Kumbe wasiojulikana bado wako kazini?

Unawezaje kukamata kwa hisia,uko wapi weledi wa kazi ikiwa fikra zikikutuma tu bila hata uchunguzi unakamata tu.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aache uoga, mwanaume unakimbiaje kwa kuoneshwa bisibisi tu??
 
Magufuli alikuwa anamiliki kundi la WASIOJULIKANA yeye mwenyewe likiongozwa na Makonda, Musalika Makungu, Heri Kisanduku, Bwire, Sabaya.
Usisahau kunywa dawa zako Kwa wakati ndugu STUXNET.
 
Wasuni ndio dhehebu pekee kwa waislaam waafrika tanzania. Sasa hawa wanaowateka wasuni wanaweza kua nani?
Mambo ya waislam huweza kuzalisha hatari kwa kuvuruga amani. Vyombo vya usalama yafaa kujua kwa uhakika kitu gani kinaendelea.
 
Hao wanajua wanachokifanya na Usalama wetu ni muhimu
Wabanwe kende maana wanajificha sana kwenye Dini
Hata mimi Sunni mbona sitekwi?
Fuateni misingi ya Dini na kuuwa ni dhambi kwanini msifuate hayo na mnajificha nyuma ya Pazia

Somalia wameisha wakataa wabakaji wanaojiita AlShabab
 
Kama wanaotekwa ni waislamu tu basi hapa sehemu kubwa wataona ni sawa tu kufanywa vyovyote tu kwa hao watu, hata kipindi cha Magufuli wapo watu ambao walikuwa wakimtuhumu na mkulalamikia Magufuli kwa kumuhusisha na maiti za kwenye viroba na kuteka wapinzani ila lilipokuja suala la masheikh wa uamsho hao watu waliona sawa hao masheikh kuendelea kuwa ndani na kufanyiwa vyovyote vile.
 
Wasuni ndio dhehebu pekee kwa waislaam waafrika tanzania. Sasa hawa wanaowateka wasuni wanaweza kua nani?
Mambo ya waislam huweza kuzalisha hatari kwa kuvuruga amani. Vyombo vya usalama yafaa kujua kwa uhakika kitu gani kinaendelea.
Well said
 
Awamu yetu pendwa sana ya nne.

Ulimboka alingolewa meno kwa nyundo , kibanda kumwagiwa tindikali na mwandishi wa habari kuuwawa kwa kulipuliwa bomu tumboni.

Hayo ni moja wapo ya mafanikio ya awamu ya nne.
waliomumuua mwandishi kwa bomu wote walikamatwa na wakapelekwa mahakamani tukishuhudia,ulimboka na kibanda wapo hadi leo watatuambua kilichotokea hawakuuliwa kama kipindi cha awamu ya 5 amabpo mamia ya raia waliuliwa
 
mnachanganya kati ya dhehebu la sunni na ansaar,Sunni ndio bakwata ambao misikiti yao ndio hii iliyojaa mitaani na hawana misimamo mikali,ansaar ndio wale wa suruali fupi ,hao ndio hatari
 
waliomumuua mwandishi kwa bomu wote walikamatwa na wakapelekwa mahakamani tukishuhudia,ulimboka na kibanda wapo hadi leo watatuambua kilichotokea hawakuuliwa kama kipindi cha awamu ya 5 amabpo mamia ya raia waliuliwa
Ndugu Fogoh2.

Vp wasiojulikana wa Awamu ya nne walifanikiwa kumrudishia Dr Ulimbokua MENO yake waliyoyang'oa Kwa praiz bila ganzi kinywani?

Kwako wewe unyama Ule una Afadhali??😳😳😳
 
Ndugu Fogoh2.

Vp wasiojulikana wa Awamu ya nne walifanikiwa kumrudishia Dr Ulimbokua MENO yake waliyoyang'oa Kwa praiz bila ganzi kinywani?

Kwako wewe unyama Ule una Afadhali??😳😳😳
yes ni bora na afadhali kuliko ule wa awamo ya tano,kwanza mifano yako ni hiyo miwili wakati awamu ya 5 mifano ni mamia kwa mamia,pili afadhali uchunguzi ulifanyika na wahusika kama waliomuua mwandishi walishitakiwa na walihukumiwa ila yule mpumbavu wa awamu ya 5 alikataza hata watu kumuombea Tundulisu ,hao waliodhuriwa awamu ya 4 hata serikali ilishiriki kuwatibia nje ya nchi lakini yule mwenda wazimu alikataza hata watu wasemtembelee hospitali na alimnyima pesa ya matibabu.kwa kweli afadhali sana awamu ya 4 kuliko ushetani wa awamu ya 5
 
Afadhali ipi?

Kuna uhalifu wenye Afadhali?

Tangu uhuru uhalifu wa 001,002,003,004,005 na 006 walikuwa wakitekeleza ilani Cha chama Gani?

005 alikuwa CCM au Kutoka upinzani?

Kama huyo wa 005 alifanya Kwa Utashi wake mbona Hadi sasa hakuna case Wala uchunguzi wa tukio?

Mjue ADUI unapambana nae uwapo vitani.

Adui ni CCM na KATIBA mbovu, Ungana nasi kuidai KATIBA mpya au ungana na CCM Walamba asali kuikataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…