HEEEEEEE NILIPITWAJE?? MAMA WA UBATIZO Fixed Point KULIKOI NIKAPITWA?? KWI KWI KWI! MI NA HUBBY WANGU Asprin HUWA TUNAPIGA KIMYA TU :tape:!
af wewe leo kwenye story za kijiweni nimekutana na zingine zinazong'ata bana!
una nini nami shemeji?? saa yangu haijawadia!
Safi kabisa chezea utamu wa K wewe, bila shaka nawe ulijisikia hali fulani.Ngumu kuuelezea...in short alikuwa analiaa
Nimeshasahau ujue....yaani sikumbuki hata kama naliaga.
Si ulisema mwenyewe kuwa Asprin huwa analia
au umesahau.
Wapo nshaliza mmoja mie...lol,
Hujakutana na kinu wewe kinachopokea mchi kwa style uliza uambiwe looh hehehehee