Daa huenda ndo tafsiri yake, mi niliambiwa nisikuze kifua na six packs mana ntatamaniwaKuna demu wangu wa zamani aliwahi kuniambia hapendi wanaume wanaovutia kwasababu wanapendwa na wengi,,,sasa sijui nami nipo kwamba alikuwa na hofu au nilikuwa mbaya ndio maana akawa na mimi πππ
NaamMwanaume haogopi pisi kali ila hatuoi pisi kali.
Sasa nyie si ndo ma freedom fighter wenyewe, hahahMIe siwaogopi
aelewe hilo vyema kabisa.Naam
SijakuelewaSasa nyie si ndo ma freedom fighter wenyewe, hahah
Haswaa wao ni kuwatembezea libolo fc tuaelewe hilo vyema kabisa.
Mwanaume kujiamini na ukiwa na sumaku ndio kwisha habari ya pisi kali.Ila kuna kitu kimoja nimewahi kukisikia kwa pisi kali inasema,,wanaume wangejua wasinge waogopa pisi hata kidogo,,smtm pisi kali wanataka watokewe hlf wadau wanajishtukia,,,kuwa mwanaume tu ni confidence tosha
Naam kuoa wanaolewa pisi za kawaida kabisa.Haswaa wao ni kuwatembezea libolo fc tu
Hlf muwe mnawasalimia pisi kali,,kuna class mate wangu mmoja form six na pisi kali kweli,aliniambiaga smtm anaingia ktk daladala anakutana na mkaka mkali basi anatamani hata asalimiwe lkn mwamba anakaza fuvu ππMwanaume kujiamini na ukiwa na sumaku ndio kwisha habari ya pisi kali.
Mwambie namsalimiaHlf muwe mnawasalimia pisi kali,,kuna class mate wangu mmoja form six na pisi kali kweli,aliniambiaga smtm anaingia ktk daladala anakutana na mkaka mkali basi anatamani hata asalimiwe lkn mwamba anakaza fuvu ππ
Yupo america huko kazalishwa na mzungu,,hlf mwamba aliyempeleka huko america kamtosa,,,hatar sanaMwambie namsalimia