Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmmh!!! ningekuwa mimi ningeigandisha hiyo midomo kwa super glue kwanza. hizo fujo sasa. lol
Wee unasema tu, kila mwanamme ana mwanamke tu mwenye swichi ya honi yake.
Hawapigi kelele kwa kila mmoja, hadi mwenye batani hiyo.
hhhhhhhhaaaa!!! inawezekana wengine wakafa bila kujua swichi zao zipo wapi. lol. ndio maana kaka zetu wanajitahidi kuonja onja kumbe wanatafuta hizo batan.
Madame B, kwa kusema kweli kabisa kutoka moyoni mimi mume wangu huwa analia kabisaaaaaa, yaani ukisikiliza unaweza sema mimi ndiyo namshughulikia badala ya yeye kunishughulikia, mpk namkataza namwambia aache kelele, anaitikia kama mtoto "aya naacha" dakika mbili nyingi ukiana tu kumpa dozi anarudi pale pale au azidishe, so nimeshamzoea mtu wangu.
Pia huwa inanipa msawasha ile mbaya pale ninaposikia analalamika kwa utamu basi nami nazidi kusikia rahaaa.
USIMCHEKE SHEMEJIO LAKINI"
hhhhhhhhaaaa!!! inawezekana wengine wakafa bila kujua swichi zao zipo wapi. lol. ndio maana kaka zetu wanajitahidi kuonja onja kumbe wanatafuta hizo batan.
Rafiki, katika watu ambao wakati wa uschana wangu nilikuwa nawa-admire kana kwamba nikasema ikitokea akaja bongo na kuniambia will u marry me nitasema yes hata kablba hajamalizia ni huyo mwanamuziki wa tatu kulia me love him the way alivo yaani........... nimesahau jina lake ila nahisi linaanziwa na T thanks sana for the song umenikumbusha mbali kwa kweli.
Wee unasema tu, kila mwanamme ana mwanamke tu mwenye swichi ya honi yake.
Hawapigi kelele kwa kila mmoja, hadi mwenye batani hiyo.
...Jina lake ni Tyrese....MO ulikuwa unataka akuoe au akuwowe!? 🙂🙂 there is a difference between "kuoa" na "kuwowa" 🙂🙂 clarification please!!!! 🙂🙂
Kwenye red hapo imebidi nitafakari sauti yake akisema "haya naacha" afu then sauti nyingie akianza kulia na kulia nakulia.
Kweli kua uyaonee
Thanks kunikumbusha maana hata jina lake tu mie nilikuwa narojeka looh nilikuwa nimedata kwa kweli. Nikibahatika kupata baby boy miaka 3 ijayo ntamuita Tyrese.
Hahahahaaaaa BAK wakati huo nilikuwa kigoli kweli so ndoto nilizokuwa naota ni za kuolewa na si kuwolewa, I was believing in marriage and not in kuwolewa, my take was marriage is friendship laughing, playing like kids, singing, dancing and have little kuwolewa and is not a must or important.
Again thanks for giving my grooves back:music::music: