Kumbe wanawake nao wanaogopa wanaume ma "handsome" wanahisi ni ma "player"

Kumbe wanawake nao wanaogopa wanaume ma "handsome" wanahisi ni ma "player"

Ila kuna kitu kimoja nimewahi kukisikia kwa pisi kali inasema,,wanaume wangejua wasinge waogopa pisi hata kidogo,,smtm pisi kali wanataka watokewe hlf wadau wanajishtukia,,,kuwa mwanaume tu ni confidence tosha
Confidence ya mwanaume ipo kwenye hela sijawahi kuona mwanaume anapesa then akawa muoga..
Tutafute pesa!
 
Ukweli ni kwamba tunawaona km kina delicious ila hatuwaogopi
 
Kama vile wanaume wanaona mwanamke pisi kali atakua na wengi au wengi wanamtaka, hata wadada kumbe wanayo.

Yani ukikutana na mdada ukisema "niko single" wanakataa wanakwambia " yani we ulivyo halaf wasema uko single, nyie ndo mnawapanga"

Kiukweli mtu anaweza kua single bila kujali muenekano wake. Pia kua handsome haimanishi ndo unawapanga. Tulio tulia tupo.
Sasa jamani likaka linakuwa lizuri kunishinda aka! Sitaki
 
nmekuachia wewe na brown sugar wako😂😂😂🙌🏾
We acha tu my brown sugar pamoja na mistari yote ile na masong ya ma lavi davi lkn kala miwani ya mbao,,ila mungu anamuona 😂😂
 
Fungua code doctori


Mwanamke anamuogopa anamuogopa na kumuheshimu Sana MTU mwenye mvuto -Attraction , mvuto huwa hausomeki kwa nje hadi ukae na huyo MTU even a single moment.

Ukiwa handsome tayari unakuwa na first impression Ila utakapopewa nafasi unaweza ukakosa attraction so kuwa handsome unaweza kuwa na impact ikiwa utakuwa na attraction na impression.

Umeon a handsome boy wengi wameoa ugly women hii unadhani huwa inasababishwa na nini?


Pia kwa wanawake hii IPO pia anaweza kuwa ni mzuri anavutia Ila hana mvuto na hii huwa inapelekea kukuta mwanamke mzuri wa sura anaishia kuwa na ugly man mwenye mvuto .


So Mvuto ndo kila kitu
 
Hata wenye magari kuna wanawake wanawaogopa kwa hoja hiyo hiyo
 
mleta unaomeaknwa unashindwa kutengenisha baina ya hondsome na sharo au chekbob
 
Back
Top Bottom