Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Tunalia kwa utamu sio uchungu, umewahi ona mtu analia kwa furaha na si uchungu? Utamu unapo fika kisogoni unalia automatically

Ha ha haaa kwa hyo wewe unaliaga?

Ugali na mchicha vinapoa.
 
Dada Kokutona mbona kulia kunako 6 by 6 ni kitu cha kawaida kule vijijini Usukumani!
Mwanaume mtu mzima utakuta anaagusha chozi pale anapofikia ile orgasm; baada ya kufikia 'mshindo' pia utoa shukrani: "wabheja sana mayooo". Maana yake asante sana!
 
Mkunde Original shemeji vp nae huwa analia ati?

hapana, anatoa akshi akshi tuu, ila wakati niko middle skuli nshakutana na kaka mmoja hv aiseee sikuwa na manjonjo wala machejo ila alilia kama amepewa taarifa ya msiba akilalama hajawahi kufanyiwa mambo hayo tangu aanze looh aliniacha hooiiiii sikuendelea nae tena maana badala ya mie kuenjoy the game nilijikuta namsikiliza kilio chake mwanzo mwisho. Maana alinitisha nilifikiri nimemuumiza kumbe mautam!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mhhhhh! ulikuwa unarojeka siyo? 🙂🙂 Haya banaaaa 🙂🙂

Thanks kunikumbusha maana hata jina lake tu mie nilikuwa narojeka looh nilikuwa nimedata kwa kweli. Nikibahatika kupata baby boy miaka 3 ijayo ntamuita Tyrese.
Hahahahaaaaa BAK wakati huo nilikuwa kigoli kweli so ndoto nilizokuwa naota ni za kuolewa na si kuwolewa, I was believing in marriage and not in kuwolewa, my take was marriage is friendship laughing, playing like kids, singing, dancing and have little kuwolewa and is not a must or important.
Again thanks for giving my grooves back:music::music:
 
Mhhhhh! ulikuwa unarojeka siyo? 🙂🙂 Haya banaaaa 🙂🙂

hahahaaaa usitafsiri sana bana just rojorojo au wengine wanita nyoronyoro looh, back those days nowdays.................................
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Usijali banaaa 🙂🙂....Today is a new day 🙂🙂...Enjoy the rest of your day.



hahahaaaa usitafsiri sana bana just rojorojo au wengine wanita nyoronyoro looh, back those days nowdays.................................
 
Last edited by a moderator:
hapana, anatoa akshi akshi tuu, ila wakati niko middle skuli nshakutana na kaka mmoja hv aiseee sikuwa na manjonjo wala machejo ila alilia kama amepewa taarifa ya msiba akilalama hajawahi kufanyiwa mambo hayo tangu aanze looh aliniacha hooiiiii sikuendelea nae tena maana badala ya mie kuenjoy the game nilijikuta namsikiliza kilio chake mwanzo mwisho. Maana alinitisha nilifikiri nimemuumiza kumbe mautam!!!!!

Hahahaha hukumtendea haki mkunde kumpiga chini kijana wa watu ndo kwanza alikuwa anaingia kwenye ulimwengu huo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom