Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulia mbona poa na ni raha sana, ndo maana nami siko tayari kumwacha yule binti aliyeniliza, hata kama siyo mke wangu wa ndoa. Yuko humu naomba ujumbe huu umfikie, P...sitokuacha maana you were the first woman kuniliza ndani ya 6*6
Kweli kabisa rafiki,salamu zimefika.Cheka uishi rafiki....ulimwengu wa majanga huu...salamu kwa rafikizo waambie ndo hivyo tenaa
Hahahahaha...........
Ngoja niwahi kumjulia hali Shehe Ponda
mimi huwa nnalia pale ninapofikisha mshindo, tena ni kuanzia bao la kumi na kuendelea
Bao la kumi LOL.........
kitu ya Mama Ngina si itakuwa kama inawaka moto
Mmh! Haya ya wakubwa ngoja nkalale tu!
Hata wewe ipo siku utakuwa mkubwa teh...
Btw nipo mujengoni already