Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Ha ha ha haaaaaaa you burst mi with kicheko lool

Kama ni kweli sema tu....what we need is experience..unajisikiaje hadi unalia machozi tena kwa sauti

We wont kill u Asprin
Kamuulize mme wa shosti yako.... mi hapana kujua uliberali.

Mmh, wee kwa mayowe hujambo, unapenda kweli.
Hapa kinazungumziwa kilio, si mayowe.

Mayowe kayaanzishie thread yake kule chit chat.
 
Sio bure huyo atakua analiwa kabaang(bwabwa baridi ana do na kugegedwa)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwa maelezo ya rafiki...yuko fit kwenye mchezo mbayaaa....magoli anafunga meengi tu na yanafika golini kiuhakikaaa
 
Mhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mtambuzi nahisi una roho yangu.
Ulifika salama???
Shemejio hupiga ukunga kama anakamuliwa jipu la wapi sijui.........
Basi hapo hapo huingiza na Bajeti yangu ya lotiona na kope.
Nasikitika siku zile mkatutosa wewe na wenzako.... Asprin alikuwa anafanya tu udadisi maana wewe ulialikwa futari Mwananyamala nyuma ya Hospitali, amu alialikwa futari Kariakoo, na Paloma yeye alialikwa futari huko Tua Ngoma,

Is it a coincidence au?
 
Kwa maelezo ya rafiki...yuko fit kwenye mchezo mbayaaa....magoli anafunga meengi tu na yanafika golini kiuhakikaaa
Nani alikudanganya wanaoliwa kabang hawapigi gemu? Kuna midume kabla ya kunaniliu madem zao ni lazima kwanza yakapigwe starter na maliberali.

Source: watu8
 
Last edited by a moderator:
Daaaanh hii sasa kali!!!

Huyu jamaa inabidi apigwe interview atueleze mwenzetu yanayomsibu!!!!!!

Au ndio body ya scania engine bajaj!!!!????
 
Nina wasi wasi huenda rafiki yako kaolewa na bwabwa kama si chizi kabisaaaa... mwanaume rijari, tena aliye timamu analia eti utamu wa kugegeda? No, no, no, noooooo!
 

Unadhani nilitoka ghafla BAK nilisikiliza kwa makini nijue kwanza hiki kilio anapigwa mtu au laa...baada ya kujiridhisha na kuhisi miguu yafa ganzi...ndo kinyume nyume huyoooo.

Kuingia ingekuwa soo..:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big: kweli hapana chezeya utamu mmmh.
 
Last edited by a moderator:

We nawe mdaku duh!!!!!!!!!!
 
lol!...Kumbe ulisikiliza kwa makini ili uridhike kwamba kilio kile kilikuwa ni kilio cha maraha ya utamu πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ kisha ndio ukasepa zako taratibu baada ya miguu kuanza kufa ganzi kwi kwi kwi


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…