Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Mkuu iko hivi, ni wachache sana wanaoweza tofautisha sare za jeshi letu na za nchi zingine kwa kuwa zinafanana kwa kiasi fulani, wengi wakiona mabaka baka wanajua ni za jWtZ, hivyo mtu akivaa na kufanya uhalifu lawama zinarudi kwa jeshi letu, kwahyo wao wameamua kupunguza hiloNguo za jeshi siyo rangi! kufanana siyo hoja! Waseme nguo zao zina alama ipi? Ina maana mtu akiwa na nguo ya jeshi la uganda kwa mfano watadfai ni yao kwa kuwa zinafanana!! Wasitake kuleta tafrani isiyo na sababu!!
Masjukumu yao ya msingi ni kulinda Taifa letu na utajiri wake waasili! Waseme neno kuhusu DP World tuone kama wabnastahili heshima!
Vita waijulie wapi kwanzajeshi limekosa vita mpaka kuanza kutafuta watu wa kuwaonea mtaani. waende ukraine tukawape rehersal kwanza
Aibu sanaDuh! Kwani kuna siri gani kwenye hii ishu? Naona kama ni ishu ndogo sana kwa Jeshi kupoteza nalo muda. Tujipe muda tutapata majibu ya kinachotafutwa.
Nlipoona pale lugalo wamezungusha maframe nkasema duhDuh! Kwani kuna siri gani kwenye hii ishu? Naona kama ni ishu ndogo sana kwa Jeshi kupoteza nalo muda. Tujipe muda tutapata majibu ya kinachotafutwa.
Wachache wenye akili ndio watakuelewa, ila wengi wanaotumia uji kufikiri hawatakuelewa! 🙏Mkuu iko hivi, ni wachache sana wanaoweza tofautisha sare za jeshi letu na za nchi zingine kwa kuwa zinafanana kwa kiasi fulani, wengi wakiona mabaka baka wanajua ni za jWtZ, hivyo mtu akivaa na kufanya uhalifu lawama zinarudi kwa jeshi letu, kwahyo wao wameamua kupunguza hilo
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Mkuu iko hivi, ni wachache sana wanaoweza tofautisha sare za jeshi letu na za nchi zingine kwa kuwa zinafanana kwa kiasi fulani, wengi wakiona mabaka baka wanajua ni za jWtZ, hivyo mtu akivaa na kufanya uhalifu lawama zinarudi kwa jeshi letu, kwahyo wao wameamua kupunguza hilo
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Hiyo scenario ni ya kufikirika sana!! Mara ngapi hilo limetokea hapa nchini kwetu?Mkuu iko hivi, ni wachache sana wanaoweza tofautisha sare za jeshi letu na za nchi zingine kwa kuwa zinafanana kwa kiasi fulani, wengi wakiona mabaka baka wanajua ni za jWtZ, hivyo mtu akivaa na kufanya uhalifu lawama zinarudi kwa jeshi letu, kwahyo wao wameamua kupunguza hilo
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo Una Maana kwao issue ni wahalifu kuvaa Nguo zinazofanana na Sare zao wakati wakifanya uhakifu na Wala uhalifu wenyewe kwao sio issue ?Mkuu iko hivi, ni wachache sana wanaoweza tofautisha sare za jeshi letu na za nchi zingine kwa kuwa zinafanana kwa kiasi fulani, wengi wakiona mabaka baka wanajua ni za jWtZ, hivyo mtu akivaa na kufanya uhalifu lawama zinarudi kwa jeshi letu, kwahyo wao wameamua kupunguza hilo
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
[emoji736]Hakuna JESHI Tanzania tuna wahuni na wezi
jeshi limekosa vita mpaka kuanza kutafuta watu wa kuwaonea mtaani. waende ukraine tukawape rehersal kwanza