu, utiyari, misheni, rekodi nk leo limeanza utekelezaji wa kuchukua nguo zao mitaani.

Majira ya asubuhi walikiwa soko la nguo mchafukuoga wakikusanya Mali zao, kwa bahati nzuri zoezi lilikuwa la amani japo wafanyabiashara walipata hasara maana nguo zilijaa difenda ya Jeshi.

Wasiwasi wangu ni kwa makamanda wa Chadema siku Jeshi la migambo wakisema nao wanataka nguo zao.
Nguo za jeshi siyo rangi! kufanana siyo hoja! Waseme nguo zao zina alama ipi? Ina maana mtu akiwa na nguo ya jeshi la uganda kwa mfano watadai ni yao kwa kuwa zinafanana!! Wasitake kuleta tafrani isiyo na sababu!!
Majukumu yao ya msingi ni kulinda Taifa letu na utajiri wake wa asili! Waseme neno kuhusu DP World tuone kama wanastahili heshima!
 
Nguo za jeshi siyo rangi! kufanana siyo hoja! Waseme nguo zao zina alama ipi? Ina maana mtu akiwa na nguo ya jeshi la uganda kwa mfano watadfai ni yao kwa kuwa zinafanana!! Wasitake kuleta tafrani isiyo na sababu!!
Masjukumu yao ya msingi ni kulinda Taifa letu na utajiri wake waasili! Waseme neno kuhusu DP World tuone kama wabnastahili heshima!
Barking behind bars
 
hawaka kazi, wangekuwa walau na mashamba darasa mawili makubwa moja Kigoma la kichikichi lingine kule Singida la alizeti wakazalisha mafuta ya kupikia na kukidhi soko la ndani kwa walau 40% aisee kweli ningesema Jeshi la wananchi tunalo tena la kujivunia.
 
Back
Top Bottom