Mkunde Original
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 807
- 647
Hahahaha hukumtendea haki mkunde kumpiga chini kijana wa watu ndo kwanza alikuwa anaingia kwenye ulimwengu huo
hakuwa mgeni alikuwa mzoefu sana maana nae alikuwa na machejobalaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha hukumtendea haki mkunde kumpiga chini kijana wa watu ndo kwanza alikuwa anaingia kwenye ulimwengu huo
Eti ni vilio vya utamu lol
Wizi mtupu....kama ni utamu ni kule kunyonyana ndimi na midomo wakati wa tendo lakini huku kulia mi naona ni wizi tu. Na kuna wanaume wengine walivyo wajinga eti kama mwanamke halii anasema ni changudoa hivyo hukasirika na kudai hela zake (arudishiwe kama alionga). Pia kuna wadhaifu wengine hawamwagi mtindi mpaka demu alie ndipo anapata hisia.
hapana, anatoa akshi akshi tuu, ila wakati niko middle skuli nshakutana na kaka mmoja hv aiseee sikuwa na manjonjo wala machejo ila alilia kama amepewa taarifa ya msiba akilalama hajawahi kufanyiwa mambo hayo tangu aanze looh aliniacha hooiiiii sikuendelea nae tena maana badala ya mie kuenjoy the game nilijikuta namsikiliza kilio chake mwanzo mwisho. Maana alinitisha nilifikiri nimemuumiza kumbe mautam!!!!![/QUOTE]
Mhhhh! MO AKA Mama wa manjonjo bin machejoo 🙂 Debe jipigie mwenyewe lol!
Ha ha haaa kwa sauti?
Mhhhhh kwa hiyo some pipo wanakuwa wanapretend kuwa wako real na wanafeel something kumbe wanaibiana...mmh
Ha ha ha haaa....huku analia.