Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

Kulia mbona poa na ni raha sana, ndo maana nami siko tayari kumwacha yule binti aliyeniliza, hata kama siyo mke wangu wa ndoa. Yuko humu naomba ujumbe huu umfikie, P...sitokuacha maana you were the first woman kuniliza ndani ya 6*6
 
Ha ha ha, mwanamme kulia ni sawa na Nyirenda kupandisha bendera ya taifa kileleni pa Mlima Kilimanjaro siku ya uhuru.

Unajua ni ushujaa kiasi gani?

So to say Bishanga na Asprin ni mashujaa wa ukweli..:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Last edited by a moderator:
Daaaanh hii sasa kali!!!

Huyu jamaa inabidi apigwe interview atueleze mwenzetu yanayomsibu!!!!!!

Au ndio body ya scania engine bajaj!!!!????

Ha haaaa haaaa BAK amesema ni utamu tuuu
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Nina wasi wasi huenda rafiki yako kaolewa na bwabwa kama si chizi kabisaaaa... mwanaume rijari, tena aliye timamu analia eti utamu wa kugegeda? No, no, no, noooooo!

Chini ya jua impossible comes possible
 
lol!...Kumbe ulisikiliza kwa makini ili uridhike kwamba kilio kile kilikuwa ni kilio cha maraha ya utamu 🙂🙂🙂 kisha ndio ukasepa zako taratibu baada ya miguu kuanza kufa ganzi kwi kwi kwi

Kiukweli nilistaajabu..na shem alivotoka nilitaka kucheka nikajizuia....

Na kulinyamazia nilishindwa...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ukabaki unamwibia Shem wako kwa kumuangalia kwa jicho la upande upande lol! mwenzio wakati huyo yuko mwepesiiiiii!!!! roho kwatuuuu 🙂🙂

Kiukweli nilistaajabu..na shem alivotoka nilitaka kucheka nikajizuia....

Na kulinyamazia nilishindwa...
 
Ha haaaa haaaa BAK amesema ni utamu tuuu


Ndo atueleze mwenzetu huo utamu naoupata yeye ni huu huu???!!!

Ujie watu wanafiwa na hawalii??!!! Yaani I wish kujua hapo anakuwa yeye juu au ndo kakaliwa tena hana liingialo wa litokalo!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hisani ya New York City, Seattle, Washington na jiji la malaika AKA Los Angeles, CA wanakusalimia sana wanasema wanakumiss ile mbaya 🙂🙂
ha haaaa, siyo mimi, wewe, unaliaga?
utajuta leo, lol!
mimi hata siwamiss, waliniliza hadharani......
 
Kwa the way unavyosema unatamani lialia plz Usiingilie mapenz ya shost ako na wew upate kuliliwa..Dalili zko ni mbaya na lazm ukiwa unakutana na shemejio utawish na wew akulale.


Ha ha ha haaa..give me a break please....hiyo kitu siwezi fanya i see.
 
Hahahahahah lol! Inadaiwa si miguu tu iliyokufa ganzi bali kuna maeneo mengine yalianza kufanya vitu vya ajabu ajabu lakini hapa jamvini kaamua kuyapotezea na kubakisha kufa ganzi kwa miguu tu kwi kwi kwi kwi


Ha ha ha ha haaaa...! BAK uchokozi uchokoziiiii.....ni muguu tu rafiki...kwa mshangao lol
 
  • Thanks
Reactions: BAK
we kokutona unasingizia shemeji yako!....... hyo thread inakuhusu wewe kabisaaa!
jamaa anazidishaga kilio sana niniii.................
 
Hahah ni raha lakini nijuavyo yahitaji umaridadi na wala sio kulialia....

Yaani natamani invizibo angeruhusu utuwekeemo hicho kilio cha mwanaume hahaha

Ha ha ha haaa...mtata wewe......ngoja nijaribu kumuigilizia ha ha haaa.....dah.
 
Back
Top Bottom