Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Mwamba anastahili medali ya dhahabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba anastahili medali ya dhahabu
Confidence ya mwanaume ipo kwenye hela sijawahi kuona mwanaume anapesa then akawa muoga..Ila kuna kitu kimoja nimewahi kukisikia kwa pisi kali inasema,,wanaume wangejua wasinge waogopa pisi hata kidogo,,smtm pisi kali wanataka watokewe hlf wadau wanajishtukia,,,kuwa mwanaume tu ni confidence tosha
Yameshawahi kukukuta nini mpendwabora hao ma player,,kuna hawa omba omba aseeee gold digger
Kweli kabisa pesa inafanya mambo yasiwe mengiConfidence ya mwanaume ipo kwenye hela sijawahi kuona mwanaume anapesa then akawa muoga..
Tutafute pesa!
hakika,, sirudii tena ulikua utoto 😂🙌🏾Yameshawahi kukukuta nini mpendwa
Mpendwa usiniambie ulikuwa unachunwa ile mbaya 😂😂hakika,, sirudii tena ulikua utoto 😂🙌🏾
hela ya kiwanja nkachunwa yote aloooh usichekeMpendwa usiniambie ulikuwa unachunwa ile mbaya 😂😂
Fungua code doctoriImpression versus attraction.
Kumbe ulikuwa mtamu hivyoo,,,hata mimi ningekuchuna 😂😂hela ya kiwanja nkachunwa yote aloooh usicheke
uuuuweeeeh si nkajua ni wangu n msaidie akikwama🙌🏾🙌🏾Kumbe ulikuwa mtamu hivyoo,,,hata mimi ningekuchuna 😂😂
Jaman pole sana mpendwa,,,mapenzi haya we acha tu yanuuuuweeeeh si nkajua ni wangu n msaidie akikwama🙌🏾🙌🏾
nmekuachia wewe na brown sugar wako😂😂😂🙌🏾Jaman pole sana mpendwa,,,mapenzi haya we acha tu yan
Sasa jamani likaka linakuwa lizuri kunishinda aka! SitakiKama vile wanaume wanaona mwanamke pisi kali atakua na wengi au wengi wanamtaka, hata wadada kumbe wanayo.
Yani ukikutana na mdada ukisema "niko single" wanakataa wanakwambia " yani we ulivyo halaf wasema uko single, nyie ndo mnawapanga"
Kiukweli mtu anaweza kua single bila kujali muenekano wake. Pia kua handsome haimanishi ndo unawapanga. Tulio tulia tupo.
We acha tu my brown sugar pamoja na mistari yote ile na masong ya ma lavi davi lkn kala miwani ya mbao,,ila mungu anamuona 😂😂nmekuachia wewe na brown sugar wako😂😂😂🙌🏾
Si mambo yenu yale dark and tall 😂😂Sasa jamani likaka linakuwa lizuri kunishinda aka! Sitaki
Fungua code doctori